Hotuba ya karne ya Benjamin Netanyahu - Umoja wa Mataifa 2023

Hotuba ya karne ya Benjamin Netanyahu - Umoja wa Mataifa 2023

Chaguo letu litaamua ikiwa tunafurahia baraka za amani ya kihistoria, ya mafanikio na matumaini yasiyo na mipaka, au tutapata laana ya vita vya kutisha vya ugaidi na kukata tamaa.

Kutokana na tishio kutoka Tehran, haluna namna lazima hatua zote stahiki zichukulwe, sababu ayatollah anataka kuvurumisha makombora ya nuklia.

Kwa sasa Ayatollah ana uwezo wa kutumia makombora yenye milipuko isiyo na nyuklia lakini mradi wake wa ouvu dhidi ya taifa la Israel mikononi Ayatollah akifanikisha makombora kutiwa mabomu ya nuklia hali tunayoiona hapa chini itakuwa ya kutisha zaidi na ya maafa yasiyo mfano:

21 June 2025
RIPOTI YA KINA KUTOKA Mji wa Israel, ushindi ni lazima. Ushindi huo ni Iran kutokuwa na uwezo wa Nuklia


View: https://m.youtube.com/watch?v=bGuDbtgHoho

Mwandishi afika eneo na mitaa ya mji wa Israel uliopigwa na makombora ya kawaida kutoka Iran, uliokuja na vishindo, shockwave, uharibifu, ngoma za masikio kudhuriwa na madhara ya makombora ya Ayatollah,

Je mtawala Ayatolla akipata uwezo kamili wa zana za nuklia vidole vyake vitashidwa kutizima hamu na ashiki ya azma yake dhalimu kubonyeza vitufe vya amri makombora ya nyuklia kupiga Israel ?

Hakuna namna lazima kichwa cha nyoka hatari aliyepo Tehran kifyekwe kwa ajili ya amani ya kudumu kwa raia wa Israel na Iran kuondokana na tishio la uwendazimu wa Ayatollah
 
Mabibi na mabwana, zaidi ya milenia tatu zilizopita, kiongozi wetu mkuu Musa, alihutubia watu wa Israeli walipokuwa karibu kuingia katika nchi ya ahadi. Alisema wangekuta milima yao miwili

28 June 2025

Yote yalitabiriwa tangu zamani

IRAN VS ISRAEL: UKWELI KUHUSU IRAN KUWA CHINI YA KIVULI CHA VITA YA MWISHO DHIDI YA ISRAEL | BIBILIA

View: https://m.youtube.com/watch?v=GkPIXolnKQw
 
09 September 2025

IDF "Operation Summit of Fire"

Israel calls the operation in Doha "Summit of Fire" and accused the targeted Hamas members of orchestrating the October 7 attacks and Hamas ongoing operations
 
09 September 2025

IDF "Operation Summit of Fire"

Israel calls the operation in Doha "Summit of Fire" and accused the targeted Hamas members of orchestrating the October 7 attacks and Hamas ongoing operations

10 September 2025

kipindi cha leo cha Daily News cha ILTV September 10, 2025

View: https://m.youtube.com/watch?v=fjsQyfL_CsA
Katika kipindi cha leo cha Daily News cha ILTV: Timu ya habari inaangazia matokeo ya shambulio la Israel dhidi ya viongozi wa Hamas nchini Qatar. Rais wa Marekani, Donald Trump atuma ishara tofauti kuhusu operesheni hiyo—kuzua maswali iwapo Washington iliionya Doha mapema
Source : IILTV
 
26 September 2025
Makao Makuu ya UN
UNGA
New York

HOTUBA YA WAZIRI MKUU BENJAMIN NETANYAHU MBELE YA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA - UNGA 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=nTqmHppjxtQ

Full text of Netanyahu’s speech: We won’t let the world shove a terror state down our throat​

Prime minister vows to bring all the hostages home, defeat Hamas, slams Western leaders for abandoning Israel and buckling to Islamist pressure; denies genocide in Gaza​


This is the full text of Prime Minister Benjamin Netanyahu’s address to the United Nations General Assembly, September 26, 2025.

Mr. President, the families of our dear hostages languishing in the dungeons of Gaza, Ladies and Gentlemen.


Last year, I stood at this podium, and I showed this map. It shows the curse of Iran’s terror axis. This axis threatened the peace of the entire world. It threatened the stability of our region and the very existence of my country Israel.

Iran was rapidly developing a massive nuclear weapons program and a massive ballistic missile program. These were meant not only to destroy Israel.

They were meant also to threaten the United States and blackmail nations everywhere.

From Gaza, Yehiah Sinwar dispatched waves of Hamas terrorists. They stormed into Israel on October 7th and committed acts of unspeakable savagery.

From Lebanon, Hassan Nasrallah had launched thousands of missiles and rockets at our cities, terrorizing our citizens.

In Syria, the murderous dictator Assad hosted Iran’s forces, tightening a noose of death around our throats.

In Yemen, the Houthis launched ballistic missiles at Israel, while choking global trade at the mouth of the Red Sea.

So what’s happened over the past year? We’ve hammered the Houthis, including yesterday. We crushed the bulk of Hamas’s terror machine. We crippled Hezbollah, taking out most of its leaders and much of its weapons arsenal.

Remember those beepers, the pagers? We paged Hezbollah. And believe me, they got the message – and thousands of terrorists dropped to the ground.

We destroyed Assad’s armaments in Syria. We deterred Iran’s Shiite militias in Iraq. And most importantly, and above everything else that I could say to you or that we did in this past year, in this past decade, we devastated Iran’s atomic weapons and ballistic missile programs.

Half the Houthi leadership in Yemen – gone. Yahya Sinwar in Gaza – gone. Hassan Nasrallah in Lebanon – gone. The Assad regime in Syria – gone. Those Militias in Iraq? Well, they’re still deterred. And their leaders, if they attack Israel, will also be gone.

And for Iran’s top military commanders and its top nuclear scientists… Well, they’re gone too.

Israel’s 12-day war with Iran, which I renamed Operation Rising Lion, that’s from the Bible, this 12-day war will go down in the annals of military history.

Our daring pilots neutralized Iran’s missile defenses and took control of the skies over Tehran. You saw this: Israeli fighter pilots and American B2 pilots bombed Iran’s nuclear enrichment sites.

I want to thank President Trump for his bold and decisive action. President Trump and I promised to prevent Iran from developing nuclear weapons. And we delivered on that promise.

We removed an existential threat to Israel and a mortal threat to the civilized world. We lifted a dark cloud that could have claimed millions and millions of lives.

But, Ladies and Gentlemen, we must remain vigilant. We must remain absolutely clear-minded and vigilant. We must not allow Iran to rebuild its military nuclear capacities. Iran’s stockpile of enriched uranium, these stockpiles must be eliminated.

And tomorrow, UN Security Council sanctions on Iran must be snapped back. Thanks to the resolve of our people, the courage of our soldiers, and the bold decisions we took, Israel rebounded from its darkest day to deliver one of the most stunning military comebacks in history.

But we’re not done yet.

Bring home the hostages​

The final remnants of Hamas are holed up in Gaza City. They vow to repeat the atrocities of October 7th again and again and again, no matter how diminished their forces. That is why Israel must finish the job, and that is why we want to do so as fast as possible.

Ladies and gentlemen, Much of the world no longer remembers October 7th.

But we remember, Israel remembers October 7th. On that day… I’ll tell you, you can remember October 7th too.

You see this large pin here? It’s a QR code. What I ask you to do is hold up your phones, zoom in, and you too will see why we fight, and why we must win. It’s all in here.

On October 7th, Hamas carried out the worst attack on Jews since the Holocaust. They slaughtered 1,200 innocent people, including over 40 Americans, and foreign nationals from dozens of countries represented here.

They beheaded men.

They raped women.

They burned babies, alive. They burned babies alive in front of their parents. What monsters.

These monsters took more than 250 people hostage, Those included Holocaust survivors, grandmothers, grandmothers and their grandchildren. Who takes hostage grandmothers and grandchildren? Hamas does.

So far, we’ve brought home 207 of these hostages. But 48 still remain in the dungeons of Gaza. 20 of them are alive – Starved, tortured, deprived of any daylight, deprived of humanity.

These are the names of the 20 living hostages:
Matan Angrest
Gali and Ziv Berman – Brothers
Elkana Bohbot
Rom Braslavski
Nimrod Cohen
Ariel and David Cunio – Another pair of brothers
Guy Gilboa Dalal
Evyatar David. You saw the picture of Evyatar David. Emaciated, forced to dig his own grave.
Maxim Herkin
Eitan Horn
Segev Kalfon
Bar Kuperstein
Omri Meiran
Eitan Mor
Yosef-Haim Ohana
Alon Ohel
Avinatan Or
and Matan Zangauker

Loudspeakers in Gaza​

Now, ladies and gentlemen, I want to do something I’ve never done before – I want to speak from this forum directly to those hostages through loudspeakers.

I’ve surrounded Gaza with massive loudspeakers connected to this microphone in the hope that our dear hostages will hear my message. I will say it first in Hebrew, and then in English.

[Hebrew]

Our brave heroes – This is Prime Minister Netanyahu, speaking to you live from the United Nations. We have not forgotten you. Not even for a second. The people of Israel are with you. We will not falter, and we will not rest, until we bring all of you home.

Ladies and gentlemen, Thanks to special efforts by Israeli intelligence, my words are now also being carried, they’re streamed live to the cellphones of Gazans.


“So to the remaining Hamas leaders, and to the jailors of our hostages, I now say: Lay down your arms. Let my people go! Free the hostages! All of them. The whole 48. Free the hostages now! If you do, you will live. If you don’t, Israel will hunt you down.

Ladies and gentlemen, if Hamas agrees to our demands, the war could end right now. Gaza would be demilitarized, Israel would retain overriding security control, and a peaceful civilian authority would be established by Gazans and others committed to peace with Israel.

Of course, you understand that the war in Gaza has affected every Israeli.
But I am sure there are people in New York, London, Melbourne and elsewhere who are probably thinking – what does all of this have to do with me?

The answer is…everything! Because our enemies are your enemies. Let’s do something else, another first at the UN.




Let’s do a pop quiz.

Raise your hand if you know the answer.
First question. Who shouts “Death to America?”
Is it A) Iran, B)Hamas, C) Hezbollah, D) the Houthis or E) All of the above?

All of the above. Correct. All of the above.

Second question. Who has murdered Americans and Europeans in cold blood. Is it A) Al Qaeda, B) Hamas, C) Hezbollah, D) Iran or E) All of the above?

Correct again, all of the above.

So here’s the point I want to make: Our enemies hate all of us with equal venom. They want to drag the modern world back to the past… to a dark age of violence, fanaticism, and terror. I think many of you are already feeling in your own societies the radical Islamist surge. I’m sure you do.

You know deep down that Israel is fighting your fight. I want to tell you a secret.

Behind closed doors, many of the leaders who publicly condemn us, privately thank us. They tell me how much they value Israel’s superb intelligence services that have prevented time and again terrorist attacks in their capitals. Time and again saving countless lives.

General George Keegan, former head of US Air Force intelligence, once said, “If the United States had to gather on its own the intelligence that Israel gives us, we would have to establish five CIAs.”

Five CIAs.

This past June, when Israel struck Iran’s nuclear facilities, German Chancellor Mertz admitted the truth. He said, “Israel is doing the dirty work for all of us.”

President Trump understands better than any other leader that Israel and America face a common threat. He showed the world that when Iran and its proxies murder Americans, take Americans hostage, shout Death to America, burn American flags and try to assassinate the President of the United States – not once, but twice. He showed them there is a price to pay for all that.

Regrettably, many leaders who are represented in this hall, they send a very different message. Sure, in the days immediately following October 7th, many of them supported Israel. But that support quickly evaporated when Israel did what any self-respecting nation would do in the wake of such a savage attack.

We fought back.

Just imagine, just sit back for a second and imagine, an attack against America proportionate to the attack against Israel on October 7th. Imagine a regime, a terror regime, dispatching thousands of terrorists to invade the United States. They massacre 40,000 Americans. They take 10,000 Americans hostage.

What do you think America would do? Do you think America would leave that regime standing? You don’t think that. No way. Not a chance! The United States would wipe out that terror regime and ensure that such savagery would never threaten America again.

This is precisely what Israel is doing in Gaza. We’re wiping out the terror regime of Hamas and ensuring that its savagery will never threaten Israel again. That’s what we’re doing. That’s what any self-respecting government would do.

Weak-kneed leaders who appease evil​

Yet, and it’s a yet that I’m sorry to say here. Yet over time, many world leaders buckled– They buckled under pressure of a biased media, radical Islamist constituencies, and antisemitic mobs.

There’s a familiar saying: when the going gets tough, the tough get going. Well, for many countries here, when the going got tough, you caved!

And here’s the shameful result of that collapse. For much of the past two years, Israel has had to fight a seven-front war against barbarism, with many of your nations opposing us. Astoundingly, as we fight the terrorists who murdered many of your citizens, you are fighting us
There’s a familiar saying: when the going gets tough, the tough get going. Well, for many countries here, when the going got tough, you caved!

And here’s the shameful result of that collapse. For much of the past two years, Israel has had to fight a seven-front war against barbarism, with many of your nations opposing us. Astoundingly, as we fight the terrorists who murdered many of your citizens, you are fighting us.

You condemn us. You embargo us. And you wage political and legal warfare, it’s called lawfare, against us.

I say to the representatives of those nations, This is not an indictment of Israel.

It’s an indictment of you! It’s an indictment of weak-kneed leaders who appease evil rather than support a nation whose braver soldiers guard you from the barbarians at the gate.

They’re already penetrating the gate. When will you learn ….You can’t appease your way out of Jihad. You won’t escape the Islamist storm by sacrificing Israel.

To overcome that storm, you have to stand with Israel. But that’s not what you’re doing. As the prophets of Israel foretold in the Bible, You’ve turned good into evil … and evil into good. I want to drill down on this.

Take the false charge of genocide. Israel is accused of deliberately targeting civilians.

Ladies and Gentlemen, the opposite is true.

The head of urban warfare studies, Col. John Spencer, he’s probably the world’s expert on urban warfare, says, “Israel is applying more measures to minimize civilian casualties than any military in history.”

And because we’re doing that, the ratio of non-combatant to combatant casualties is less than 2 to 1 in Gaza.

That’s an astoundingly low ratio, lower than NATO’s wars in Afghanistan and Iraq, especially when you consider that Gaza is one of the most densely populated urban areas on earth. It has hundreds of miles of terror tunnels underground, and it has countless terror towers above ground, and thousands of terrorists embedded in these tunnels and in these towers in civilian areas.

If you want to see what measures Israel takes to avoid civilian casualties in this war, just look at what we’re doing now in Gaza City, the last Hamas stronghold, one of the two last strongholds.

For three weeks, Israel dropped millions of leaflets, sent millions of text messages and made countless phone calls urging civilians to leave Gaza City before our military moves in.


At the same time, Hamas implants itself in mosques, schools, hospitals, apartment buildings and tries to force these civilians not to leave, to stay in harm’s way. It often threatens them at gunpoint if they try to do so.

For Israel, every civilian casualty is a tragedy; for Hamas, it’s a strategy. Hamas uses civilians as human shields and as props in its sick propaganda war against Israel. A propaganda war that the Western media buys hook, line and sinker.

Despite Hamas’ threats, close to 700,000 Gazans, almost three-quarters of a million, have already heeded our calls and moved to safe zones.

Blood libels​

Now, I want to ask you a simple question. A simple logical question. Would a country committing genocide plead with the civilian population it is supposedly targeting to get out of harm’s way? Would we tell them to get out if we’re trying to commit genocide? We’re trying to get them out. And Hamas is trying to keep them in.

This charge is so baseless, the comparison to genocide, the wholesale slaughter of populations. Did the Nazis ask the Jews to leave, kindly leave, go out? Did others? Do you want me to name all the genocidal leaders of history. Just go one by one. Did anyone do this? Did they say “go out so we can come in”?

Of course not. The truth has been turned on its head. Hamas, a genocidal terrorist organization whose charter calls for the murder of all Jews on the planet, this genocidal organization is given a pass. It’s barely mentioned.

While Israel, which does everything it can to get civilians out of harm’s way, Israel is put in the dock. What a joke! What to hear another one:

Israel is accused of deliberately starving the people of Gaza, when Israel is deliberately feeding the people of Gaza. Since the beginning of the war, Israel has let into Gaza more than 2,000,000 tons of food and aid.

That’s one ton of aid for every man, woman and child in Gaza; Nearly 3,000 calories per person, per day. Some starvation policy!

If there are Gazans who don’t have enough food, it’s because Hamas is stealing it. Hamas steals it, hoards it and sells it at exorbitant prices to fund its war machine.

Last month, even the UN, not exactly a supporter of Israel — You’re supposed to laugh, by the way — Last month, even the UN admitted that Hamas and other armed groups looted 85% of the trucks. That’s why you have deprivation.

Those who peddle the blood libels of genocide and starvation against Israel are no better than those who peddled blood libels against the Jews in the Middle Ages, when they falsely accused us of poisoning wells, spreading plague, and using the blood of children to bake Passover Matzas.

Antisemitism dies hard. In fact, it doesn’t die at all. It just keeps coming back with its libelous lies, refurbished, regurgitated, over and over again.

And I want to tell you something else. These antisemitic lies have consequences. In recent months, Jews have been assaulted in Canada, Australia, Britain, France, the Netherlands and elsewhere.

Here in America, an elderly Holocaust survivor was burned to death in Colorado.

And a beautiful young couple from the Israeli Embassy in Washington was brutally gunned down right in front of the Holocaust Museum there.


Thankfully, President Trump’s administration is forcefully fighting the scourge of antisemitism. And every government here should follow its lead.

Murdering Jews pays off​

But instead, many do the opposite. They actually reward the worst antisemites on earth. This week, the leaders of France, Britain, Australia, Canada and other countries unconditionally recognized a Palestinian state.

They did so after the horrors committed by Hamas on October 7th – horrors praised on that day by nearly 90% of the Palestinian population. Let me say that again. Nearly 90% of Palestinians supported the attack on October 7th.

It’s not supported them, they celebrated. They danced on the rooftops, they threw candies. That’s both in Gaza and in Judea and Samaria, the West Bank, as you call it.

It’s just the way they celebrated another horror 9/11. They danced on the rooftops, they cheered, they threw candy. You know what message the leaders who recognized a Palestinian state this week sent to the Palestinians?

It’s a very clear message. Murdering Jews pays off.

Well, I have a message to these leaders: When the most savage terrorists on earth are effusively praising your decision, you didn’t do something right; you did something wrong. Horribly wrong. Your disgraceful decision will encourage terrorism against Jews and against innocent people everywhere.

It will be a mark of shame on all of you.

But, but, but, wait a minute, Mr. Prime Minister, they tell me. Wait a minute. We believe in a two-state solution, where the Jewish State of Israel will live side by side in peace with a Palestinian state.

There’s only one problem with that. The Palestinians – they don’t believe in this solution. They never have. They don’t want a state next to Israel. They want a Palestinian state instead of Israel.


That’s why every time they were offered a Palestinian state but were required to end the conflict with Israel and recognize the Jewish state, every time over the decades, they turned it down.

That is why every time they were given territory — they used it to attack us. In fact, they effectively had a Palestinian state — in Gaza. What did they do with that state?

Peace? Co-existence? No, they attacked us time and time again, totally unprovoked; they fired rockets into our cities, they murdered our children, they turned Gaza into a terror base from which they committed the October 7 massacre.

Here’s the uncomfortable truth: The persistent Palestinian rejection of a Jewish state in any boundary is what has driven this conflict for over a century. It is still driving it. It’s not the absence of a Palestinian state, it’s the presence of a Jewish state.

Like giving Al-Qaeda a state one mile from New York City​

And I find it amazing, amazing, that the foreign chancelleries and the ministries and all those who pontificate about this, and the leaders, how can they not see this basic truth when it is repeated again and again and again ad nauseam?

And I want to say something else. This rejection of a Jewish state not only applies to Hamas. It also applies to the so-called moderate Palestinian Authority. You should know that the Palestinian Authority pays terrorists to slay Jews.

The more Jews the terrorists slay, the more the Palestinian Authority pays. The Palestinian Authority names its government buildings, its public squares, and its schools after the mass murderers of Jews, which they glorify as martyrs.

They pay and glorify not just the killers of Jews but also killers of Christians.

Christians like Taylor Force – an American veteran, who was brutally murdered in Israel by Palestinian terrorists.

“But, but, but,” Again, but that I hear from the Western Leaders. They tell me the PA promised us it will reform. And I know this time, Prime Minister, it will be different.” Yeah, right. We’ve heard these promises for decades. They always promise. They never deliver.

The Palestinian Authority is corrupt to the core. They haven’t held elections in 20 years. They use the same textbooks as Hamas. Exactly the same textbooks. They teach their children to hate Jews and destroy the Jewish state.

And Christians don’t fare much better. When Bethlehem, the birthplace of Jesus, was under Israeli control, 80 percent of its residents were Christians.
But since the PA took control, that number has dwindled to under 20 percent.

These are the people you want to give a state to? What you’re doing is giving the ultimate reward to intolerant fanatics who perpetrated and supported the October 7th massacre.

Giving the Palestinians a state one mile from Jerusalem after October 7th is like giving Al-Qaeda a state one mile from New York City after September 11th.

Here’s another message for these Western leaders: Israel will not allow you to shove a terror state down our throats. We will not commit national suicide because you don’t have the guts to face down a hostile media and antisemitic mobs demanding Israel’s blood
This is sheer madness. It’s insane, and we won’t do it.

So here’s another message for these Western leaders: Israel will not allow you to shove a terror state down our throats. We will not commit national suicide because you don’t have the guts to face down a hostile media and antisemitic mobs demanding Israel’s blood.

I want you to grasp something else that is also distorted in the media. I say this not only in my name or the name of my government but on behalf of all the people of Israel. Last year, there was a vote in the Knesset, our parliament, whether or not to oppose the imposition of a Palestinian state. You want to guess what the results were? Out of the 120 members of our parliament, 99 voted against. And only 9 supported. That’s over 90%. It’s not a fringe group, it’s not the prime minister who is extreme or is held hostage by extreme parties to his right.

So my opposition to a Palestinian state is not simply my policy or my government’s policy. It is the policy of the state and people of the State of Israel.

Western leaders may have buckled under pressure. I guarantee you one thing, Israel won’t.

Possibilities of peace​

Israel’s victories over the Iranian terror axis have opened up possibilities for peace that were unthinkable two years ago. Take Syria. For decades, the very idea of peace between Israel and Syria seemed unimaginable. No more. Today, we have begun serious negotiations with the new Syrian government. I believe an agreement can be reached that respects Syria’s sovereignty and protects both Israel’s security and the security of the minorities in the region, including the Druze minorities.

From the founding of Israel, Jews and Druze have been brothers in arms.
We have fought together, bled together, we built our lives together. When I was a young commander in Israel’s special forces, my own life was saved by the invaluable advice given to me by a great friend, Salem Shufi, a heroic Druze IDF veteran. That’s why I could not sit idly by, nor could Israel sit idly by, while the Druze were being slaughtered by Jihadists. And I instructed our forces to stop the massacre. Which they promptly did.

Peace between Israel and Lebanon is possible as well. I call on the Lebanese government to also begin direct negotiations with Israel. I commend it for its declared aim to disarm Hezbollah. But we need more than words. If Lebanon takes genuine and sustained action to disarm Hezbollah, I am sure we can achieve a sustainable peace.

Of course, until that happens, we will take whatever action we need to defend ourselves and to maintain the conditions of the ceasefire that was established in Lebanon. Our goal is not merely to monitor Hezbollah’s actions, but to prevent them from violating the ceasefire and attacking us at any time. I’m sure that if the Lebanese government persists in its goal of disarming Hezbollah, peace will come very speedily and very readily.

Victory over Hezbollah has made peace possible with our two Arab neighbors in the North. Victory over Hamas will make peace possible with nations throughout the Arab and Muslim world.

Our victory would lead to a dramatic expansion of the historic Abraham Accords, which President Trump brokered between Arab leaders and myself five years ago.

I took note, as I’m sure you did too, of the encouraging words spoken here by the President of Indonesia. This is the country with the world’s largest Muslim population of all nations. It’s also a sign of what could come.

Forward-looking Arab and Muslim leaders know that cooperating with Israel will provide them with ground-breaking Israeli technologies, including in medicine and science, agriculture and water, defense and AI and so many other fields.


I believe that in the coming years, the Middle East will look dramatically different.

Many of those who wage war on Israel today will be gone tomorrow. Brave peacemakers will take their place.

Nowhere will this be more true than in Iran. The long-suffering Iranian people will regain their freedom. They will Make Iran Great Again! And our two ancient peoples, the people of Israel and the people of Iran, will restore a friendship that will benefit the entire world.

Ladies and gentlemen: The horrors that happened on one dark day, October 7th, those horrors happened countless times during the centuries of my people’s exile among the nations. Jewish blood was cheap. Jews were killed with impunity.

We had to beg others to defend us. The rise of Israel did not mean that the attempts to destroy us would end. It meant that we could fight back against those attempts.

That is exactly what Israel has done since October 7th. Our sons and daughters fought like lions. Our brave soldiers donned their uniforms and rushed into battle.

They were armed with the dreams of the 100 generations of Jews who came before them. The dream of living as a free people in the Land of Israel, our beloved homeland for more than 3000 years.

The dreams of living in our own independent state. The dream of having an army to defend ourselves. And the dream of being a light unto the nations – a beacon of progress, ingenuity and innovation for the benefit of all humanity.

On October 7th, the enemies of Israel tried to extinguish that light. Two years later, the resolve of Israel, and the strength of Israel burn brighter than ever. With God’s help, that strength and that resolve will lead us to a speedy victory and to a brilliant future of prosperity and peace."

Thank You Very Much.
 
25 September 2025
UNGA 2025
New York City

HOTUBA YA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MBELE YA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA - UNGA2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=K90oOjHCaK4
Philip Isdor Nzabhayanga Mpango, Vice President of the United Republic of Tanzania, addresses the General Debate of the 80th Session of the General Assembly of the United Nations (New York, 23 - 29 September 2025).
 
01 January 2026
Miami, USA

Hotuba ya Benjamin Netanyahu katika hafla ya JNS huko Florida​


View: https://m.youtube.com/watch?v=yuwzkEHgQLQ

( Januari 1, 2026 / JNS )
Hapa chini kuna maandishi kamili ya hotuba zilizotolewa na Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu wakati wa hafla ya JNS katika Bandari ya Shul of Bal huko Surfside, Fla., mnamo Desemba 31, 2025.

Asante, Maseneta Bernie Moreno na Ashley Moody. Nina uhakika hii si mara yenu ya kwanza kuhudhuria tukio la Kiyahudi, na nawaambia pia marafiki zetu wawakilishi wa Bunge la Marekani walio hapa.

Utagundua kwamba maseneta wana utangulizi mrefu na hotuba fupi, ambayo ndiyo ninayokusudia kufanya, lakini nataka kuwashukuru wote walionitangulia kwa maneno yao ya kugusa moyo au msaada wao wa dhati, jinsi mnavyonipokea mimi na Sara, mwanangu Yair, ujumbe wetu unaojumuisha waziri Regev wa serikali ya Israeli, balozi wetu katika Umoja wa Mataifa, balozi wetu huko Washington, na, bila shaka, waambata wetu wa ubalozi wetu huko New York na Miami.

Nataka kuwashukuru nyote, viongozi wa dini marabi, Tila, ni nguvu ya asili iliyoje. Mwanamke huyu ni wa ajabu. Wazazi wake, Hannah, hapo ndipo anapoipata. Na Simon, pia, marafiki zetu wakubwa.

Tunasimama hapa siku ya mwisho ya mwaka wa 2025 hapa Miami, katika jimbo maarufu la Florida. Sijui mtu yeyote ambaye haji Florida siku hizi, na wengi wao hawaondiki bali hubaki. Ni furaha kuwa miongoni mwa Wayahudi wenye fahari na marafiki zetu wasio Wayahudi wenye kuona ufahari wa kuwa karibu na watu wa Kiyahudi na pia taofa la Israeli, ambao wanaelewa kwamba umoja, nguvu na maagano, ndio walinzi na wadhamini wa mustakabali wetu. Umoja, nguvu na maagano, ndivyo vinavyofanya utofauti.

Sasa tulikuwa—janga la historia ya watu wetu ni kwamba baada ya kufukuzwa kutoka nchi yetu ya ahadi, tulipoteza nguvu, umoja na maagano, na matokeo yalikuwa ya kutisha, zaidi ya watu wengine wote walioteseka katika historia. Tulifukuzwa kutoka nchi moja hadi nyingine. Tuliteseka kwa mauaji ya halaiki. Tuliteseka kwa mauaji ya halaiki, na kufikia kilele katika mauaji makubwa zaidi kuliko yote, Mauaji ya Halaiki wakati wa vita kuu ya dunia miaka ya 1939 - 1945, ambapo theluthi moja ya watu wetu walipotea.

Nje ya hapa, tulikuwa na mkutano, sherehe, na mwanamume mmoja akanijia. Ana umri wa miaka 101. Jina lake ni Jack Waksal. Jake, simama, simama. Simama, Jack.

Jack ni manusura wa mauaji ya halaiki. Alitoroka kambi za kifo, nami nikamsalimia kwa mkono, nikamwambia, na nikakuambia, nauambia ulimwengu mzima, "Kamwe mauaji ya halaiki yasirudi tena. Kamwe yasirudi tena."

Mwaka jana 2024 haukuwahi tena kukwepa nia ovu ya wauaji wa halaiki, ambapo tuliwaonyesha wale waliotaka kuwaangamiza Israeli, kwamba tutawaangamiza ninyi. Hamtatuangamiza.

Mwaka ujao 2026 hautakuwa tena, na hautakuwa tena milele, kwa sababu tumebadilisha historia ya Kiyahudi kwa kuanzishwa kwa taifa huru la Kiyahudi na jeshi huru la Kiyahudi. Katika silaha zetu za ulinzi, tunaweza kufanya kitu ambacho Wayahudi kwa karne nyingi katika Diaspora hawakuweza kufanya.

Tulitukanwa na uongo mbaya, uongo mbaya. Eti Tunatia sumu kwenye visima. Tunawaua watoto Wakristo kwa kutumia damu yao kuoka matzot kwa ajili ya Pasaka. Tulikuwa tumebeba wanyama waharibifu. Na matusi haya yalitangulia shambulio la kimwili. Hatukuweza kujilinda, si dhidi ya la kwanza wala la pili.

Lakini kwa kuibuka kwa Taifa la Israeli, jambo moja lilibadilika. Tuna uwezo wa kujilinda dhidi ya mashambulizi kutoka kwa wauaji maadui zetu watarajiwa. Tunafanya hivyo, na tulionyesha hilo. Tulirejesha uwezo wa Wayahudi kujilinda, wao wenyewe. Tungeweza kufanya hivyo kwa nguvu zetu huru.

Haimaanishi kwamba tumesimamisha matusi; bado yanaendelea. Lakini tuna uwezo wa kuhakikisha kwamba hayafanikiwi.

Tunaweza kufanya hivyo kwa sababu tuna wanajeshi hodari sana kama Ran Gvili, shujaa wa Israeli, shujaa wa Israeli. Ran alifika mbele mnamo Oktoba 7, 2024 akafika mstari wa mbele wa mapambano akiwa amevunjika mkono, kisha akapigwa risasi mbili na akawaua magaidi 14 kabla ya kuisha risasi, nao wakamuua, na wakapeleka mwili wake Gaza, na nawaambia, Talik na Itzik, wazazi wake wapendwa, na dada zake walio hapa na kaka yake, tutamrudisha, tunafanyia kazi sasa hivi. Atarudi. Wa kwanza kuingia, wa mwisho kutoka, lakini atarudi. Atarudi kwenu wanafamilia na pia aturudi kwetu.

Tulifanikiwa, baada ya shambulio baya zaidi kwa Wayahudi tangu Mauaji ya Kimbari, wakati kila mtu alifikiri kwamba Israeli ilikuwa imeangamia, ilikuwa inaelekea mwisho. Hivyo ndivyo walivyosema. Ilikuwa inaelekea mwisho. Na je, ingeweza kuishi? Siku ya pili ya vita, nilisema, tutabadilisha sura ya Mashariki ya Kati. Na pamoja na wanajeshi wetu jasiri sana, pamoja na watu wetu hodari sana, raia wa Israeli.

Rais Trump aliniuliza, unafanyaje watu hao, wanastahimili vipi? Wanafanyaje—wanafanyaje? Nami nikasema, sawa, unaona, singeweza kumnukuu moja kwa moja mwimbaji mkubwa nchini Israeli. Nitasema kwa Kiebrania: Rak biglal haru'ach [“Kwa sababu tu ya roho”]. Unajua hilo.

Ni roho, ni roho ya mababu zetu. Ni roho ya mashujaa wa Israeli. Ni roho ya Makabayo ambayo imezaliwa upya katika Taifa la Israeli la kisasa. Ushujaa wa wanajeshi wetu, msimamo thabiti wa watu wetu na maamuzi sahihi tuliyochukua katika serikali yaliyobadilisha sura ya vita na kubadilisha sura ya Mashariki ya Kati.

Na kulikuwa na jambo lingine moja, mambo mawili. Kwanza, uwezo wa kufanya jambo sahihi, kuamua kufanya jambo sahihi na kisha kulifanya licha ya shinikizo kubwa, ikiwa ni pamoja na lile lililotoka kwa mshirika wetu mkubwa.

Ilitubidi kuonyesha hilo; maadui zetu waliona kwamba tungefanya kile kinachohitajika kulinda uwepo wa taifa letu la Israel na maisha ya raia wetu, na ukweli kwamba tulifanya hivyo chini ya mashambulizi makubwa katika vyombo vya habari vya dunia na chini ya hali ngumu sana na mshirika wetu wa Marekani, ulionyesha kina cha azimio letu.

Hilo lilikuwa jambo moja lililoonyeshwa, na likajiandikisha uwepo wa nia thabiti ya kujilinda. Lakini jambo la pili lililotokea ni kwamba pia tulikuwa na urafiki wa Marekani, na uungwaji mkono wa rais Donald J. Trump, na uungwaji mkono alioupa Taifa la Israeli.

Sasa, kumbuka, kumbuka, nilithamini ukweli kwamba katika hatua za mwanzo za vita, Rais Biden alikuja Israeli. Nilithamini ukweli kwamba alitusaidia mwanzoni. Lakini Rais Trump amekuwa thabiti na hatetereki.

Hakusita kamwe, ikiwa ni pamoja na katika mikutano ambayo tulikuwa naye Mar-a-Lago Florida. Hapo ni mahali fulani, naweza kukuambia. Namaanisha, kuna hali ya hewa nzuri kuliko Washington na mambo mengine machache, lakini rais ni yule yule.

Machale yake sahihi, yapo pia katika moyo wake. Hatuzungumzii uchungu alionao kutetea taifa letu la Israel, tunasema kishkus yake . Unajua, usaidizi wake wa silika kwa Taifa la Israeli, uelewa wake wa yaliyo sahihi, yaliyo ya haki, ambayo yamekuwepo tangu siku ya kwanza, na tumeonyesha kinachotokea wakati rais wa Marekani na waziri mkuu wa Israeli hawana mwangaza kati yao. Mambo ya ajabu. Mambo ya ajabu yanaweza kutokea. Yalitendeka na yatatendeka.

Kwa hivyo kwa wengi, wanaona maajabu ya Israeli. Wanaona jinsi taifa hili dogo, lenye talanta kubwa na roho, linavyoweza kukabiliana na maadui mara 10, 20 ya ukubwa wao na kushinda. Unaweza kuona ukweli kwamba uchumi wetu , baada ya miaka miwili ya vita, umeorodheshwa miongoni mwa uchumi tatu bora duniani.

Hiyo ni kwa sababu—na ninajivunia sana kuongoza mapinduzi ya soko huria ambayo yalitoa vipaji na fikra za kujizunia zilizomo ndani ya watu wetu, ndani ya raia wetu, na ambazo zilijitokeza. Na lazima niwaambie kwamba Israeli imetoka katika vita hivi ikiwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali kijeshi, na nguvu zaidi kuliko hapo awali kiuchumi. Imara.

Nguvu inamaanisha nini? Naam, tumesaini mkataba wa gesi wa dola bilioni 37. Hiyo ni nguvu. Tuna Nvidia tu . Nvidia, unajua Nvidia, kampuni ndogo, dola trilioni 4, unajua, waliamua kuwa na uwekezaji mkubwa nchini Israeli, na tunakaribisha hilo. Na viashiria vyote vya kiuchumi ni vya kushangaza.

Israeli ni nchi yenye nguvu sana, na hiyo inaashiria mema kwa siku zijazo, kwa sababu unashirikiana na wenye nguvu, unapata amani na wenye nguvu, na tumefungua fursa za amani ambazo hazijawahi kuwepo hapo awali.

Katika muhula wa kwanza wa uraisi wa Rais Trump, tulifanya Makubaliano ya Abraham (accord) yaliyoleta makubaliano manne ya kihistoria ya amani na mataifa manne ya Kiarabu, na tumejitolea kufanya zaidi, lakini jambo moja linaloamua yote hayo ni nguvu zetu. Ni amani kupitia nguvu, ni ustawi kupitia nguvu, ni matumaini kupitia nguvu. Na sisi ni watu wenye nguvu sana.

Lakini ni kweli kwamba tuna uso wa nane, na uso wa nane ni wimbi linaloongezeka la chuki dhidi ya Wayahudi kote ulimwenguni na vita kubwa tuliyonayo kwa ajili ya ukweli. Na kama naweza kukuachia kitu leo, ni hiki: Kama vile tunavyopigana vita vya kimwili kwenye uwanja wa vita na tunashinda, ni lazima pia tupigane vita kwa ajili ya ukweli. Ni lazima pia tusimame dhidi ya janga la chuki dhidi ya Wayahudi ambalo halituhatarishi sisi tu, bali kila jamii ambayo imeambukiza.

Inaanza na Wayahudi; haiishii kamwe na Wayahudi. Unaimaliza haraka, na hiyo inahitaji ujasiri wa viongozi, wawakilishi wa umma na raia.

Nawaambia ninyi, wanachama wa jumuiya ya Kiyahudi ya Marekani, jambo la mwisho mnalopaswa kufanya kabla ya mashambulizi ya chuki dhidi ya Wayahudi, wanapowashambulia, jambo la mwisho mnalopaswa kufanya ni kuinamisha kichwa chenu na kutafuta mahali pa kujificha. Hilo silo mnalopaswa kufanya. Mnapaswa kusimama na kuhesabiwa.

Unapaswa kujitetea. Unapaswa kuzungumza. Unapaswa kuwashambulia washambuliaji wako. Unapaswa kuwapa mamlaka wawakilishi ...

Na nina siri kwa ajili yako. Hakuna atakayekupigania zaidi ya unavyopigania wewe mwenyewe. Hilo ndilo linalotokea wakati Israeli inapigania yenyewe. Serikali zote, si zote, lakini serikali nyingi duniani huja kwetu. Israeli inapokuwa na nguvu, wengine wanataka kushirikiana nasi.

Simama na uhesabiwe, na utaona tofauti. Usiogope. Usiogope. Usiinamishe kichwa chako. Na kwa mwanafunzi mdogo wa chuo kikuu aliyeniuliza hapo awali, mwenye umri wa miaka 17, alisema, nifanye nini? Zungumza, simama, pigana. Hilo ndilo jambo muhimu. Inaitwa pigana, pigana, pigana—na kisha tutashinda, shinda, shinda—kwa msaada wa Mungu.

Shanah Tovah kwenu nyote. Mwaka ujao huko Yerusalemu—hiyo ni kesho. Asante.
 
22 September 2023
UN HQ, New York

Hotuba mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA : Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu 2023.


View: https://m.youtube.com/watch?v=kNH85jgzJ0Y

Asante Mheshimiwa Rais!(Wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa)

Mabibi na mabwana, zaidi ya milenia tatu zilizopita, kiongozi wetu mkuu Musa, alihutubia watu wa Israeli walipokuwa karibu kuingia katika nchi ya ahadi. Alisema wangekuta milima yao miwili ikitazamana. Mlima Gerizimu, mahali ambapo baraka kubwa ingetangazwa, na Mlima Ebali, mahali pa laana kuu.


Musa alisema kwamba hatima ya watu ingeamuliwa na uchaguzi waliofanya kati ya baraka na laana. Chaguo lile la enzi ya Musa, limekuwa likijirudia enzi na enzi, si kwa watu wa Israeli pekee. Lakini kwa wanadamu wote. Tunakabiliwa na chaguo kama hilo leo. Chaguo letu litaamua ikiwa tunafurahia baraka za amani ya kihistoria, ya mafanikio na matumaini yasiyo na mipaka, au tutapata laana ya vita vya kutisha vya ugaidi na kukata tamaa.

Nilipozungumza mara ya mwisho kwenye jukwaa hili hili la UNGA miaka mitano iliyopita, nilionya kuhusu madhalimu wa Tehran. Wamekuwa ni laana, laana kwa watu wao wenyewe, kwa eneo letu, kwa ulimwengu mzima. Lakini wakati huo, nilizungumza pia kuhusu baraka kubwa ambayo ningeweza kuona kwenye upeo wa macho.

Hivi ndivyo nilivyosema. Nanukuu: "Tishio la kawaida la Iran limeifanya Israeli na nchi nyingi za Kiarabu kuwa karibu zaidi kuliko hapo awali katika urafiki ambao sijawahi kuuona maishani mwangu."

Nilisema: “Siku ingefika hivi karibuni ambapo Israeli ingeweza kupanua amani nje ya Misri na Jordan hadi kwa majirani wengine Waarabu.” Mwisho wa kunukuu.

Sasa, katika mikutano isiyohesabika na viongozi wa dunia, nilitoa hoja kwamba Israeli na mataifa ya Kiarabu yalishiriki maslahi mengi ya pamoja, na kwamba niliamini kwamba maslahi haya mengi ya pamoja yangeweza kuwezesha mafanikio ya amani pana katika eneo letu la Mashariki ya Kati

Makofi

Asante (kwa makofi) . Naam, mnanipongeza sasa kwa makofi . Lakini wakati ule, wengi walipuuzia matumaini yangu kudhani kuwa ni ndoto za kufikirika. Kukata tamaa kwenu kulitokana na robo karne ya nia ya kuwepo kupatika amani , na lakini ikashindikana. Na kwanini amani ilifeli? Kwani kulikuwepo nia njema? Kwanini siku zote walikutana na kushindwa? Kwa sababu yaliegemezwa kwenye wazo moja la kwamba tusipohitimisha kwanza makubaliano ya amani na Wapalestina, hakuna nchi nyingine ya Kiarabu ambayo ingerekebisha uhusiano wake na Israeli.



Kwa muda mrefu nimetafuta kufanya amani na Wapalestina. Lakini pia ninaamini kwamba hatupaswi kuwapa Wapalestina kura ya turufu ya veto juu ya mikataba mipya ya amani na mataifa ya Kiarabu. Wapalestina wanaweza kufaidika sana na amani pana zaidi. Wanapaswa kuwa sehemu ya mchakato huo, lakini hawapaswi kuwa na kura ya turufu ya veto juu ya mchakato huo.


Na pia ninaamini kwamba kufanya amani na mataifa mengi ya Kiarabu kungeongeza matarajio ya kufanya amani kati ya Israeli na Wapalestina. Tazama, Wapalestina ni 2% tu ya ulimwengu wa Kiarabu. Maadamu wanaamini kwamba 90% nyingine itabaki katika hali ya vita na Israeli, umati huo mkubwa, ulimwengu huo mkubwa wa Kiarabu unaweza hatimaye kutumika kuharibu taifa la Wayahudi.

Kwa hiyo Wapalestina watakapoona kwamba sehemu kubwa ya ulimwengu wa Kiarabu imejipatanisha na dola ya Kiyahudi, wao pia, watakuwa na uwezekano mkubwa wa kuachana na dhana ya kuiangamiza Israel, na hatimaye kuikumbatia njia ya amani ya kweli.



Sasa, kwa miaka mingi, mtazamo wangu wa amani ulikataliwa na wale walioitwa wataalamu wabobezi. Naam, walikuwa na makosa. Chini ya mtazamo wao, hatukuunda mkataba mmoja wa amani kwa robo karne. Walakini, mnamo 2020, chini ya njia ambayo nilitetea, tulijaribu kitu tofauti. Na kwa muda mfupi, tulipata mafanikio ya kushangaza. Tuliafiki mikataba minne ya amani - tukifanya kazi na Marekani, Israel ilitengeneza mikataba minne ya amani, katika muda wa miezi minne, na nchi nne za Kiarabu - Umoja wa Falme za Kiarabu, Bahrain, Sudan na Morocco.

Makubaliano ya Abraham Accord yalikuwa msingi wa historia. Na leo, sote tunaona baraka za mapatano hayo. Biashara na uwekezaji na washirika wetu wapya wa amani inashamiri. Mataifa yetu yanashirikiana katika nyanja za biashara, nishati, maji, kilimo, madawa, mabadiliko ya hali hewa, na nyanja zingine nyingi. Takriban Waisraeli milioni moja wametembelea Umoja wa Falme za Kiarabu UAE katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Kila siku, Waisraeli wanaokoa muda na pesa kwa kufanya jambo ambalo hawakuweza kufanya kwa miaka 70 - wanaruka juu ya Rasi ya Arabia bila vikwazo hadi maeneo ya Ghuba, India, Mashariki ya Mbali na Australia.

Mikataba ya Abraham Accord ilileta badiliko jingine kubwa. Iliwaleta Waarabu na Wayahudi karibu zaidi. Tunaiona katika harusi za mara kwa mara za Kiyahudi huko Dubai, katika kuwekwa wakfu kwa shule ya Torati katika sinagogi huko Bahran. Katika wageni wakimiminika kwenye Jumba la Makumbusho la Uyahudi wa Morocco na Casablanca. Tunaiona katika masomo ambayo yanatolewa kwa wanafunzi wa Kiarabu kuhusu historia ya Maangamizi makubwa ya holocaust yaliyofanywa wakati wa Ujerumani ya Hitler katika mitaala ya shule za UAE.


Hakuna shaka. Makubaliano ya Abraham Accord yalitangaza mapambazuko ya enzi mpya ya amani.

Lakini ninaamini kwamba tuko kwenye kilele cha mafanikio makubwa zaidi - amani ya kihistoria kati ya Israel na Saudi Arabia. Amani kama hiyo itasaidia sana kumaliza mzozo wa Waarabu wa Israeli. Itahimiza mataifa mengine ya Kiarabu kurekebisha uhusiano wao na Israeli. Itaongeza matarajio ya amani na Wapalestina. Itahimiza mapatano mapana kati ya Uyahudi na Uislamu, kati ya Jerusalemu na Makka, kati ya uzao wa Isaka na uzao wa Ishmaeli. Hizi zote ni baraka kubwa sana.

Wiki mbili zilizopita, tuliona baraka nyingine zikiibuka. Katika mkutano wa G20, Rais Biden Waziri Mkuu Modi na viongozi wa Ulaya na Waarabu walitangaza mipango ya ukanda maalum wa ushoroba ambao utaunganisha rasi (Peninsula) ya Arabia na Israeli. Itaunganisha India na Ulaya na njia za meli baharini, mitandao ya reli, mabomba ya nishati, nyaya za mawasiliano fiber optic.


Ushoroba maalum (corridor) katika ukanda huu utawezesha kuondoa vituo vya ukaguzi vya baharini, barabarani, ktk reli na hivyo kupunguza kwa kiasi kikubwa gharama ya bidhaa, mawasiliano na nishati kwa zaidi ya watu bilioni 2.

Ni mabadiliko gani ya kihistoria zaidi ya haya kwa nchi yangu. Unaona, ardhi ya Israeli iko katika njia panda kati ya Afrika, Asia na Ulaya. Na kwa karne nyingi, nchi yangu ilivamiwa mara kwa mara na falme geni za mbali katika kampeni zao za uporaji na kutawala nchi za mbali. Lakini leo, tunapobomoa kuta za uadui, Israeli inaweza kuwa daraja la amani na ustawi wa kiuchumi na biashara kati ya mabara haya.


Amani kati ya Israel na Saudi Arabia itaunda Mashariki ya Kati mpya.

Ili kuelewa ukubwa wa mageuzi ambayo tunatafuta kuendeleza, ngoja nikuonyeshe ramani ya Mashariki ya Kati mnamo 1948, mwaka ambao Israeli ilianzishwa. Hapa kuna Israeli mnamo 1948. Ni kanchi kadogo, kilichotengwa, iliyozungukwa na ulimwengu wa Kiarabu wenye uadui.

Katika miaka yetu saba ya kwanza, tulifanya amani na Misri na Jordan. Na kisha mnamo 2020, tulifanya mapatano ya Abraham Accord - amani na nchi zingine nne za Kiarabu. Sasa angalia nini kinatokea tunapofanya amani kati ya Saudi Arabia na Israel. Mashariki ya Kati nzima inabadilika. Tunabomoa kuta za uadui. Tunaleta uwezekano wa ustawi na amani katika eneo hili lote. Lakini pia tunafanya jambo lingine.


Unajua, miaka michache iliyopita, nilisimama hapa na kalamu kuweka alama nyekundu katika ukanda wa Mashariki ya Kati kuonyesha laana, laana kuu, laana ya Iran ya nyuklia. Lakini leo, sasa, ninaleta alama hii kuonyesha baraka kuu, baraka ya Mashariki ya Kati mpya, kati ya Israeli, Saudi Arabia na majirani zetu wengine.

Hatutaondoa tu vikwazo kati ya Israel na majirani zetu, tutajenga ukanda mpya wa amani na ustawi unaounganisha Asia, kupitia UAE, Saudi Arabia, Jordan, Israel, hadi Ulaya. Haya ni mabadiliko ya chanya, mabadiliko makubwa. Alama nyingine ya historia.


Sasa, wakati ukanda wa amani Mashariki ya Kati upanuka, ninaamini kwamba njia ya kweli kuelekea amani ya kweli na majirani zetu wa Palestina inaweza hatimaye kupatikana. Lakini kuna tahadhari izingatiwe. Inapaswa kusemwa hapa, kwa uwazi na nguvu. Amani inaweza kupatikana tu ikiwa umebebwa na ukweli. Haiwezi kutegemea propaganda za uwongo. Haiwezi kuegemezwa kwenye chuki za kusambaza kashfa zisizo na mwisho kwa watu wa Kiyahudi.

Kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas lazima akome kueneza propaganda na njama za kutisha dhidi ya Wayahudi katika Taifa la Kiyahudi. Narudia, nasisitiza , hivi karibuni Mahmoud Abbas alisema kwamba mtawala imla Hitler wa Ujerumani hakuwa anachuki za kuwasakama wayahudi (antisemite) - huwezi kufanya kampeni hizi . Lakini alifanya hivyo. Alisema hivyo.


Na Utawala wa Palestina lazima uache kuwatukuza magaidi, waache sera yake ya kihuni ya kuwafadhili kwa kulipa pesa kwa magaidi wa Kipalestina, kwa ajili ya mauaji ya Wayahudi. Haya yote ni ya kuchukiza, lazima njama hizi zikome ili amani itawale

Na chuki na propaganda hasi dhidi ya Wayahudi lazima zikataliwe popote zinapoonekana, iwe upande wa kushoto au wa kulia, iwe katika kumbi za vyuo vikuu au katika kumbi za Umoja wa Mataifa. Ili Amani idumu, Wapalestina lazima waache kutema chuki kwa Wayahudi, hatimaye wajipatanishe na taifa la Kiyahudi. Kwa hilo simaanishi tu kuwepo kwa taifa la Kiyahudi, bali kwa haki ya watu wa Kiyahudi kuwa na haki ya kiasili kuwepo katika nchi yao ya kihistoria - ardhi ya Israeli.


Na niwaambie, watu wa Israeli wanatamani amani kama hii. Natamani amani kama hii. Wakati nikiwa mwanajeshi kijana, zaidi ya nusu karne iliyopita, askari wenzangu na mimi katika vikosi maalum vya Israeli tulikabili hatari za kufa katika nyakati nyingi kwenye medani nyingi za vita, kutoka kwenye maji ya uvuguvugu ya Mfereji wa Suez, hadi miteremko iliyoganda theluji ya Mlima Hermoni, kutoka nyuma ya Mlima Hermoni. Mto Jordan hadi lami za njia za kuruka ndege uwanja wa ndege wa Beirut Lebanon.

Uzoefu niliopata nikiwa askari mstari wa mbele vitani na mambo mengine njliyoyaona kwa macho yalinifundisha gharama ya vita. Askari mwenzangu aliuawa mita chache karibu yangu na mwingine alikufa mikononi mwangu. Nilimzika kaka yangu mkubwa. Wale wenzangu ambao binafsi wamewahi teseka katika laana ya vita wanaweza kuthamini vyema baraka za amani.


Sasa, kuna vikwazo vingi kwenye njia ya amani. Kuna vikwazo vingi, kwa njia ya makubaliano ya Abraham Accord ya amani ambayo nimeeleza hivi punde. Lakini nimejitolea kufanya kila niwezalo ili kushinda vikwazo hivi, kutengeneza mustakabali bora wa Israeli, na watu wetu wote, watu wote katika eneo letu.

Siku mbili zilizopita, nilijadili maono haya ya amani na Rais Joe Biden. Tunashiriki matumaini sawa kwa kile kinachoweza kupatikana. Na ninathamini sana kujitolea kwake kuchangamkia fursa hii ya kihistoria. Marekani ni mdau muhimu sana katika juhudi hizi. Na kama vile tulivyofanikisha Makubaliano ya Abraham, na uongozi wa Rais Trump, naamini tunaweza kupata amani na Saudi Arabia, na uongozi wa Rais Biden.

Kwa kufanya kazi pamoja na uongozi wa Mwanamfalme Mohammed bin Salman wa ufalme wa Saudia , tunaweza kuunda mustakabali wa baraka kubwa kwa watu wetu wote.


Sasa, mwajua, mabibi na mabwana, mwajua, kuna nzi katika mafuta haya safi. Kwa sababu uwe na uhakika, mahafidhina wakereketwa wanaotawala Iran watafanya kila wawezalo kuzuia amani hii ya kihistoria. Iran inaendelea kutumia mabilioni ya fedha kuwapa washirika wake wa ugaidi. Inaendelea kupanua hema zake za ugaidi katika Mashariki ya Kati, Ulaya, Asia, Amerika Kusini, hata Amerika Kaskazini.

Walijaribu hata kumuua waziri wa mambo ya nje wa Amerika. Walijaribu hata kumuua mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani. Hii inakuambia yote unayohitaji kujua kuhusu nia ya mauaji ya Iran, na asili ya mauaji ya Iran.


Iran inaendelea kutishia njia za meli za kimataifa baharini , kuwashikilia raia wa kigeni kwa ajili ya kuwakomboa kwa dau la fedha na kujihusisha na kuficha mipango ya kuwa na silaha za nyuklia. Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, mgambo wake wauaji wameua mamia na kuwatia mbaroni maelfu ya raia jasiri wa Iran.


Ndege zisizo na rubani na programu za makombora za Iran zinatishia Israel na majirani zetu wa Kiarabu na ndege zisizo na rubani za Iran zimeleta na kuleta kifo na uharibifu kwa watu wasio na hatia nchini Ukraine.


Hata hivyo uchokozi wa utawala huo wa Iran kwa kiasi kikubwa unakabiliwa na hali ya kutojali katika jumuiya ya kimataifa. Miaka minane iliyopita, madola ya Magharibi yaliahidi kwamba iwapo Iran itakiuka makubaliano ya nyuklia, vikwazo hivyo virejeshwa. Kweli, Iran inakiuka makubaliano. Lakini vikwazo havijarejeshwa.


Kuzuia mipango kificho ya hatari ya nyuklia ya Iran. Sera hii ya kujifanya hamnazo ya mataifa na umoja wa mataifa lazima ibadilike . Vikwazo lazima virudishwe. Na zaidi ya yote, Iran lazima ikabiliane na tishio la kushughulikiwa .* Maadamu mimi ni Waziri Mkuu wa Israeli, nitafanya kila niwezalo kuzuia Iran kupata silaha za nyuklia.


Vile vile, tunapaswa kuunga mkono wanawake na wanaume jasiri wa Iran wanajitokeza kupinga utawala Tehran, ambao wanatamani uhuru. Ambao wameamka kwa ujasiri kwenye vijia vya Tehran na miji mingine ya Irani na wanakabiliwa na kifo. Ni watu wa Iran tuwaunge mkono, sio wakandamizaji wao, maana wamejitolea kupiga ukandamizaji hivyo ni washirika wetu wa kweli kwa mustakabali bora.

Mabibi na mabwana, kama wakati wetu ujao utakuwa wa baraka au laana itategemea pia jinsi tunavyoshughulikia labda maendeleo muhimu zaidi ya wakati wetu. Kuongezeka kwa akili ya bandia AI - Artificial intelligence.

Mapinduzi ya AI yanaendelea kwa kasi kubwa ya kama spidi ya mwanga wa radi. Ilichukua karne nyingi kwa ubinadamu kufikia mapinduzi ya kilimo. Ilichukua miongo kadhaa kufikia mapinduzi ya viwanda. Tunaweza kuwa na miaka michache tu ya kukabiliana na mapinduzi ya AI.


Hatari ni kubwa, na ziko mbele yetu. Kuvurugwa kwa demokrasia, ubongo wetu kuchukuliwa na akili bandia , nafasi za kazi kupunguzwa, kuongezeka kwa uhalifu, na udukuzi wa mifumo yote inayowezesha maisha ya kisasa. Bado kinachosumbua zaidi, ni mlipuko unaowezekana wa vita vinavyoendeshwa na Akili Bandia -AI ambavyo vinaweza kufikia kiwango kisichoweza kufikiria.


Na nyuma ya hii labda kuna tishio kubwa zaidi, kilichokuwa simulizi za kusadikika ya mambo ya hadithi za kisayansi, kwamba mashine za kujifundisha zinaweza kudhibiti wanadamu, badala ya sisi watu kudhibiti mashine. Mataifa yanayoongoza duniani, hata yawe na ushindani, lazima yashughulikie hatari hizi. Ni lazima tufanye hivyo haraka. Na lazima tufanye hivyo pamoja. Lazima tuhakikishe kwamba zama za Akili Bandia ya AI utopia haigeuki kuwa tishio la AI.


Tuna mengi ya chanya ya kupata kupitia Akili Bandia . Hebu wazia baraka za hatimaye kubaini muundo wa kanuni za vinasaba chembe za urithi (gene), kurefusha maisha ya mwanadamu kwa miongo kadhaa, na kupunguza sana magonjwa ya uzee. Hebu fikiria huduma ya afya inayolengwa kulingana na muundo wa maumbile ya vinasaba vya kila mtu, na dawa ya kutabiri ambayo huzuia magonjwa muda mrefu kabla ya kutokea. Wazia roboti zinazosaidia kuwatunza wazee. Hebu fikiria mwisho wa msongamano wa magari, huku magari yanayojiendesha yakiwa ardhini, chini ya ardhi na angani. Hebu wazia elimu ya ziada kujifunza kibinafsi ambayo inakuza uwezo kamili wa kila mtu katika maisha yake yote.


Hebu fikiria ulimwengu wenye nishati safi isiyo na kikomo, na maliasili kwa mataifa yote. Hebu fikiria kilimo cha kisasa zaidi na viwanda vya kiotomatiki vinavyotoa chakula na bidhaa kwa wingi vinavyomaliza kabisa tatizo la njaa na upatikanaji chakula.


Najua huu maneno haya unayosikia ni kama mistari ya wimbo wa mwanamuziki nguli mtunzi John Lennon. Lakini yote yanaweza kutokea.


Hebu subiri kwa punde waza , fikiria kwamba tunaweza kufikia mwisho wa uhaba wa kila kitu!. Kitu ambacho kimeshindikana katika hali ya ubinadamu ndani ya historia yote. Haya Yote ni ndani ya uwezo wetu. Na hapa kuna kitu kingine ambacho tunaweza kufikia. Kwa matumizi sahihi ya Akili Bandia- AI, tunaweza kuchunguza mbingu za mbali kuliko hapo awali na kupanua tunachofahamu zaidi ya sayari yetu ya bluu.


Kwa uzuri au ubaya, maendeleo ya Akili Bandia - AI yataongozwa na mataifa machache, na nchi yangu Israeli tayari iko kati yao. Kama vile mapinduzi ya kiteknolojia ya Israeli yalivyoupa ulimwengu ubunifu wa kustaajabisha, nina imani kwamba Akili Bandia AI iliyotengenezwa na Israeli itasaidia tena wanadamu wote.


Natoa wito kwa viongozi wa dunia kuja pamoja ili kuchagiza mabadiliko makubwa yaliyo mbele yetu. Lakini kufanya hivyo kwa njia ya kuwajibika na ya kimaadili. Lengo letu lazima liwe zaidi kulinda kuwa Akili Bandia- AI inaleta uhuru na sio kiduchu, inazuia vita badala ya kuvianzisha na kuhakikisha kuwa watu wanaishi maisha marefu, yenye afya, yenye tija na amani. Ni ndani ya uwezo wetu.


Na tunapotumia nguvu za Akili Bandia -AI, ngoja kwanza tukumbuke kila wakati thamani isiyoweza kubadilishwa ya ubinadamu na hekima ya mwanadamu. Hebu tuthamini na undani wa uwezo wa huruma, ambao hauwezi kuchukuliwa na nafsi ya Akili Bandia AI


Maelfu ya miaka, Musa aliwapa wana wa Israel chaguo lisilo na wakati na la ulimwengu wote. Angalieni, nimesema mbele yenu hivi leo, baraka na laana. Na tuchague kwa busara kati ya laana na baraka zinazosimama mbele yetu leo. Wacha tutumie azimio letu na ujasiri wetu kukomesha laana ya Iran ya nyuklia na kurudisha nyuma ushabiki na uchokozi wake.

Hebu tulete baraka za Mashariki ya Kati mpya ambayo itabadilisha ardhi ambayo iliwahi kuandikwa kwa migogoro na machafuko, kuwa uwanda wa ustawi na amani. Na tuepuke hatari za Akili Bandia - AI kwa kuchanganya utu, nguvu za akili ya binadamu na mashine, ili kuleta mustakabali mzuri wa ulimwengu wetu katika wakati wetu, na kwa siku zote za mbele. Asante.


*Source : FULL TEXT: Benjamin Netanyahu's 2023 UN General Assembly Speech

Ndefu kama reli ya TAZARA
 
January 2026

Dr. Mordechai Kedar : The One Rule That Explains EVERY Middle East War


View: https://m.youtube.com/watch?v=-sIhy94YQLY
Great Lecture on the culture of the Middle East region to understand how things are determine from every angle not only literature, individual, group ..

Which are Three horses pulling in opposite directions, desert, source of water, enemy or clan, punishment for collobaration with enemy, revenge, washing shame by blood, compensation, commitment, support, group thinking, engraved in this society to survive in this region
Mordechai Kedar is an Israeli scholar of Arabic culture and a lecturer at Bar-Ilan University, Israel. He holds a Ph.D. from Bar-Ilan University in Arabic Studies. Kedar is an academic expert on Arab societies. He served for twenty-five years in IDF Military Intelligence, where he specialized in Islamic groups, the political discourse of Arab countries, the Arabic press and mass media, and the Syrian domestic arena. He is one of the few Arabic-speaking Israeli pundits seen on Arabic satellite channels defending Israel.
 
January 2026

Dr. Mordechai Kedar : The One Rule That Explains EVERY Middle East War


View: https://m.youtube.com/watch?v=-sIhy94YQLY
Great Lecture on the culture of the Middle East region to understand how things are determine from every angle not only literature, individual, group ..

Which are Three horses pulling in opposite directions, desert, source of water, enemy or clan, punishment for collobaration with enemy, revenge, washing shame by blood, compensation, commitment, support, group thinking, engraved in this society to survive in this region

Baada ya Dr. Mordechai Kedar kudadavua kwa kina utamaduni wa Mashariki ya Kati unavyofanya kazi kwa umoja na pia unavyowagawa wasiwe wamoja, Wadau Katika Mwitikio au coalition of the willing wameingia kazini kummaliza Iran ambaye amebaki yatima kwa kutengwa kutokana na tamaduni za Mashariki ya Kati na Mashariki ya Mbali yaani China kutojihushisha na vita

28 February 2026

28 Feb2026
SPECIAL REPORT: President Donald Trump has announced a "massive and ongoing operation" targeting Iran.


View: https://m.youtube.com/watch?v=RgM8QLiuL2g

Rais Donald Trump ametangaza "operesheni kubwa ya mapigano" dhidi ya Iran siku ya Jumamosi 28 February 2026 huku mashambulizi ya mchana katika shambulio la pamoja la Marekani na Israeli yakilenga maeneo ya kijeshi na serikali, maafisa walisema.

Operesheni hiyo kubwa ilisababisha wasiwai wa kulipiza kisasi kutoka kwa Iran na ripoti za makombora na ndege zisizo na rubani zinazoingia katika eneo hilo la Mashariki ya Kati ambapo mataifa ya kiArabu yameamua kumtenga Iran.

"Lengo letu ni kuwalinda watu wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyokuja kutoka kwa utawala wa Iran, kundi katili la watu walio majahili sana na wabaya," Trump alisema katika taarifa ya video.

Maafisa wa Marekani walisema operesheni hiyo inaweza kudumu kwa siku kadhaa zijazo, na Trump alikiri kwamba huenda kukawa na majeruhi wa Marekani kwani hii ni vita siyo video games.

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei na Rais Masoud Pezeshkian wote walilengwa katika shambulio kati ya Marekani na Israel, kulingana na vyanzo vitatu vya kuaminika vilivyotaarifu mwanzo wa mashambulizi ya leo dhidi ya utawala dhalimu wa Tehran
Source : ABC News
 
"Lengo letu ni kuwalinda watu wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyokuja kutoka kwa utawala wa Iran, kundi katili la watu walio majahili sana na wabaya," Trump alisema katika taarifa ya video.

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza vita dhidi ya Iran katika hotuba yake iliyochapishwa kwenye akaunti yake ya Ukweli wa Kijamii. Hapa kuna maandishi kamili:

28 February 2026

Donald Trump - 'Vyombo Vyote Iran Iwe Polisi, Jeshi , Mgambo Wekeni silaha zenu chini, la sivyo utakabiliwa na kifo cha uhakika'​

Rais wa Marekani Donald Trump atoa tangazo lake. Donald Trump / Ukweli Kijamii

Hotuba kamili ya Rais wa Marekani Donald Trump akitangaza vita dhidi ya Iran​



Muda mfupi uliopita, jeshi la Marekani lilianza operesheni kubwa za mapigano nchini Iran. Lengo letu ni kuwalinda watu wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyotarajiwa kutoka kwa utawala wa Iran, kundi katili la watu wakali na wabaya sana.


Shughuli zake za kutishia zinahatarisha moja kwa moja Marekani, wanajeshi wetu, vituo vyetu vya nje ya nchi na washirika wetu kote ulimwenguni. Kwa miaka 47, utawala wa Iran umeimba kwa sauti ya kifo kwa Marekani na kuendesha kampeni isiyoisha ya umwagaji damu na mauaji ya halaiki, ukilenga Marekani, wanajeshi wetu na watu wasio na hatia katika nchi nyingi sana.


Miongoni mwa vitendo vya kwanza kabisa vya utawala huo ilikuwa ni kuunga mkono utekaji nyara wa ubalozi wa Marekani mjini Tehran, na kuwashikilia mateka kadhaa wa Marekani kwa siku 444. Mnamo 1983, wawakilishi wa Iran walitekeleza mabomu katika kambi ya kijeshi ya Jeshi la Wanamaji huko Beirut ambayo yaliwaua wanajeshi 241 wa Marekani.

Mnamo mwaka wa 2000, walijua na pengine walihusika na shambulio la USS Coal. Wengi walikufa. Vikosi vya Iran viliwaua na kuwalemaza mamia ya wanajeshi wa Marekani nchini Iraq. Wawakilishi wa utawala huo wameendelea kufanya mashambulizi mengi dhidi ya vikosi vya Marekani vilivyoko Mashariki ya Kati katika miaka ya hivi karibuni, pamoja na meli za majini na za kibiashara za Marekani katika njia za meli za kimataifa.


Imekuwa ugaidi mkubwa. Na hatutavumilia tena. Kuanzia Lebanon hadi Yemen na Syria hadi Iraq, utawala huo umewapa silaha, kuwapa mafunzo na kuwafadhili wanamgambo wa kigaidi ambao wameijaza dunia kwa damu na matumbo.

Na ilikuwa ni wakala wa Iran Hamas aliyeanzisha mashambulizi ya kutisha ya Oktoba 7 dhidi ya Israeli, na kuwaua zaidi ya watu 1,000 wasio na hatia, wakiwemo Wamarekani 46, huku akiwachukua mateka raia wetu 12. Ilikuwa ni ukatili. Kitu kama hicho ambacho ulimwengu haujawahi kukiona hapo awali.

Iran ni mfadhili mkuu wa ugaidi duniani na hivi majuzi imeua makumi ya maelfu ya raia wake barabarani walipokuwa wakiandamana. Imekuwa sera ya Marekani, hasa utawala wangu, kwamba utawala huu wa kigaidi hauwezi kamwe kuwa na silaha ya nyuklia. Nitasema tena. Hawawezi kamwe kuwa na silaha ya nyuklia.

Ndiyo maana katika Operesheni ya Midnight Hammer Juni iliyopita, tulifuta mpango wa nyuklia wa serikali huko Fordow, Natanz na Isfahan. Baada ya shambulio hilo, tuliwaonya wasirudie tena harakati zao mbaya za kutafuta silaha za nyuklia. Na tulitafuta mara kwa mara kufanya makubaliano. Tulijaribu. Walitaka kufanya hivyo, hawakutaka kufanya hivyo tena. Walitaka kufanya hivyo, hawakutaka kufanya hivyo, hawakujua kinachoendelea. Walitaka tu kufanya uovu.

Lakini Iran ilikataa, kama ilivyofanya kwa miongo kadhaa. Walikataa kila fursa ya kuachana na matarajio yao ya nyuklia. Na hatuwezi kuvumilia tena. Badala yake, walijaribu kujenga upya mpango wao wa nyuklia na kuendelea kutengeneza makombora ya masafa marefu ambayo sasa yanaweza kuwatishia marafiki na washirika wetu wazuri barani Ulaya, wanajeshi wetu walioko ng'ambo na hivi karibuni wanaweza kufika katika nchi ya Marekani.

Hebu fikiria jinsi utawala huu ungekuwa na ujasiri kama ungekuwa na silaha za nyuklia na kwa kweli ungekuwa na silaha hizo kama njia ya kuwasilisha ujumbe wao.

Kwa sababu hizi, jeshi la Marekani linafanya operesheni kubwa na inayoendelea ili kuzuia udikteta huu mwovu na mkali kutishia Amerika na maslahi yetu ya msingi ya usalama wa taifa. Tutaharibu makombora yao na kuangamiza tasnia yao ya makombora. Itaangamizwa kabisa, tena. Tutaangamiza jeshi lao la wanamaji. Tutahakikisha kwamba wakala wa kigaidi wa eneo hilo hawawezi tena kuvuruga utulivu katika eneo hilo au dunia na kushambulia vikosi vyetu na hawatumii tena IED zao, au mabomu ya barabarani, kama wanavyoitwa wakati mwingine, kujeruhi na kuua maelfu na maelfu ya watu, wakiwemo Wamarekani wengi.

Na tutahakikisha kwamba Iran haipati silaha ya nyuklia. Ni ujumbe rahisi sana. Hawatakuwa na silaha ya nyuklia kamwe. Utawala huu utajifunza hivi karibuni kwamba hakuna mtu anayepaswa kupinga nguvu na uwezo wa Vikosi vya Jeshi vya Marekani. Nilijenga na kujenga upya jeshi letu katika utawala wangu wa kwanza.

Na hakuna jeshi duniani hata karibu na nguvu zake. Nguvu au ustaarabu. Utawala wangu umechukua kila hatua inayowezekana ili kupunguza hatari kwa wafanyakazi wa Marekani katika eneo hilo. Hata hivyo, na mimi sitoi kauli hii inawezekana, utawala wa Iran unatafuta kuua. Maisha ya mashujaa wa Marekani wenye ujasiri yanaweza kupotea na tunaweza kuwa na majeruhi. Hilo mara nyingi hutokea vitani. Lakini tunafanya hivi si kwa sasa, tunafanya hivi kwa ajili ya siku zijazo. Na ni dhamira njema.

Tunamwombea kila mwanajeshi anapohatarisha maisha yake bila ubinafsi ili kuhakikisha kwamba Wamarekani na watoto wetu hawatawahi kutishiwa na Iran yenye silaha za nyuklia. Tunamwomba Mungu awalinde mashujaa wetu wote katika hatari. Na tunaamini kwamba kwa msaada wake, wanaume na wanawake wa jeshi watashinda.

Tunao walio bora zaidi duniani. Nao watashinda.

Kwa wanajeshi wa Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, vikosi vya jeshi na polisi wote, nawaambia usiku wa leo kwamba lazima muweke silaha zenu chini na muwe na kinga kamili. Au, badala yake, mkabiliane na kifo fulani. Kwa hivyo wekeni silaha zenu chini. Mtatendewa haki kwa kinga kamili, au mtakabiliwa na kifo fulani.

Hatimaye, kwa watu wakubwa na wenye fahari wa Iran, nasema usiku wa leo kwamba saa ya uhuru wenu imefika. Kaeni salama. Msitoke nyumbani kwenu. Ni hatari sana nje. Mabomu yatadondoshwa kila mahali. Tutakapomaliza, chukueni serikali yenu. Itakuwa yenu kuichukua. Hii labda itakuwa nafasi yenu pekee kwa vizazi vingi.

Kwa miaka mingi umeomba msaada wa Marekani, lakini hukuupata. Hakuna rais aliyekuwa tayari kufanya kile ambacho niko tayari kufanya usiku wa leo. Sasa una rais anayekupa unachotaka. Kwa hivyo hebu tuone jinsi unavyojibu. Marekani inakuunga mkono kwa nguvu nyingi na nguvu kubwa. Sasa ni wakati wa kukamata udhibiti wa hatima yako na kuachilia mustakabali wenye mafanikio na utukufu ulio karibu nawe.

Huu ndio wakati wa kuchukua hatua. Usiruhusu ipite.

Mungu awabariki wanaume na wanawake jasiri wa majeshi ya Marekani. Mungu awabariki Marekani. Mungu awabariki nyote. Asante
 
UN HQ
Baraza la Usalama la UN
New York Marekani

MAELEZO KAMILI YA BREAKING NEWS : Israel Yaapa Kuendelea na Mashambulizi dhidi ya Iran, Yaikosoa IRGC katika UNSC

View: https://m.youtube.com/watch?v=kSnwleH5DzE
Balozi wa Israel katika Umoja wa Mataifa Danny Danon atoa hotuba kali ya UNSC, akiikosoa uongozi wa Iran na kuapa kuendelea na mashambulizi ya pamoja na Marekani.

Aliita operesheni hiyo kuwa suala la "umuhimu" na " kutuwezesha kuishi," akiishutumu Tehran kwa kuwa na mipango ovu ya matarajio ya kumiliki silaha za nyuklia, upanuzi wa makombora, na uharibifu wa kikanda kwa kutupa makombora Bahrain, UAE, Kuwait n.k huku akionya kwamba kampeni hiyo itaendelea mradi tu tishio hilo litaendelea.

Kelele za Iran Death to America Death to Israel kutoka kwa watawala wa Iran imekuwa ndiyo kauli mbiu yao kwa miongo kadhaa hadi kuibadilisha kuwa FATWA dhidi ya Israel, yaani apizo la kuiangamiza taifa la Israel lisiwepo ktk ramani ya dunia. Kelele hizi kutoka kwa watawala dhalimu wa Tehran kamwe hatuwezi kuzipuuza kama ni mzaha, tunazichukua kwa uzito na ndiyo maana tunawapiga watawala hawa na wala siyo raia (waIraini) ambao hatuna ugomvi nao. Sisi wagomvi wetu ni genge la watawala dhalimu wa Irani na vyombo vyao.

"Tunaiita Kutuwezesha Kuishi" Survival — Israel Yaapa Kuendelea na Mashambulizi dhidi ya Iran katika Hotuba ya Mlipuko ya Umoja wa Mataifa Danny Danon wa Israel Aishambulia Iran katika UNSC, Asema Mashambulizi Yataendelea "Wengine Wanaiita ni Uchokozi, Sisi Tunaiita Kujihakikishia Uwepo Wetu Kama Taifa " — Israel Yatetea hatua yake dhidi ya Iran, Yaishambulia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC liliitisha kikao cha dharura Jumamosi ili kushughulikia mgogoro unaoongezeka kwa kasi katika Mashariki ya Kati kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kulipiza kisasi kwa Tehran baadaye.

Baraza hilo la wanachama 15 lilikutana chini ya urais wa Uingereza kujadili hali hiyo, huku wanachama wakiwemo Urusi na China wakiomba kikao cha dharura huku kukiwa na wasiwasi wa kimataifa kuhusu kutokuwa na utulivu wa kikanda na hatari kwa amani na usalama wa kimataifa.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anatarajiwa kuhutubia baraza hilo, akihimiza kupunguzwa kwa mapigano na kukomeshwa kwa mapigano ili kuepusha mzozo mpana zaidi.
 

Awaambia usoni bila kupepesa macho : "Iran ni ISIS, na Umoja wa Mataifa uko kimya" — Masih Alinejad katika Umoja wa Mataifa


Januari 16 2026

Mwandishi wa habari na mwanaharakati Bi. Masih Alinejad anatoa hotuba kali katika Umoja wa Mataifa UN, akikabiliana na utawala wa Iran na kulaani ukimya wa Umoja wa Mataifa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Tnj04idztaw
Akizungumza mbele ya mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Iran, Januari 15, 2026, Alinejad alitilia shaka wa ukimya wa Katibu Mkuu António Guterres.

"Umoja wa Mataifa umeshindwa kujibu kwa dharura inayodaiwa wakati huu. Katibu Mkuu mwenyewe hajazungumza hadharani dhidi ya mauaji yanayoendelea nchini Iran.

Ukimya wakati huu unatuma ujumbe kwa wauaji wa waandamanaji wachanga. Katibu Mkuu, najua unanisikia. Nataka kuzungumza nawe moja kwa moja.

Kwa nini unaiogopa Jamhuri ya Kiislamu?" Alinejad pia alishuhudia jinsi Jamhuri ya Kiislamu ilivyojaribu kumuua na kumteka nyara huko Amerika—mara tatu—kupitia maafisa wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

"Iran ina tabia kama ISIS—na lazima itendewe kama ISIS." (Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Januari 15, 2026.) ⚡ Alinejad alikuwa mzungumzaji mkuu katika Mkutano wa 18 wa kila mwaka wa Geneva wa Haki za Binadamu mnamo Februari 18, 2026
 
Januari 16 2026
Mfungwa wa zamani wa kisiasa wa Iran Ahmad Batebi atoa ushahidi katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu msako wa Iran dhidi ya waandamanaji—akiitaka dunia kuchukua hatua. (Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Januari 15, 2026.)

View: https://m.youtube.com/watch?v=5-8O0cyIpOk
 
19 March 2026

Taarifa ya Waziri Mkuu Netanyahu kwa Vyombo vya Habari vya Kigeni​


View: https://m.youtube.com/watch?v=kqGs6HEwd-c
SCRIPT
"Kwanza kabisa, nataka tu kusema kwamba niko hai, na nyinyi nyote ni mashahidi."

Sasa kwa kuwa nimeondoa habari hii ya uongo feki, nataka kuwapa taarifa mpya kuhusu Operesheni ya Kunguruma Simba Roaring Lion . Chini ya uongozi wa maono wa Rais Trump, Amerika na Israeli wanashirikiana nchini Iran kwa kuongoza kampeni ya nguvu isiyo na kifani dhidi ya utawala wa kiwendawazimu wa Ayatollah.

Operesheni ya Ngurumo ya Simba imeundwa kuondoa vitisho vinavyotokana na utawala wa Ayatollah, utawala ambao umepigana vita dhidi ya Amerika na Israeli na watu wa Iran kwa miaka 47. Wakitamba na, Kibwagizo cha kaulimbiu 'Kifo kwa Amerika, Kifo kwa Israeli, na pia inawapa watu wake kifo.

Malengo yetu ni matatu. Moja, kuondoa tishio la nyuklia. Pili, kuondoa tishio la makombora ya masafa marefu na kuondoa vitisho hivi vyote viwili kabla havijafichwa kwa kuzikwa chini ya ardhi ndani ya mahandaki marefu na kuwa kinga dhidi ya mashambulizi ya angani. Na tatu, hii ina maana ya kuunda mazingira kwa watu wa Irani kufahamu uhuru wao, kuchukua hatima yao mikononi mwao wenyewe.

Leo, utawala wa Ayatollah haushambulii Amerika tu, haushambulii Israeli tu, haushambulii watu wa Iran tu, bali pia unashambulia Mashariki ya Kati nzima na kwingineko. Wameshambulia raia na Wamarekani na mali za Marekani nchini Iraq, Kuwait, Saudi Arabia, Bahrain, Qatar, UAE, Oman, na hata wamethubutu kushambulia nchi ya Cyprus iliyo barani Ulaya kwa kutumia vikaragosi vyao waliopo Lebanon.

Tumeonya kwa miongo kadhaa kwamba mpango wao wa makombora ya masafa marefu utatumika kushambulia maeneo mbalimbali, na ikiwa hawatazuiwa, huo ni mwanzo tu.

Vibwagizo vyao vya 'Kifo kwa Marekani na Kifo kwa Israel' vinavyoimbwa nchini Iran na kujaribu kuitisha dunia kwa kufunga njia muhimu ya kimataifa ya baharini, Mlango wa Hormuz usifanye kazi. Israeli inasaidia kwa njia yake, kwa akili na njia zingine, juhudi za Marekani za kufungua mlango wa bahari wa Hormuz.


Lakini nataka kukuuliza ufikirie jinsi utawala wa Ayatollah ungeweza kuitisha dunia nzima ikiwa ungekuwa na makombora ya masafa marefu yenye vichwa vya silaha kali ya nyuklia. Hebu fikiria wangefanya nini.

Angalia wanachofanya sasa na fikiria wangefanya nini kama wangekuwa na makombora ya balestiki, makombora ya balestiki ya masafa marefu ya kimataifa na vichwa vya nyuklia. Hebu fikiria tu jinsi ingeweza kuwa tishio kubwa.

Kwa hivyo leo Israeli na Marekani kupitia operesheni hii dhidi ya utawala wa Ayatollah wanailinda si tu Amerika, Israeli, Mashariki ya Kati nzima, lakini nathubutu kusema dunia nzima. Licha ya habari bandia ambazo kwa bahati mbaya zimesambazwa tangu kuanza kwa vita siku 20 zilizopita, tunashinda, na Iran inaangamizwa.

Silaha za makombora na ndege zisizo na rubani za Iran zinaharibiwa kwa wingi sana na zitaharibiwa. Mamia ya silaha vifyatuaji vyao vimeharibiwa, akiba yao ya makombora inapigwa vikali, na vivyo hivyo viwanda vinavyoyazalisha silaha na zana hizo. Hilo ni muhimu.

Katika operesheni Rising Lion 2025 Simba ananyanyuka, tuliharibu makombora na tukaharibu miundombinu mingi ya nyuklia. Lakini tunachoharibu sasa ni viwanda vinavyozalisha vipengele vya kutengeneza makombora haya na kutengeneza silaha za nyuklia ambazo wanajaribu kutengeneza. Tunaangamiza kambi yao ya viwanda kwa njia ambayo hatukuwahi kufanya hapo awali.

Ulinzi wa anga wa Iran umefanywa kuwa hauna maana kwani umetepeta. Jeshi lao la wanamaji liko chini ya kilindi kirefu cha kina cha bahari baada ya kuangamizwa kwa mashambulio yetu. Leo tunapiga sehemu nyingine ya jeshi lao la wanamaji katika Bahari ya Caspian kaskazini mwa Iran. Jeshi lao la anga karibu liangamizwe.

Muundo wa kijeshi na vyombo vyote vya kutoa amri na udhibiti wa jeshi na vyombo vya Iran uko katika makanganyiko mkubwa kwa makamanda wao wakuu na maafisa waandamizi kuuawa. Na naweza kukuambia kwamba bado kuna kazi zaidi ya kufanya, na tutafanya hivyo.

Na ninataka kupinga minongono ya matamshi ya uzumii wa habari nyingine ya uongo feki, na hiyo ni kwamba Israeli kwa namna fulani iliiingiza Marekani katika mgogoro na Iran. Je, kuna mtu yeyote anayefikiri kweli kwamba mtu anaweza kumwambia Rais Trump la kufanya? Haya. Rais Trump hufanya maamuzi yake kila wakati kuhusu kile anachofikiri ni kizuri kwa Amerika, na naomba niongeze, nadhani anafanya kile ambacho pia ni kizuri kwa vizazi vijavyo. Katika hali hii, maslahi hayo yako wazi kabisa, na hivyo ndivyo ilivyo wazi kwa mafanikio yetu. Pamoja kwa ushirikiano wa karibu na Rais Trump, ushirikiano wa karibu kati ya Amerika na Israeli, wanajeshi wetu, huduma zetu za ujasusi, tunafikia malengo kwa kasi ya umeme.

Lakini nataka kusema neno lingine. Imesemwa kwamba kwa miaka 40 nimekuwa nikisema kwamba Iran ni hatari kwa Israeli na hatari kwa ulimwengu. Hiyo ni kweli. Unajua ni nani mwingine aliyesema hivyo? Rais Trump, miaka 47 iliyopita, wakati majambazi wa Iran walipoteka majengo ya ubalozi wa Marekani, alisema jinsi utawala huu ulivyo hatari. Katika muhula wake wa kwanza ofisini, hakuhitaji kushawishiwa. Alisema makubaliano ya maridhiano kuhusu nyuklia na Iran yalikuwa makubaliano mabaya zaidi kuwahi kushuhudiwa, na akajiondoa. Kabla tu ya muhula wake wa pili, kabla ya kuchaguliwa tena, nilienda kumwona Florida huko Mar-a-Lago. Jambo la kwanza aliloniambia lilikuwa, Bibi (a.k.a Netanyahu), tunapaswa kuhakikisha kwamba Iran haina silaha za nyuklia. Aliniambia hivyo. Sikumwambia. Hakuhitaji kushawishiwa kuhusu jambo hilo.

Sasa kwa nini alisema hivyo? Kwa sababu kwa zaidi ya miongo minne, utawala huu, kama nilivyosema mwanzoni mwa hotuba zangu, wimbo wa jaramba la utawala wa Ayatollah wakijipiga vifua , wa 'Kifo kwa Israeli, Kifo kwa Amerika.

Lakini Iran wanasema Israeli ni Shetani mdogo tu anayesimama njiani mwao. Shetani mkuu ni Marekani. Na hawa washabiki wa kiitikadi kali, hawa wapumbavu, wanaona sababu yao ya kuwepo, ni kufuta ustaarabu wa Magharibi na Amerika inayoiongoza. Wamesitisha maisha, wamewajeruhi na kuwajeruhi maelfu ya Wamarekani nchini Iraq na Afghanistan. Waliwaua wanajeshi wa Marekani huko Beirut. Walipiga mabomu balozi zenu.

Walijaribu kumuua rais wa Marekani, Donald Trump, si mara moja bali mara mbili. Sasa wanatutishia kwa mafuta. Hebu fikiria wangefanya nini, wanachoweza kufanya, kama hawa wapumbavu wendawazimu wangekuwa na silaha za nyuklia na njia za kuzivyatua masafa marefu hadi kufikia kila mji wa Marekani na kila mji wa Ulaya na kila mahali duniani kote. Hii ni hatari kwa ulimwengu mzima. Hakika ni hatari kwa Israeli. Hakika ni hatari kwa Amerika.

Hatupepesi macho kuhusu hilo, mimi na Rais Trump, Israeli na Amerika. Lakini nadhani ikiwa watu ni waaminifu, ikiwa viongozi ni waaminifu, wangeelewa kwamba hatupigani vita vyetu tu, bali pia tunapigana vita vyao.

Ninazungumza na viongozi kadhaa wa dunia, makumi kadhaa. Wote waunga mkono na najua msimamo huo wa Trump. Na tukiwa faragha, wote wanasema hivyo. Wanasema hivyo faraghani, lakini mimi sijifichi nasema hivyo hadharani. Dunia ina deni kubwa la deni kubwa, deni kubwa, kwa Rais Trump kwa kuongoza juhudi hizi za kulinda mustakabali wetu
Source : https://www.gov.il/en/pages/spoke-statment190326
 
Kuzuia mipango kificho ya hatari ya nyuklia ya Iran. Sera hii ya kujifanya hamnazo ya mataifa na umoja wa mataifa lazima ibadilike . Vikwazo lazima virudishwe. Na zaidi ya yote, Iran lazima ikabiliane na tishio la kushughulikiwa .* Maadamu mimi ni Waziri Mkuu wa Israeli, nitafanya kila niwezalo kuzuia Iran kupata silaha za nyuklia.
6 April 2026
MWALIMU JAFFARY MASSAWE AMEFUNGUKA KUHUSU URAFIKI WA MAREKANI NA NCHI ZA KIARABU KUMKABILI IRAN NA KUSEMA LENGO KUBWA NI MASLAHI KWA MAREKANI

View: https://m.youtube.com/watch?v=Xj3MCVX716Q
 
08 April 2026

Waziri Mkuu wa Israeli Netanyahu asema 'kusitishwa kwa mapigano na Iran hakutaijumuisha Hezbollah

View: https://m.youtube.com/watch?v=tFkU_u_Csk0
Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu anasema makubaliano ya amani kati ya Marekani na Iran yalifikiwa kwa "uratibu kamili" na serikali yake. Lakini anasema vita vya Israeli na Hezbollah havikuwa sehemu ya makubaliano, na vikosi vyake vitaendelea kushambulia kundi hilo
 
20 April 2026
Mmoja wa marafiki wa kweli wa Israel atua nchini humo na kufika Jerusalem


View: https://m.youtube.com/watch?v=5LOeipskxkU
Javier Milei, rais wa Argentina, alikuwa ndani kabisa ya mojawapo ya nyakati za ishara na hisia zaidi katika ziara yake nchini Israeli alipokaribia Ukuta wa Magharibi huko Yerusalemu, eneo takatifu zaidi katika Uyahudi na mojawapo ya alama muhimu na yenye Mguso mkubwa wa kidini duniani.

Wakati huu wa kiroho na umuhimu mkubwa wa kihistoria umeleta athari kubwa nchini Argentina, Israeli, na kote ulimwenguni, ukionyesha uhusiano wa karibu wa kibinafsi na kisiasa ambao rais Milei ameuonyesha mara kwa mara na watu wa Kiyahudi na taifa la Israeli.

RAIS JAVIER MILEI MBELE YA UKUTA WA JERUSALEM

View: https://m.youtube.com/watch?v=N7d1EGGFo7o
 
Taifa teule kwenye ubora wenu
 

Attachments

  • 1776783063594.jpg
    1776783063594.jpg
    182.6 KB · Views: 7
Back
Top Bottom