Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,084
- 1,076
Mheshimiwa Spika, alipokuwa akijibu swali la Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (Mb), alizua tafrani kwenye familia ya Ben Saanane baada ya kusikika maneno kama “huyu mwenzetu aliyetangulia mbele za haki”
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani inaitaka Serikali kutoa Kauli, endapo maneno haya yalikuwa ni ya bahati mbaya kutamkwa au kwa kuwa Waziri Mkuu alitumia hekima na busara zake kufikisha ujumbe kuwa Ben Saanane amekwisha fariki?
Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani inaitaka Serikali kutoa Kauli, endapo maneno haya yalikuwa ni ya bahati mbaya kutamkwa au kwa kuwa Waziri Mkuu alitumia hekima na busara zake kufikisha ujumbe kuwa Ben Saanane amekwisha fariki?