Bonson
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 183
- 147
Mh. Rais wetu Kikwete, taarifa hii ikufikie unapoandaa hotuba ya kufunga mwaka. Ni matazamio yangu kwamba utakemea kwa nguvu na kwa uso wa hasira mambo yafuatayo:
1. Udini na Ukabila: Mh. Rais, inasikitisha sana kuona mbegu za udini na ukabila zinapandwa kwa kasi TZ. Mbaya zaidi ni kwa baadhi ya Viongozi wa CCM wanafurahia matendo haya.
2. Ulinzi na Usalama wa Raia: Kuna wa TZ wengi wamepoteza maisha, kuteswa na kudhalilishwa na wachache wenye nguvu. Tafadhali zungumzia hili na ni kwa jinsi gani utasimamia haki itendeke.
3. Kuporomoka jwa Elimu: Mheshimiwa, hii ni aibu kubwa jwa Taifa. Hivi viwango vipya vya ufaulu ni janga kwa Taifa. Plz chukua maamuzi.
4 . Kupanda kwa Gharama ya Maisha: Hali ni mbaya huku mitaani. Life ni ngumu sana.
Mheshimiwa Rais naomba uzungumzie mambo hayo kwa uzito unao stahili.
Mungu Ibariki Tanzania.
1. Udini na Ukabila: Mh. Rais, inasikitisha sana kuona mbegu za udini na ukabila zinapandwa kwa kasi TZ. Mbaya zaidi ni kwa baadhi ya Viongozi wa CCM wanafurahia matendo haya.
2. Ulinzi na Usalama wa Raia: Kuna wa TZ wengi wamepoteza maisha, kuteswa na kudhalilishwa na wachache wenye nguvu. Tafadhali zungumzia hili na ni kwa jinsi gani utasimamia haki itendeke.
3. Kuporomoka jwa Elimu: Mheshimiwa, hii ni aibu kubwa jwa Taifa. Hivi viwango vipya vya ufaulu ni janga kwa Taifa. Plz chukua maamuzi.
4 . Kupanda kwa Gharama ya Maisha: Hali ni mbaya huku mitaani. Life ni ngumu sana.
Mheshimiwa Rais naomba uzungumzie mambo hayo kwa uzito unao stahili.
Mungu Ibariki Tanzania.