Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
- Thread starter
- #21
Mkuu mwanaccm ukimwambia ukweli anaona Kama ametukanwa.Hakuna mtu anayetukana watu nchi hii Kama Magufuli? Kwa namna cheo kilivyomzuzua kumpa miaka mingine mitano ni uasi kwa nchi yetu na watu wakemmmmmmmmmmmmmmmm huyu jamaa aache kutukana hvyo aanze kuongeaa kistaarabu hivyo? basi itakuwa rahisi kwa nzi kugeuka kuwa nyuki atengeneze asali