Amocnolo
Member
- Oct 16, 2023
- 23
- 26
Ndugu jamaa na marafiki kama na nyie limewakuta hebu tuambiane nini tatizo maana kila nikienda kupima maralia kwenye hizo HOSPITALI naambiwa sina maralia wakati nikijiangalia ninaumwa kweli.
Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.
Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia, sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.
Naamua kwenda maabara au hospitali binafsi, huko napatiwa tiba kisha narudi nikiwa na amani.
Jana usiku nilimpeleka mke wangu zahanati akiwa hoi na dalili zote za maralia lakini cha kushangaza naambiwa hana maralia, sikutaka kusubiri nikaamua kumpeleka maabara huko akakutwa na maralia, nashukuru kwa sasa anaendelea vizuri mseto unamsaidia.
