johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,163
- 142,264
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa hotuba za Tundu Lisu, Dr Slaa, Zitto Kabwe, Freeman Mbowe na Komredi Kinana kwa zaidi ya miaka 10 sasa
Kiukweli Uhutubiaji wa Tundu Lisu leo umekuwa wa viwango vya juu sana
Amekuja.na facts na Takwimu pia katuachia rejea
Kwa mfano issue ya Kura amesema Mwenye mashaka na alichosema aende NEC akahakiki
Issue ya kujificha Ubalozi wa German unaweza kwenda Central Police kuhakiki
Issue ya mapori ya Ikungi kuuzwa unaweza kwenda kwa DED kuhakiki
Issue ya Hayati Mkapa kuchota Dollar million 100 unaweza kusoma Kitabu cha Maisha yake ujiridhishe
Leo Tundu Lisu hakuwa mtu wa propaganda na Uzushi kama alivyozoeleka
Akiendelea hivi itabidi CCM imchukue Prof Kabudi awe anajibu hoja za TAL
Leo Lisu amehutubia kama Benjamin Netanyahu wa Israel!
Kongole kwake
Kiukweli Uhutubiaji wa Tundu Lisu leo umekuwa wa viwango vya juu sana
Amekuja.na facts na Takwimu pia katuachia rejea
Kwa mfano issue ya Kura amesema Mwenye mashaka na alichosema aende NEC akahakiki
Issue ya kujificha Ubalozi wa German unaweza kwenda Central Police kuhakiki
Issue ya mapori ya Ikungi kuuzwa unaweza kwenda kwa DED kuhakiki
Issue ya Hayati Mkapa kuchota Dollar million 100 unaweza kusoma Kitabu cha Maisha yake ujiridhishe
Leo Tundu Lisu hakuwa mtu wa propaganda na Uzushi kama alivyozoeleka
Akiendelea hivi itabidi CCM imchukue Prof Kabudi awe anajibu hoja za TAL
Leo Lisu amehutubia kama Benjamin Netanyahu wa Israel!
Kongole kwake