Hotuba ya Kikwete imeharibu kabisa ufungaji wa kampeni za Magufuli

Amejifurahisha tu, sisi ni critical thinker, hatusikii tuka amua muda ule ule. Labda niku hulize wewe Kikwete, Lowassa alipo ulizwa kuhusu Lchmond, alijibu kwamba mamlaka ya juu ndo ilitoa kibali. Na hata kwenye kikao cha mawaziri mamlaka ya juu ilipiga cm na kusema mambo ya endelee

Mheshimiwa
Kama Lowassa alivyo eleza hivyo mapema kabisa, Kikwete ume endesha kampeni kwa muda siku 60, kwanini hukuwai kujibu au kutolea ufafanuzi wa kauli ya Lowassa mpaka usubiri leo siku ya mwisho ndo ujibu mapigo?

1.Hii ni wazi uliona ukijibu mapema uenda kuna ushahidi, au majibu mengine ambayo Lowassa angeweza kutoa na hivyo wewe ukapata aibu, kwa hiyo uka amua ujibu leo ukijua ni mwisho wa kampeni hakuna argument yoyote utapata.

2.Swali lingine Mh Kikwete, ile kauli ya Mwakyembe Bungeni kwamba "mengine hatukuyasema kwa sababu ya kuilinda serikali" kwanini leo usiitolee ufafanuzi kwamba ni mambo gan wali ya hacha kwa maslai ya taifa?

3.Swali lingine, wewe kama kiongozi wa nchi, unadhubutu kusema afya ya Lowassa ilikuwa pia ni kigezo, huoni kwamba una hamasisha unyanyapaji wa wagonjwa hadharan?. wewe ulivyo enda kutibiwa marekani, ulipo rudi ulinyanya paliwa na nan?

KWA KIFUPI KIKWETE KWA HILI. UMETUFRAHISHA TU,KAMA ULIVYO TUFURAHISHA NA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA. UBARIKIWE SANA
Wacha ushabiki na unazi, katetee taifa lako liepukane na wizi huu uluotamalaki kwa miaka 10 sasa. Bila lowasa kuanzisha kundi la mtandao uliomuweka kikwete haya yasingelikuwepo. Huyu mtu aliasisi jambo lilotucost sana kutokana na tamaa ya kupokezana urais kama uchifu. Kutofautiana kwao ni heri kwetu. Fanya maamuzi sahihi, hakuna rais wa ubia. Weka unazi pembeni.
 
Mimi nilitegemea Lowassa "mgonjwa"/ "afya mgogoro" angeanguka jukwaani kama mwenyekiti "Aisee!!"
Lakini Lowassa amemaliza kampeni akiwa anadunda, kwa hili tu naamini Lowassa anafaa kupewa uongozi wa nchi na kama atapata afya mgogoro baada ya hapo, ikiwa ni kipindi kifupi baada ya kuingia madarakani tutaweka mwengine.
La msingi akiingia tu. Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi viwe ndio vipaumbele ndani ya siku 100.

Hata wewe unaamini usanii wa siku 100? Huyu hana mapenzi na nchi ana bifu ya kumwagana kwenye makubaliano feki ya kuongoza nchi hii kimtandao. Sapoti lazima itakuwa na maslahi tofauti ya kitaifa; tunajua mara hii maslahi yako ya aina nyingi.
 
Mmezidi kilalamika sana wanachi kila analofanya rais wenu si jema,mnasifia vya nje tu angeongea paul kagame wa rwanda msinge lalamika,mngeona ameongea point,tumeshafanya maamuzi kesho ni magufuli tu mmezidi na propaganda

Kweli kabisa.
 
Hata wewe unaamini usanii wa siku 100? Huyu hana mapenzi na nchi ana bifu ya kumwagana kwenye makubaliano feki ya kuongoza nchi hii kimtandao. Sapoti lazima itakuwa na maslahi tofauti ya kitaifa; tunajua mara hii maslahi yako ya aina nyingi.
Dugu CCM inadanganya kwa miaka 54, sasa kama wengine wanadanganya au watadanganya kuna tofauti gani?
Mimi naona 54 inatosha, waondoke tuone madudu ya wengine.

Wewe fikiria jamaa ameweza kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kishikaji halafu anatoa ahadi ya kubadilisha miji mavumbi kuwa dubai....

wacha matapeli wazidiane ujanja.
 
magu amehoiiwa wakt anaenda kupig kura asubuhi hii majibu yaminichefua af akamalizia maswalimengine ntajib wkt naapishwa mfyuuu
 
Mmezidi kilalamika sana wanachi kila analofanya rais wenu si jema,mnasifia vya nje tu angeongea paul kagame wa rwanda msinge lalamika,mngeona ameongea point,tumeshafanya maamuzi kesho ni magufuli tu mmezidi na propaganda
Kweli umesema Mkuu UZALENDO na UTAIFA hatuna wa TZ !!!!!!

kwa vyovyote vile Mkuu wa nchi kesha maliza mda wake... Tutazame mbele na kujenga TAIFA !!
 
Aliekuambia kuwa Lowasa kaongea dakika 2 ni nani? achana na mihemko
mkuu kwani mh. Lowassa kaongea dkk ngapi ukitoa zile za kuwatambulisha wabunge wa Dar? sote tuliona kwenye EATV. akina mbatia, mbowe, kingunge na hata akina duni na Mh. Seif waliongea muda mrefu sana ukilinganisha na Mh. lowassa. hatuandiki haya kwa kumchukia Lowassa bali kwa kile tunachokiona. sasa linganisha na muda anaotumia Magufuli. anyway, uchaguzi umeishi tuachane na haya turudi kwenye maisha yetu ya kawaida. kila la heri katika majukumu ya kulijenga taifa letu.
 
Back
Top Bottom