Hoteli ya Golden Tulip yadaiwa kurudisha fedha za CHADEMA walizolipia ili kufanya kikao cha Kamati Kuu katika hoteli hiyo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,991
144,326
By Boniface Jacob kupitia twitter:

Hotel ya GOLDEN TULIP, City Center ilikubali kupokea pesa ya CHADEMA kwa ajili ya Kufanya kikao cha Kamati kuu June 27-28 june 2019. Ghafla Meneja akarudisha pesa za CHADEMA wenye hoteli wamekataa CHADEMA wasitumie hotel yao .Tukabaguliwa kisiasa wanachadema tuamke tusikubali.

DD86184B-BCD4-41D9-B8E2-321CD1F43E39.jpeg
 
By Boniface Jacob kupitia twitter:

Hotel ya GOLDEN TULIP, City Center ilikubali kupokea pesa ya CHADEMA kwa ajili ya Kufanya kikao cha Kamati kuu June 27-28 june 2019. Ghafla Meneja akarudisha pesa za CHADEMA wenye hoteli wamekataa CHADEMA wasitumie hotel yao .Tukabaguliwa kisiasa wanachadema tuamke tusikubali.
Mlikua mnaambiwa kujenga maeneo yenu
 
By Boniface Jacob kupitia twitter:

Hotel ya GOLDEN TULIP, City Center ilikubali kupokea pesa ya CHADEMA kwa ajili ya Kufanya kikao cha Kamati kuu June 27-28 june 2019. Ghafla Meneja akarudisha pesa za CHADEMA wenye hoteli wamekataa CHADEMA wasitumie hotel yao .Tukabaguliwa kisiasa wanachadema tuamke tusikubali.
Aibu kwa chama kinachopokea Ruzuku na cha wenye wanachama wanaolipia card zao kulalamika. Jengeni kumbi zenu.
 
By Boniface Jacob kupitia twitter:

Hotel ya GOLDEN TULIP, City Center ilikubali kupokea pesa ya CHADEMA kwa ajili ya Kufanya kikao cha Kamati kuu June 27-28 june 2019. Ghafla Meneja akarudisha pesa za CHADEMA wenye hoteli wamekataa CHADEMA wasitumie hotel yao .Tukabaguliwa kisiasa wanachadema tuamke tusikubali.
Habari ya juni wewe unaileta agosti, wewe vipi? Umevurugwa, si bure.
 
By Boniface Jacob kupitia twitter:

Hotel ya GOLDEN TULIP, City Center ilikubali kupokea pesa ya CHADEMA kwa ajili ya Kufanya kikao cha Kamati kuu June 27-28 june 2019. Ghafla Meneja akarudisha pesa za CHADEMA wenye hoteli wamekataa CHADEMA wasitumie hotel yao .Tukabaguliwa kisiasa wanachadema tuamke tusikubali.
Mbona bichwa lako la habari haliendani na utumbo wako wa habari?

Kama pesa zimerudishwa sasa wanadai nini tena?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
hivi tu hawana jengo mnashinda mnawakamata na kuwapiga virungu..
.
wangekuwa na hilo jengo si mngewavizia siku moja wakiwa ndani, mkawafungia kwa nje na kuwachoma umo umo wateketee wote
Hata aibu hamna. Ruzuku zote hizo mmeshindwa kujenga jengo kubwa ambalo kungekuwa na ukumbi wa mikutano. Halafu ndo mnategemea mchukue nchi hata chumba cha mikutano hamna. Foolish.
 
Back
Top Bottom