Hotuba ya Rais wa TZ ya mwezi June

Karibu kwenye maandamano ya mwezi wa nane kani ndio kipindi umeme utakuwa hakuna kabisa na ndio tutakpo mwambia JK ajiuzuru na hatuna imani na waziri mkuu that is for sure waambia ALjazeera ajiaande kuja kwenye maandamano ya Nchi nzima ni kama ya Misri Mororco syria tunis. JK nchi imeisha mshinda wana tupeleka kwenye janga. Ngereja ni Mbuzi wa kafara anamlidia JK makosa yake ya Nishati na Madini ule wakati alikuwa waziri ndio mikataba yote mibovu ilipo sainiwa na JK alikuwa shaidi ambae sasa ni Mtawala wetu
mnh!hata mie nahisi vivyo hivyo,coz haiwezekani kiongozi mkuu wa nchi aendelee kumkumbatia Ngeleja,wakati ni dhahiri ameshindwa kazi...Kuna namna hapa!Naitamani sana siku ambayo Watz wote bila kujali itikadi za kisiasa ama kidini na kuungana pamoja kumuonesha ****** kuwa IMETOSHA,AONDOKE!
 
Hana la kusema,dhamira inamsuta

Tutaanza maandamanohivi karibuni,mtaa kwa mtaa,hasa mitaa ambayo wanakata umeme kwa zaidi ya saa 1
 
Mwezi wa sita JK alikuwepo nchini siku 13 tu sasa atajuwaje kinachoendelea ? labda hotuba iwe inatolewa na Said Mwema naona kidogo yeye hasafiri sana.
 
mwezi May, Salva Rweyemamu alitoa press release kwamba mkuu hakuwa na jipya nasikia hata June hii Salva alitaka kutoa Press Release ila document imeliwa na Trojan so labda kesho atatoa Press Release kwa nini June hakukuwa na hotuba. Tanzania ya sasa mambo shaghalabaghala!

Nasikia SERVER YA TBC imeibwa na ndanimwe kulikuwa na hotba hiyo. Nimedokezwa jana nilipotua tu Dar.
 
Mwezi Mei hakutoa alisema alishaongea kila kitu kwenye Mei Mosi na mwezi Juni hajatoa maana hakuna umeme.
 
Hata mwezi Julai hajasema kitu. Labda tusubiri August.

Hotuba ya mwisho wa mwezi,MWEZI WA SABA HAUJAISHA.Hata hvyo Ndugu JK hana cha kuzungumza maana hana majibu ya maswali mengi tu' kama la mgao wa umeme na chenji iliyoko Uingereza
 
Back
Top Bottom