Siasa zinatuchanganya.Slaa kwanini hakwenda takukuru na ushahidi wake siku hiyo hiyo.
Kwani Mwinyi alipojiuzuru uwaziri alikuwa ameua?? mbona ni rais mstaafu?? Slaa unadanganywa na principle!
Hivi huyu Gwajima ni nani nchi hii
tuna nondo hapa lowasa hawezi kuzikimbia....lowasa anagombea uraisi lazima tuzungumze
sasa itabidi lowasa amwage ukweli wote!...
Slaa hata uongee upuuzi gani. Safari hii CCM yako inaondoka!
Tambwe atampukutisha