Hospitali ya Taifa Muhimbili haina uwezo?

Hospitali ya Taifa Muhimbili haina uwezo?

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,824
Reaction score
13,781
Huwa siku zote naamini kuwa mwisho wa matatizo yote ya tiba ni hospitali yetu ya taifa Muhimbili.Lakini nimejikuta napata shaka hasa baada ya DCI Robert Manumba kuwa anahudumiwa na hospitali ya binafsi Aga Khan.Kwa kiongozi mkubwa kama huyu nilitaraji apate huduma zake MNH na ikishindikana apelekwe nje.Naambiwa kwa wenzetu waliopiga hatua, hata hospitali za jeshi huwa na huduma daraja la kwanza kabisa hasa inapotokea tatizo la afya kwa viongozi wa ngazi za juu.
 
Yawezekana ni seroconerted wanaona hata akienda pale MNH there will be no changes. Haiwezekani akawa na malaria tu siku zote hizo haiimprove. Au ana other medical conditions lakini nawasiwasi na kwanini govt iko reluctant kufanya maamuzi kumpeleka India kwenye hospital yao. Am sorry kama nimewakwaza.
 
Inaeleweka. Usipojali lazima uogope/ujishuku kuwa usiowajali hawawezi kukujali ikibidi wao wakujali wewe. Tuwajali watu jamani.
 
kITABU KITAKATIFU Biblia inasema tafuteni kuwa na Amani na watu wote. Usipokuwa na amani na majirani zako siku ukipata tatizo utashindwa kuwaomba msaada kwa kuwa hamelewani. Utajishuku. Serikali kupia vyombo vyake vya dola vimeharibu uhusiano wake na wafanyakazi wa serikali wakiwemo madaktari na manesi. wanajishuku.
Lakini kubwa serikali haipeleki vitendea kazi hivyo wana uhakika wakienda MNH watakosa vifaa tiba pamoja na dawa kwa kuwa hawajawekeza. Lakini la tatu kwa kuwa polisi wanakawaida ya kubabikizia watu makosa wana wasiwasi kuwa walivyomfanyizia Dr. Uli huenda wenzake wakataka kulipizia kwa ubaya.Haya ndiyo matokeo ya ubaya.
Huwa siku zote naamini kuwa mwisho wa matatizo yote ya tiba ni hospitali yetu ya taifa Muhimbili.Lakini nimejikuta napata shaka hasa baada ya DCI Robert Manumba kuwa anahudumiwa na hospitali ya binafsi Aga Khan.Kwa kiongozi mkubwa kama huyu nilitaraji apate huduma zake MNH na ikishindikana apelekwe nje.
 
Yawezekana ni seroconerted wanaona hata akienda pale MNH there will be no changes. Haiwezekani akawa na malaria tu siku zote hizo haiimprove. Au ana other medical conditions lakini nawasiwasi na kwanini govt iko reluctant kufanya maamuzi kumpeleka India kwenye hospital yao. Am sorry kama nimewakwaza.
Hapo kwenye RED hujasomeka mkuu!
 
Huwa siku zote naamini kuwa mwisho wa matatizo yote ya tiba ni hospitali yetu ya taifa Muhimbili.Lakini nimejikuta napata shaka hasa baada ya DCI Robert Manumba kuwa anahudumiwa na hospitali ya binafsi Aga Khan.Kwa kiongozi mkubwa kama huyu nilitaraji apate huduma zake MNH na ikishindikana apelekwe nje.
Labda polisi hawana imani na MNH
 
MNH ndio sehemu yenye madaktari wenye weledi wa hali ya juu!kuna jambo linalofichwa kuhusu manumba lakini mwisho wa siku tutajua tu.
Madaktari wanaohudumia agha kahn ndio hao hao wanaofanya kazi au kusoma /waliosoma muhimbili.
Ni mara chache mno(very rare) kwa mtu mzima kama manumba anayeishi dar salaam(malaria holoendemic region) kuugua malaria kali!
 
Severe malaria kwa mtu anayekaa dar? Aafu walimtorosha mnh baada ya kujishtukia kwa uovu wao waliomfanyia dr wetu aliyepigania sekta ya afya tangu 2005. Walimfanya vibaya sana mpaka shetani anawahukumu.
 
Kwa watu wakubwa hata HIV ni malaria. Kapimwa afya yake? Kwa nini yeye wadudu 500 hasipone siku zote hizi huku sisi tunatibu watoto wakiwa na wadudu wa malaria hadi 20000 ma wanapona vizuri hawahitaji hata kulazwa Icu.
 
na bado ni hosp ya taifa vipaumbele vya serikali viko wapi? ikiwa hosp ya taifa inakosa vifaa, hosp ya taifa??!!!!!

Inashangaza sana,maana na nguli wa fani zote wako hapo.
 
Back
Top Bottom