Babu mbona kahamia ccm hahitaji uwe na phd kuweza kung'amua hilo hadi Star tv inarusha hahahahahahaha Watanzania wa leo wanataka mabadiliko kwa njia ya halali au siyo ya halali maana wamechoka
walioomba tenda ya richmond walikuwa 26 waliorudisha walikuwa 8 kamati ikapitia ikaonekana wote hawana sifa, Msabaha akaitisha tena ili kuwajadili wale 8...msabaha alipata wapi kiburi hicho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.