Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

jamaa namfahamu anaitwa Baba J..aliniuzia Samsung laptop min..na dollars kadhaa..nilikua mtaa WA John mahenge kwenye duka flan la computer sales and services...
Alikuaga anakodisha baiskel kule chamwino! Hahah babaJ ni noma ila mtu mmoja poa sana ukikaa nae kupiga story mluguru yule
 
Top life hotel au Nashera.. Kuna upepo mzuri sana kutokana na ukaribu na milima
Nitafika Pia Mkuu,nataka nifanye survey kwanza physical halafu ndo nijue wapi pametulia na pazuri,interms of chakula na Sehemu ya Kulala....
Hata kama Nikiwa na Mwwnzangu nae anaenjoy anasahau shida zake!
 
Alikuaga anakodisha baiskel kule chamwino! Hahah babaJ ni noma ila mtu mmoja poa sana ukikaa nae kupiga story mluguru yule
haha yeah aliniletea pila hadi forest coz maskani anapajua kashaleta Sana mizigo..chamwino kwao Mara nyingi nimetokea Kuna chocho wanakata Sana kamari..Baghdad..makondeko..mgulasi..
 
haha yeah aliniletea pila hadi forest coz maskani anapajua kashaleta Sana mizigo..chamwino kwao Mara nyingi nimetokea Kuna chocho wanakata Sana kamari..Baghdad..makondeko..mgulasi..
Hahahaa, Baghdad ndo kubwa lao!

Unafikiri alikuaga anacheza? Muoga yulee alikua anawapa wenzie pesa wamchezee!

Ila mjinga yule alikuaga anasimulia hadi anavyoiba hahahahaa!
 
haha yeah aliniletea pila hadi forest coz maskani anapajua kashaleta Sana mizigo..chamwino kwao Mara nyingi nimetokea Kuna chocho wanakata Sana kamari..Baghdad..makondeko..mgulasi..
Mkuu unasema alimpiga alimpiga ndo akachukua vile vitu au alimpiga kwa maana ya kumwibia
 
Hahahaa, Baghdad ndo kubwa lao!

Unafikiri alikuaga anacheza? Muoga yulee alikua anawapa wenzie pesa wamchezee!

Ila mjinga yule alikuaga anasimulia hadi anavyoiba hahahahaa!
alikua anacheza ,namba yake bibi..naskia jamaa marehemu..coz Moro kitambo..and now I don't hustle in a slicky way..
 
alikua anacheza ,namba yake bibi..naskia jamaa marehemu..coz Moro kitambo..and now I don't hustle in a slicky way..
Hata mm Moro kitambo, nakumbuka mara ya mwisho kwenye hiyo saga na Malima ndugu zake walikua wanamtafutia dhamana!

Hilo la kufa nalisikia kwako, and btw angekufa ningejua tuu
 
Sifa za kijinga hizi
Siku hizi kilakitu kipo kwenye mitandao unaingia unagoogle tu Sio lazima kila mtu ajue kama Wew unahela
 
..nashera ni poa ila kuna ujambazi wa mademu....wamewahi kumliza waziri Malima enzi hizo hapo....mi baada ya tukio lile nliamua siku moja kwenda hapo na mlupo....nikaacha kila kitu kwenye Gari hadi wallet....nikaingia nae room....kitu cha kwanza nikazuga kulala....alipoona nimelala akanisachi....akakuta hola....nami nikashtuka....nikamwomba mzigo nikamkaza hadi anaomba puu... Akalala fofofo....kudadeki nami nikaamka nikamsachi nikamkomba kila kitu hadi chupi yake kudadeki nikatoka nikaondoka na Gari yangu....vitu vyake nikatupa huko...na hela niliyomlipa nikaondoka nayo.....hakika najua alikoma wizi.....sijarudi hapo kujua walimalizana nae vipi....

Hii Nasikia ni kuanzia 300,000
Though ni Nzuri sana IPO Kule Liti!
 
Back
Top Bottom