Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

Alipaswa kutoa hizo stori zamani siyo sasa maana hata jiwe nitalipa kura yangu. Nacho jiuliza kwanini hawaendi mahamani kumshitaki?
 
Yani CCM wanavyoshangilia kumchukua katibu wa chama wangeweza kupata mawaziri wakuu wawili na mawaziri wastaafu km Chadema sijui ingekuwaje..
 
Nitakushangaa sana kama ukibadilika sababu ya hizi propaganda.
Tusonge mbele my dear, mabadiliko yako palepale.

Mi nataka mabadiliko yawe na faida au hasara ntajifunza baadae.Siku zote alikaa kimya kasubiri hadi kampeni zmeanza ndo anakuja kutuambia.Angeongea ile siku wametoka kumpokea lowasa, why today?
 
Chadema kalalamika slaa tu. Lakini ccm wengi walilalama ubakwaji wa demokrasia. mbona hamsemi? Propaganda za kipuuzi hazi wafikishi popote. Kwa kukiuwa kwa denokrasia sasa hivi ccm imekimbiwa na wangapi?
.. toa idadi... na inahusinaje na uadilifu???
 
Kumbe naye hana uwakika kuwa mwenye richmond siyo ya Lowassa. Bali iltokea akiwa waziri mkuu. Fullstop
 
hahahaha Dr. Ndio maana waziri mkuu aliachia ngazi kama msimamizi wa shughuli za serikali bungeni. Waziri mkuu bado hana mamlaka ya juu ktk nchi.
 
Back
Top Bottom