hoteli za kitalii na kimombo

hoteli za kitalii na kimombo

neyl

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
127
Reaction score
19
jamaa mmoja alienda hotel ya kitalii ambayo wanatumia lugha ya kingereza tu
waiter: gud evening, what can I serve u tonight?
jamaa anataka kula kuku ila amesahau kuku kwa kimombo anaitwaje so kuchek meza ya jiran kulikuwa na mzungu anakula mayai, jamaa akajibu I need it mother huku akinyoosha mkono kwenye mayai
 
Kilengesa kigumu sana muulize Lowassa,kanumba na Nchimbi watakwambia
 
Back
Top Bottom