mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau,
Leo kama ulikuwa unafuatilia hotuba ya Rais John Pombe Magufuli Kama una akili utakuwa umemuelewa Rais wetu ni kiasi Gan Yuko Makin katika kutengeneza fursa kwa vijana. So vijana hamtakiwi kulala inabidi mchukue hatua.
Nadhani wote tunajua kabisa katika maneno mia ya Rais Magufuli 99 huwa yana maana nzito sana kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba zake utagundua hilo.
Pia, amekuwa mtabiri mzuri mwenye kujua kitu ambacho kitakachotokea mbele wazungu wanasema (future) wengi wameweza kumuamini baada ya Corona kuja na kutoa kauli ambazo zimekuwa matokea ya dunia mzima.
Turudi kwenye hotuba.
Rais Magufuli amesema watanzania tulime kwa bidii na tuweke nguvu kubwa katika kilimo pia Bei tutakayouza mazao yetu iwe nzuri na yenye faida kwetu.Tusikubali kulaliwa na walanguzi.
Kwanini Magufuli amesema tulime?
Mh Rais Magufuli kasema tulime kwa nguvu zetu zote kwa sababu anajua kabisa situation walionayo ndugu zetu wa nchi jirani. Now wameanza kuishiwa chakula hivyo baada ya muda watahitaji sana chakula na ndio itakuja kuwa bidhaa muhimu hivyo vijana ambao mnalia hali ngumu mnatakiwa mkamate fursa hiyo.
Nawashauri mkitaka kulima angalieni mazao muhimu katika nchi ambazo ni majirani zetu. Mwenzenu nina mpango wa kulima vitunguu.
Watanzania amkeni atakayelima sasa hivi baada ya miezi sita atauza mazao yake kwa bei nzuri na atapata faida, tuache kukaa vijiweni tukafanye kazi.
Chukueni fursa wadau muda ndiyo huu wakati wenzetu wamejifungia sisi tufanye kazi kwa juhud zetu zote ili wakija kuamka tuwe mbele yao kwa hatua nyingi pia tuwe tegemeo kwao.
Kumbuka wakati Uingereza anapigana Vita Marekani alikuwa bize anajijenga.
Wenye akili watakuwa wameelewa, wajinga watabaki na ujinga wao.
Leo kama ulikuwa unafuatilia hotuba ya Rais John Pombe Magufuli Kama una akili utakuwa umemuelewa Rais wetu ni kiasi Gan Yuko Makin katika kutengeneza fursa kwa vijana. So vijana hamtakiwi kulala inabidi mchukue hatua.
Nadhani wote tunajua kabisa katika maneno mia ya Rais Magufuli 99 huwa yana maana nzito sana kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba zake utagundua hilo.
Pia, amekuwa mtabiri mzuri mwenye kujua kitu ambacho kitakachotokea mbele wazungu wanasema (future) wengi wameweza kumuamini baada ya Corona kuja na kutoa kauli ambazo zimekuwa matokea ya dunia mzima.
Turudi kwenye hotuba.
Rais Magufuli amesema watanzania tulime kwa bidii na tuweke nguvu kubwa katika kilimo pia Bei tutakayouza mazao yetu iwe nzuri na yenye faida kwetu.Tusikubali kulaliwa na walanguzi.
Kwanini Magufuli amesema tulime?
Mh Rais Magufuli kasema tulime kwa nguvu zetu zote kwa sababu anajua kabisa situation walionayo ndugu zetu wa nchi jirani. Now wameanza kuishiwa chakula hivyo baada ya muda watahitaji sana chakula na ndio itakuja kuwa bidhaa muhimu hivyo vijana ambao mnalia hali ngumu mnatakiwa mkamate fursa hiyo.
Nawashauri mkitaka kulima angalieni mazao muhimu katika nchi ambazo ni majirani zetu. Mwenzenu nina mpango wa kulima vitunguu.
Watanzania amkeni atakayelima sasa hivi baada ya miezi sita atauza mazao yake kwa bei nzuri na atapata faida, tuache kukaa vijiweni tukafanye kazi.
Chukueni fursa wadau muda ndiyo huu wakati wenzetu wamejifungia sisi tufanye kazi kwa juhud zetu zote ili wakija kuamka tuwe mbele yao kwa hatua nyingi pia tuwe tegemeo kwao.
Kumbuka wakati Uingereza anapigana Vita Marekani alikuwa bize anajijenga.
Wenye akili watakuwa wameelewa, wajinga watabaki na ujinga wao.