Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 478
- 962
Habarini wakuu,
Kwanza kama kuna watu wanamsaidia kumwandikia hotuba mama basi wanastahili pongezi nyingi sana maaana hotuba ni taamu balaa.
Ni ukweli usiopingika kuwa hotuba za Mama Samia zinatibu harara, chunusi, upele, malaria yani unasikiliza hotuba unasema hapa kweli raisi wa nchi anahutubia yani hakuna kufoka foka hutuba inaingia moyoni kwa faraja teele.
Toka Rais Samia aingie madarakani hotuba zake zina hadhi isiyopimika kwa mizani, yan ile hotuba sku ya kuapishwa, hotuba ya bungeni Tanzania, hotuba ya mei mosi adi hii hotuba ya leo bungeni kenya kiukweli hotuba ya leo kenya imebeba hisia halisi za sisi kushikamana na ndugu zetu wakenya yani hotuba imesheheni misamiati ya kiswahili yenye upatanishi na upendo wa hali ya juu.
Mitano tena kwa Mama Samia.
Kwanza kama kuna watu wanamsaidia kumwandikia hotuba mama basi wanastahili pongezi nyingi sana maaana hotuba ni taamu balaa.
Ni ukweli usiopingika kuwa hotuba za Mama Samia zinatibu harara, chunusi, upele, malaria yani unasikiliza hotuba unasema hapa kweli raisi wa nchi anahutubia yani hakuna kufoka foka hutuba inaingia moyoni kwa faraja teele.
Toka Rais Samia aingie madarakani hotuba zake zina hadhi isiyopimika kwa mizani, yan ile hotuba sku ya kuapishwa, hotuba ya bungeni Tanzania, hotuba ya mei mosi adi hii hotuba ya leo bungeni kenya kiukweli hotuba ya leo kenya imebeba hisia halisi za sisi kushikamana na ndugu zetu wakenya yani hotuba imesheheni misamiati ya kiswahili yenye upatanishi na upendo wa hali ya juu.
Mitano tena kwa Mama Samia.