Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Jamaa alikuwa Amekaa ndani ya Club , kicheche akamsogelea na kumuuliza "Unataka ku-duu" Jamaa akamwambia "Ndio lakin unaweza kunipa kama Mke wangu ? " kicheche akamjbu "hapa ucpime mimi ni Nouma ntakupa Mbaka Mkeo Ucmkumbeke Tena !" Kwani huyo Mkeo anakupaje Jamaa akamjbu" Mke wangu ananpaga bure " kicheche akaondoka huku akimtukana "Utampata huyo huyo Nyooooo!
Ndo dawa yao hiyo!