shukuru million
Member
- Jan 30, 2014
- 23
- 0
Anadhani kuwa atampatia ushindi magufuli. Mabadiliko tu!;
Kikwete ametupa sababu ya kwa nini tukamkate lowassa kesho
bom la richmond na fya ya lowasa imevunja gome ya ukawa
bom la richmond na fya ya lowasa imevunja gome ya ukawa
Hata kama yuko ICU tutamchagua Lowasa!bom la richmond na fya ya lowasa imevunja gome ya ukawa
Rais anakuja kutulalamikia sisi tufanye nini ati watu hapa wanamsifia where is this country heading to???dah inasikitisha sanaaaa watanzani na ushabiki wa ajabu SWALI NI KWANINI HAKUMSHITAKI LOWASSA?YEYE NDIE MKUU WA NCHI!!HILI PEKEE LINATOSHA KABISA KUWAADHIBU CCM.
Hats ikitokea wamejipa ushindi ,naamini Kikwete atafunuliwa nje ndani na wabunge mahiri was UKAWA
Mimi nilitegemea Lowassa "mgonjwa"/ "afya mgogoro" angeanguka jukwaani kama mwenyekiti "Aisee!!"bom la richmond na fya ya lowasa imevunja gome ya ukawa
Hotuba Haina Makosa Hata Kidogo Labda Kama Unaiangalia KISIASA , Hakuwa Anahutubia Mkutano Wa INJILI Bali wa KISIASA na Amesema Ukweli TUNDU LISSU Alitaka Aseme Ukweli Leo KASEMAKikwete amehitimisha kampeni za CCM mkoani Mwanza na kutoa hotuba ambayo huenda ikawa imeharibu taswira nzima ya ufungaji wa kampeni za Magufuli, kwa sababu imekosa HEKIMA, USTAARABU, UKWhELI na UKOMAVU.
Katika mazingira ya ushindani wa kisiasa uliokuwepo kwenye uchaguzi huu, kila kura ina thamani kubwa sana kwa sababu inaweza kuamua mshindi. Katika hatua hii ya mwisho kura pekee zinazotafutwa ni za watu ambao hawajaamua, na hili ni kundi la JAMII.
Sitaki kuamini kama kundi hili la jamii linaweza kuvutiwa na kuichagua CCM kwa hotuba ya MIZAHA namna hiyo.
Kwa ufupi kabisa, hotuba hiyo ya Kikwete ilijaa
1/Mipasho na vijembe dhidi ya Lowassa na UKAWA.
2/Sifa za kijinga kwa Magufuli na CCM.
3/Majigambo ya yeye kukaa madarakani.
4/Kejeli na dhihaka juu ya Afya ya Lowassa.
5/Kurusha mpira wa kashfa ya Richmond.
hapa ni edward ngoyai lowassa tu ndiyo bavaria ya urais. Hiyo mipasho ndiyo tulidanganywa nayo hasa kwa miaka kumi ya mzee wa mipasho.
bom la richmond na fya ya lowasa imevunja gome ya ukawa
Jakaya kazidi kumwaribia Magufuli..... Lowassa kamaliza kampeni vizuri sana, na kwa hakika Lowassa anapata kura yangu na familia yangu