Wamesema hivi ni vita dhidi ya waislam na uislam
Kwani huvioni? Wewe mkiristo unaonesha wazi unawaunga mkono kwa sababu wanapigana na waislamHapa ndipo wanapokosea na kufanya watu wahusianoshe uislam na ugaidi...
Kwani huvioni? Wewe mkiristo unaonesha wazi unawaunga mkono kwa sababu wanapigana na waislam
Bongo mbona ndugu zetu hawajaandamana, wala sijaona wakitoa tamko kwa serikali ya Samia(islam), itamke na kulaani Israel?, Rwanda nchi yenye Wakristo 99%wamepereka msaada Gaza, Zenj ya kiarab Koko, mpo wapi? Mbona kimya!Leo karibu misikiti yote duniani kulikuwa na hotuba ya kuwalaani Mayahudi na kuwaombea dua na kuwapongeza Palestina kwa hatua yao ya kuilinda ardhi yao na kuilinda ardhi tukufu ya waislam.
Wamesema hivi ni vita dhidi ya waislam na uislam
KiWaislamu kuungana kuipiga Israel Ni ndoto.
Wenyewe wako kwenye mgawanyiko (Sunni vs Shiite)
Wataongea Sana msikitini wakitoka kila mmoja na hamsini zake mpaka ijumaa tenaKi
THE BIG SHOW Njoo unaitwa huku , ulifungua uzi kuonesha kuwa vita ya Gaza sio ya kidini .😂😂😂Leo karibu misikiti yote duniani kulikuwa na hotuba ya kuwalaani Mayahudi na kuwaombea dua na kuwapongeza Palestina kwa hatua yao ya kuilinda ardhi yao na kuilinda ardhi tukufu ya waislam.
Wamesema hivi ni vita dhidi ya waislam na uislam
Mkuu Kuna msemo unaosema "Kila gaidi ni muislam, lakini sio Kila muislam ni gaidi"😂😂Hapa ndipo wanapokosea na kufanya watu wahusianishe uislam na ugaidi...
Umesema ni vita dhidi ya uislamu ,je asilimia 15 ya wayahudi ambao ni waislamu mmewaweka kundi ganiLeo karibu misikiti yote duniani kulikuwa na hotuba ya kuwalaani Mayahudi na kuwaombea dua na kuwapongeza Palestina kwa hatua yao ya kuilinda ardhi yao na kuilinda ardhi tukufu ya waislam.
Wamesema hivi ni vita dhidi ya waislam na uislam
He utakatifu wa israel uko wapiKipigo walichokipata waarabu 1967 na 1973 hawajakisahau bado!! Kamwe hawawezi kuthubutu kuishambulia nchi Takatifu na Taifa teule la Israel!! Wapalestina watajihangaikia wenyewe tu!! Ila Mungu anawapenda watu wote, tatizo watu wanataka kuhoji mipango ya Mungu!!
Mpaka sasa hivi dini imekusaidia nini katika kukuletea ugali mezaniKwani huvioni? Wewe mkiristo unaonesha wazi unawaunga mkono kwa sababu wanapigana na waislam
Leo karibu misikiti yote duniani kulikuwa na hotuba ya kuwalaani Mayahudi na kuwaombea dua na kuwapongeza Palestina kwa hatua yao ya kuilinda ardhi yao na kuilinda ardhi tukufu ya waislam.
Wamesema hivi ni vita
Vita vya kidiniHii si vita vya kidini. Ni vita ya watu kudhulumiwa ardhi yao, uhuru yao na nia ya watu kujitawala.
Ni sawa na vita iliyokomboa Africa Kusini kutoka kwa Mkaburu na Namibia.
Waarabu hawana kitu kiumoja. Wote ni wapiga show kwa raha na starehe
Wapalestina wangeomba kumpata mtu kama Mwl. JK Nyerere aliyeweza kuunganisha Africa nzima na kuwezesha uhuru wa nchi za Kusini mwa Africa bila ya kujali chochote kile.
Neno lake kwamba Africa haitakuwa huru mpaka kila mmoja wetu awe huru naikumbuka sana.
RIP Mwl.JKN
Muulize bibi yako anaobeba biblia J2Mpaka sasa hivi dini imekusaidia nini katika kukuletea ugali mezani