Hospitali za Serikali mna nini?

Hospitali za Serikali mna nini?

Amocnolo

Member
Joined
Oct 16, 2023
Posts
23
Reaction score
26
Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo maana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli.

Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.

Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia, sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.
 
Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo mana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli.

Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.

Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.
Ukweli ni huu hapa uelewe, wataalamu wa kupima ni wachache sana tena kwenye microscope ndo zero kabisa bora hivi vifaa vya kuweka sample vinascan na kuonesha majibu kwenye screen zinawasaidia ingawa ukikosea kuiandaa sample hupati majibu.

Usidhani huko private ni kweli waliona ingawa inawezekana ikawa kweli, siku hizi hospital nyingi wanaconfirm tatizo kutokana na dalili za mgonjwa alizozisema mdomon na sio vipimo, fanya utafiti rudi hapo hospital ya private jifanyishe unaumwa taja dalili za malaria halafu subiri majibu? Ndio maana wengi saizi ukijikoroga tu ukasema napata maumivu wakati wa kukojoa utaambiwa UTI ila hawasemi ya mdudu gani😂😂😂
 
Ukweli ni huu hapa uelewe,,,wataalamu wa kupima ni wachache sana tene kwenye microscope ndo zero kabisa bora bora hivi vifaa vya kuweka sample vinascan na kuonyesha majibu kwenye screen zinawasaidia ingawa ukikosea kuiandaa sample hupati majibu,,,usidhan huko private ni kweli waliona ingawa inawezekana ikawa kweli,,,siku hizi hospital nyingi wanaconfirm tatizo kutokana na dalili za mgonjwa alizozisema mdomon na sio vipimo,,,fanya utafiti rud hapo hospital ya private jifanyishe unaumwa taja dalili za malaria alafu subir majibu? Ndo mana wengi saizi ukijikoroga tu ukasema napata maumivu wakati wa kukojoa utaambiwa UTI ila hawasemi ya mdudu gani😂😂😂
Hahaha
 
Ukweli ni huu hapa uelewe,,,wataalamu wa kupima ni wachache sana tene kwenye microscope ndo zero kabisa bora bora hivi vifaa vya kuweka sample vinascan na kuonyesha majibu kwenye screen zinawasaidia ingawa ukikosea kuiandaa sample hupati majibu,,,usidhan huko private ni kweli waliona ingawa inawezekana ikawa kweli,,,siku hizi hospital nyingi wanaconfirm tatizo kutokana na dalili za mgonjwa alizozisema mdomon na sio vipimo,,,fanya utafiti rud hapo hospital ya private jifanyishe unaumwa taja dalili za malaria alafu subir majibu? Ndo mana wengi saizi ukijikoroga tu ukasema napata maumivu wakati wa kukojoa utaambiwa UTI ila hawasemi ya mdudu gani😂😂😂
Sasa mtu ameanza kupata maumivu hata wiki haijaisha hiyo aina ya mdudu inakuwa identified kivipi tena?😅😅😅😅
 
We unajiona mjuaji,ila ni mjinga tuu,kipimo cha kujua aina ya mdudu(culture and sensitivity) kinafanywa endapo UTI imekuwa sugu,sasa we kwa mara ya kwanza unafika unafanyiwa urinalysis ya kawaida ila ukipewa dawa hujapona ndo unafanyiwa culture,elewa taratibu acha ujuaji wenye akili wanakudharau tu.
😂😂😂 bongo bwanaaa kwaiyo mnampa mgonjwa akatestie dawa kwanza kwenye mwili? Nikajua unaongea vitu vyenye akili kwanza wewe utakuwa dokta maana ndo kauli zenu za kifyongo hizo yani mtu amekuja anaugulia eti tumia hizi dawa kwanza ndo tuone tunafanyaje huku tatizo linazidi kuwa kubwa.

Hivi nyie wajinga kama nyie mtaisha lini? Watanzania wenzangu lindeni sana afya zenu ukiumwa magonjwa makubwa haya ndo utajua hao wanaojifanya majokita hawana wanachokiweza mpaka unaona bora kujitibia kwa kutumia Google kuliko humo mahospitalin

Ulivyokuza sasa iyo sensitivity na culture as if sample inawekwa kichwani mwako ndo isomwe wasomi kwa elimu iz tumepigwaaaaaa tunazidi kupoteza kizazi yan wewe ndo wale wa nchi inataka kuendelea kiteknolojia ila viongozi wasomee art tunapoteaaaa
 
We unajiona mjuaji,ila ni mjinga tuu,kipimo cha kujua aina ya mdudu(culture and sensitivity) kinafanywa endapo UTI imekuwa sugu,sasa we kwa mara ya kwanza unafika unafanyiwa urinalysis ya kawaida ila ukipewa dawa hujapona ndo unafanyiwa culture,elewa taratibu acha ujuaji wenye akili wanakudharau tu.
😂😂😂 yan huwa mnasubil iwe sugu?
Si ndo nyie mnadanganya watu UTI ni ugonjwa?
 
Sasa mtu ameanza kupata maumivu hata wiki haijaisha hiyo aina ya mdudu inakuwa identified kivipi tena?😅😅😅😅
Huna unachokijua, yaani unawaza tu kwamba sensitivity inafanya tu mpaka mdudu awepo hata hatua zake zile za ukuaji kama yai inafanywa na inajulikana, anayefundisha hajui vizuri anayefundisha anakariri hivohivo mad!
 
Tuliokuwa tunapigania Dr Gwajima akae hapo sio kwa sababu tunapigania maslahi yake ila yetu binafsi. Kuimarika kwa huduma hapo ni kwa faida ya raia sio yeye.

Wengine tumepoteza wazazi hizo hospitali za serikali wote wawili kwa nyakati mbili tofauti, kwa sababu ya medical errors na uzembe tu, ndio ugomvi wangu ulipo na Ummy Mwalimu huo rekebisha hiyo sector it too technical kwako.

Anatokea mtu anaefahamu health intervention approaches kinaga ubaga, ana ufahamu mpana mno wa health management kuanzia usimamizi wa kutoa huduma hadi inventory control. Better still yeye mwenyewe ni qualified medical doctor.

Mnaenda mfanyia majungu atolewe hapo mnamtaka mbutika kama Ummy Mwalimu ukilisikiliza linaongea ujinga mtupu hakuna lolote linalojua.

Trust me Dorothy Gwajima hata kwenye bima ya afya angeanza na NHIF kuanza kutaka kuona wanaziba kwanza mirija yao ya upotevu wa hela ovyo through insurance fraud kujua actual liability zao; ndio wampelekee habari za kuongeza insurance cover costs.

Tells you ana abc za finance, tatizo wengi walikuwa awaelewi akiamua kuwapiga audit ya papo vituo vya afya kwenye inventory stock anawaumbua, kwenye afya akiingia maabara akikuta vipimo vina muda anaelewa maximum ni siku ngapi mgonjwa anatakiwa apewe results walikuwa awawezi kumuongopea ni mtaalamu mnoooo.

Shida saa zingine ni ujinga wetu, mengine tunajitakia.
 
Huna unachokijua,,,yan unawaza tu kwamba sensitivity inafanya tu mpaka mdudu awepo hata hatua zake zile za ukuaji kama yai inafanywa na inajulikana ,,, anayefundisha hajui vizuri anayefundisha anakalil hivohivo mad!
Ni ya kwanza kuskia kwako
 
yan huwa mnasubil iwe sugu ?
Si ndo nyie mnadanganya watu UTI ni ugonjwa?
Kiufupi we ni mjinga wa kuonewa huruma, ujuaji mwingine ni kujiaibisha, punguza ujuaji kwa vitu ambavyo huna utaalamu navyo,la sivyo unajishushia hadhi.
 
Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo mana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli.

Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.

Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.

Sio kila homa na malaria,ingawa kuna wadau wanasema mrdt zinachezewa na wahuni ili kuonyesha negative kwaajili ya kuwafurahisha mabwana wakubwa kuwa mapambano dhidi ya malaria yanafanikiwa.
 
We unajiona mjuaji,ila ni mjinga tuu,kipimo cha kujua aina ya mdudu(culture and sensitivity) kinafanywa endapo UTI imekuwa sugu,sasa we kwa mara ya kwanza unafika unafanyiwa urinalysis ya kawaida ila ukipewa dawa hujapona ndo unafanyiwa culture,elewa taratibu acha ujuaji wenye akili wanakudharau tu.
Daktari umejibu kwa hasira sana
 
Vyuo vya Kibiashara vimeharibu Taaluma ya Kada za Afya. Hivi chuo kama KAMPALA UNIVERSITY kisichokuwa nq Miundombinu kinazlisha Daktari, Mfamasia, Nesi au Mteknolojia wa Maabara unategemea nini? Elimu yetu ina makando kando sana kwa mwendo huu tutakufa sana mpaka tuurudie ukweli na kuweka siasa pembeni ya elimu.

Rushwa kutoka hivi vyuo imefunika ukweli unvyotakiwa kuwa, Hongera kwa JPM wakati anaingia madarakani alifuta vyuo vikuu vya magumashi 17 mpaka ukaibuka msemo wa Vilaza. Lkn leo hali imerudi kule kule Nchi inajiendea Kielimu ka gari bovu tuuu.
 
Tuliokuwa tunapigania Dr Gwajima akae hapo sio kwa sababu tunapigania maslahi yake ila yetu binafsi. Kuimarika kwa huduma hapo ni kwa faida ya raia sio yeye.

Wengine tumepoteza wazazi hizo hospitali za serikali wote wawili kwa nyakati mbili tofauti, kwa sababu ya medical errors na uzembe tu, ndio ugomvi wangu ulipo na Ummy Mwalimu huo rekebisha hiyo sector it too technical kwako.

Anatokea mtu anaefahamu health intervention approaches kinaga ubaga, ana ufahamu mpana mno wa health management kuanzia usimamizi wa kutoa huduma hadi inventory control. Better still yeye mwenyewe ni qualified doctor.

Mnaenda mfanyia majungu atolewe hapo mnamtaka mbutika kama Ummy Mwalimu ukilisikiliza linaongea ujinga mtupu hakuna lolote linalojua.

Trust me Dorothy Gwajima hata kwenye bima ya afya angeanza na NHIF kuanza kutaka kuona wanaziba kwanza mirija yao ya upotevu wa hela ovyo through insurance fraud kujua actual costs zao; ndio wampelekee habari za kuongeza insurance costs.

Tells you ana abc za finance, tatizo wengi walikuwa awaelewi akiamua kuwapiga audit ya papo vituo vya afya anawaumbua, akiingia maabara akikuta vipimo vina anaelewa minimum ni siku ngapi mgonjwa ameonywa results walikuwa awawezi kumuongopea ni mtaalamu mnoooo.

Shida saa zingine ni ujinga wetu, mengine tunajitakia.
Naunga mkono hoja
 
Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo mana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli.

Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.

Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.
Sio kila homa ni malaria na pia pima magonjwa mengine kama sukari,presha,kifua kikuu n.k
 
Daktari umejibu kwa hasira sana
Ndo zao,,, alafu wao wanajiona kila mtu ni mbumbumbu hawajui wao udakitari wamesomea sanasana baiology na hawawezi kumshinda mtu aliesomea baology na chemistry ngazi ya degree hasahasa mwalimu kama yupo makini na anavyosoma ajiulize tu kwanini mwalimu mmoja anawafundisha wanafunzi wanaochukua udakitar na wengine wa taaluma tofauti na udakitar ndo atajua nan yupo na maarifa mengi
 
Back
Top Bottom