Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

Nashera, flomi hawa kuna club chini pale sijui kama bado iko open, au kama unapenda down town kuna GM japo kuna makelele maana ni mjiini. Kwa bajeti yako GM inakufaa.
 
Flomi hotel ndo Dope kwa sasa n karibu na stend huduma zao dope ziko Ravish lkn affodable kidogo ukilinganisha na Nashera
 
Nilipitwa Bhasi. By The Way Hii Habari Itamuogopesha Mdau Ashindwe Kwenda Nashera Hotel.
Mkuu
Habari Kuhusu Huyo Kiongozi Aliyenyooshwa Morogoro Ilikuwa Hot Sana Hapa Jamiiforums Ipo Yaani Morogoro Mjini Kuna Matukio Mazito

Ukiwaona Ditopile Wa Mwinshe Naye Alifariki Nyumba Ya Kulala Wageni Morogoro

Ukienda Search Hapa Jamiiforums Utaipata
Mfano Tazama Leo Habari Kuhusu Blandina Nyoni
Zote Za Miaka Mingi Sana
 
  1. Antique Legacy Hotel - Start Relaxing Your Soul and Enjoy Your Stay.
  2. Flomi Hotel - www.flomihotel.co.tz
  3. Tex Palace Hotel -
Mkuu kwanini hujaitaja Gwami hotel?
nimejaribu ku google best hotels in Morogoro...zimekuja nyingi tuu ila nahisi kuanza kuvutiwa na hii,nimeona free wifi,chakula na mambo mengine....ila sijajua utulivu wa hapo...napenda sehemu tulivu na wahudumu wenye busara,sijajua kama sehemu hii wapo hivyo...mwaka juzi nilipumzika kingsway nataka nibadilishe Mkuu
 
Mkuu
Habari Kuhusu Huyo Kiongozi Aliyenyooshwa Morogoro Ilikuwa Hot Sana Hapa Jamiiforums Ipo Yaani Morogoro Mjini Kuna Matukio Mazito

Ukiwaona Ditopile Wa Mwinshe Naye Alifariki Nyumba Ya Kulala Wageni Morogoro

Ukienda Search Hapa Jamiiforums Utaipata
Mfano Tazama Leo Habari Kuhusu Blandina Nyoni
Zote Za Miaka Mingi Sana
Nashukuru Mkuu. Nimeusoma Mkasa Mzima.
 
..nashera ni poa ila kuna ujambazi wa mademu....wamewahi kumliza waziri Malima enzi hizo hapo....mi baada ya tukio lile nliamua siku moja kwenda hapo na mlupo....nikaacha kila kitu kwenye Gari hadi wallet....nikaingia nae room....kitu cha kwanza nikazuga kulala....alipoona nimelala akanisachi....akakuta hola....nami nikashtuka....nikamwomba mzigo nikamkaza hadi anaomba puu... Akalala fofofo....kudadeki nami nikaamka nikamsachi nikamkomba kila kitu hadi chupi yake kudadeki nikatoka nikaondoka na Gari yangu....vitu vyake nikatupa huko...na hela niliyomlipa nikaondoka nayo.....hakika najua alikoma wizi.....sijarudi hapo kujua walimalizana nae vipi....
Hao mademu ni wa hapo Nashera au mnaingia nao?
 
Back
Top Bottom