Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Wadau,
Mi kila siku nikiingia jamvini nakutana na post zinazodai, ooh, usalama wa taifa wako JF, oh usalama wa taifa wapo JF.
Nahisi labda hao UWT wamekatazwa hata kufungua page ya JF....kwa sababu gani?
Kwa sababu, Invisible alipost ile hotuba ya rais jana mapema kweli. Na watu wakatoa comments kuwa mabomu ya GLM hayakulipuka tarehe 17 bali ni tarehe 16.
Cha kushangaza usiku ile speech imetoka vilevile na rais anasema tarehe 17. Sasa kama hawa UWT wapo JF na wanasoma hizi post, kwa nini hawakumsaidia mkuu wao kurekebisha hii kitu?
Hawaoni kuwa, kama wanaweza kukosea jambo kubwa kama hilo, tutajuaje kuwa walipatia walivyosema urefu wa kina cha maji? au hali ya usalama wa nchi?
Naomba kuwakilisha.
Mi kila siku nikiingia jamvini nakutana na post zinazodai, ooh, usalama wa taifa wako JF, oh usalama wa taifa wapo JF.
Nahisi labda hao UWT wamekatazwa hata kufungua page ya JF....kwa sababu gani?
Kwa sababu, Invisible alipost ile hotuba ya rais jana mapema kweli. Na watu wakatoa comments kuwa mabomu ya GLM hayakulipuka tarehe 17 bali ni tarehe 16.
Cha kushangaza usiku ile speech imetoka vilevile na rais anasema tarehe 17. Sasa kama hawa UWT wapo JF na wanasoma hizi post, kwa nini hawakumsaidia mkuu wao kurekebisha hii kitu?
Hawaoni kuwa, kama wanaweza kukosea jambo kubwa kama hilo, tutajuaje kuwa walipatia walivyosema urefu wa kina cha maji? au hali ya usalama wa nchi?
Naomba kuwakilisha.