hot za weekend

Jamaa alikuwa Amekaa ndani ya Club , kicheche akamsogelea na kumuuliza "Unataka ku-duu" Jamaa akamwambia "Ndio lakin unaweza kunipa kama Mke wangu ? " kicheche akamjbu "hapa ucpime mimi ni Nouma ntakupa Mbaka Mkeo Ucmkumbeke Tena !" Kwani huyo Mkeo anakupaje Jamaa akamjbu" Mke wangu ananpaga bure " kicheche akaondoka huku akimtukana "Utampata huyo huyo Nyooooo!

Ndo dawa yao hiyo!
 
MWIZI na POLICE MAKABURINI,POLICE:alikuwa anamkimbiza mwizi makabulini,mwizi alipochoka akaamua kuvua nguo na kukaa Juu ya kaburi,POLICE alipofika akamkuta mwizi uchi Juu ya kaburi ikabidii amulize POLICE samahani hujamuona mwizi hapa? MWIZI Mie sijui maana nimezikwa jana,labda ulize kaburi lile pale lina mwezi sasa atakuwa anaju

mh! Police ataacha kazi siku hiyo hiyo!
 
Back
Top Bottom