Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Tumekuwa na tarbia na sasa naona imekuwa kama ada kwa kiongozi wa Tanzania Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuzungumza na wananchi wake kila inapofikia mwisho wa mwezi kwa nia ya kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanaoendelea nchini mwake.
Sasa wadau mlioko huko Tanzania napenda kuwauliza Vipi hotuba hiyo ya Rais ya mwisho wa mwezi June ameitoa? na kama ameitoa amezungumzia suala gani?
Tunaomba mtujuze mlioko huko Tanzania
Sasa wadau mlioko huko Tanzania napenda kuwauliza Vipi hotuba hiyo ya Rais ya mwisho wa mwezi June ameitoa? na kama ameitoa amezungumzia suala gani?
Tunaomba mtujuze mlioko huko Tanzania