Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Huu ni ujinga. Unajua madhumini hasa ya chama kupewa ruzuku?Huwezi jua maana upeo wako wa kufukiria ni mdogo. Upo deep kwenye kijiko. Mtu anapata ruzuku kashindwa kujenga jengo la ofisi lenye kumbi ya mikutano. Atajenga nchi kubwa kama Tanzania kweli? Kasome wale waliopewa taranta kuna mmoja alipewa moja akaizika. Ndo hawa Chadema wanapewa ruzuku hata jengo hawana. Matokeo yake wanarudishiwa pesa na wenye kumbi zao.
Fedha za ruzuku ni recurrent expenditure na sio development expenditure hata siku moja.
Ruzuku haiwezi kupelekwa kwa chama ili wajenge majengo, au vitu vyao wapendavyo.
Ruzuku ni kuendesha na kukuza uwezo wa chama katika kuendesha shughuli zake za kisiasa pia kutoa elimu kwa viongozi na wanachama..
Hiyo sio pesa ya kuchimbia hata choo