Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Hotel ya Kitalii ya Ilboru Safari Lodge iliyopo Ilboru ,wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha imeteketea kwa moto kiasi cha kutookoa chochote .
Moto huo unadaiwa kuzuka majira ya SAA mbili asubuhi na kuunguza kila kitu ikiwemo nyumba mbili za kulala wageni pamoja na nyumba ya kuishi Mkurugenzi wa Hotel hiyo na kujeruhi baadhi ya watalii waliokuwa wamelala katika nyumba hizo.
Hotel hiyo inayomilikiwa na kanali mstaafu wa jeshi aitwaye Mika Metili inadaiwa kuwa chanzo cha moto hakijajulikana ila inahofiwa kuwa ni hitilafu ya Umeme.
Jeshi la wokozi na zima moto walifika katika eneo la tukio na kukuta moto umeshateketez kila kitu katika hotel hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moto huo unadaiwa kuzuka majira ya SAA mbili asubuhi na kuunguza kila kitu ikiwemo nyumba mbili za kulala wageni pamoja na nyumba ya kuishi Mkurugenzi wa Hotel hiyo na kujeruhi baadhi ya watalii waliokuwa wamelala katika nyumba hizo.
Hotel hiyo inayomilikiwa na kanali mstaafu wa jeshi aitwaye Mika Metili inadaiwa kuwa chanzo cha moto hakijajulikana ila inahofiwa kuwa ni hitilafu ya Umeme.
Jeshi la wokozi na zima moto walifika katika eneo la tukio na kukuta moto umeshateketez kila kitu katika hotel hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app