Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga iangaliwe kwa jicho la Tatu

Van Pauser

JF-Expert Member
Mar 21, 2017
417
418
Habari za muda huu ndugu watanzania wenzangu... Naamini tunaendelea vyema katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna haja ya serikali kuangalia kwa ukaribu shughuli za uratibu wa masuala ya malipo hasa upande wa network.

Mfano halisi ni kuwa leo nilienda pale hospitalini kwa ajili ya matibabu baada ya kupata ajali nikiwa katika shughuli za utendaji ila nashukuru Mungu sijaumia sana... Ila hali niliyokutana nayo pale hospitalini haikuniridhisha kiukweli kama binadamu kwa sababu.

Mfumo wa ulipaji sio rafiki kwani network(Kuna wakala pale wa CRDB cjui kama nitakuwa sahihi) yani mtu aliyemsindikiza mgonjwa anapewa control number kwenda kulipa unaenda pale kwenye malipo unakaa kusubiri network sio chini ya dakika 30 ndo anahudumiwa mgonjwa mmoja hivyo kunakuwa na msongamano mkubwa hasa kwenye upande wa dirisha la malipo.

Hivyo serikali ina haja ya kuweka mfumo mzuri wa ulipaji ili kuepusha adha kwa wagonjwa.

Alamsiki
 
Habari za muda huu ndugu watanzania wenzangu... Naamini tunaendelea vyema katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna haja ya serikali kuangalia kwa ukaribu shughuli za uratibu wa masuala ya malipo hasa upande wa network.

Mfano halisi ni kuwa leo nilienda pale hospitalini kwa ajili ya matibabu baada ya kupata ajali nikiwa katika shughuli za utendaji ila nashukuru Mungu sijaumia sana... Ila hali niliyokutana nayo pale hospitalini haikuniridhisha kiukweli kama binadamu kwa sababu.

Mfumo wa ulipaji sio rafiki kwani network(Kuna wakala pale wa CRDB cjui kama nitakuwa sahihi) yani mtu aliyemsindikiza mgonjwa anapewa control number kwenda kulipa unaenda pale kwenye malipo unakaa kusubiri network sio chini ya dakika 30 ndo anahudumiwa mgonjwa mmoja hivyo kunakuwa na msongamano mkubwa hasa kwenye upande wa dirisha la malipo.

Hivyo serikali ina haja ya kuweka mfumo mzuri wa ulipaji ili kuepusha adha kwa wagonjwa.

Alamsiki

Mkuu, pole sana! Ila leo, mtandao wa huduma za CRDB, zilikuwa mbaya sana. Binafsi, nimezunguka kwa mawakala watatu, wote walishindwa kutoa huduma, mpaka usiku huu.
Sina shaka hiyo ndiyo sababu. Lakini, ingekuwepo njia m'badala, mtandao ukigoma, basi waitumie, kama wanavyotumia jenereta, umeme unapokatika!
 
Mkuu, pole sana! Ila leo, mtandao wa huduma za CRDB, zilikuwa mbaya sana. Binafsi, nimezunguka kwa mawakala watatu, wote walishindwa kutoa huduma, mpaka usiku huu.
Sina shaka hiyo ndiyo sababu. Lakini, ingekuwepo njia m'badala, mtandao ukigoma, basi waitumie, kama wanavyotumia jenereta, umeme unapokatika!
Suala ni njia mbadala pale inapotokea fluctuation.... Ila umeeleweka mkuu
 
Habari za muda huu ndugu watanzania wenzangu... Naamini tunaendelea vyema katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kuna haja ya serikali kuangalia kwa ukaribu shughuli za uratibu wa masuala ya malipo hasa upande wa network.

Mfano halisi ni kuwa leo nilienda pale hospitalini kwa ajili ya matibabu baada ya kupata ajali nikiwa katika shughuli za utendaji ila nashukuru Mungu sijaumia sana... Ila hali niliyokutana nayo pale hospitalini haikuniridhisha kiukweli kama binadamu kwa sababu.

Mfumo wa ulipaji sio rafiki kwani network(Kuna wakala pale wa CRDB cjui kama nitakuwa sahihi) yani mtu aliyemsindikiza mgonjwa anapewa control number kwenda kulipa unaenda pale kwenye malipo unakaa kusubiri network sio chini ya dakika 30 ndo anahudumiwa mgonjwa mmoja hivyo kunakuwa na msongamano mkubwa hasa kwenye upande wa dirisha la malipo.

Hivyo serikali ina haja ya kuweka mfumo mzuri wa ulipaji ili kuepusha adha kwa wagonjwa.

Alamsiki
Mkuu hiyo hali ulishakutana nayo mara ngapi hapo hospitali? Leo kwa Shinyanga mtandao wa CRDB ulikuwa down sana siku nzima! Kwa hiyo mkuu usikariri!
 
Mkuu hiyo hali ulishakutana nayo mara ngapi hapo hospitali? Leo kwa Shinyanga mtandao wa CRDB ulikuwa down sana siku nzima! Kwa hiyo mkuu usikariri!
Suala hapa sio kukariri..... Suala ni kwamba serikali iboreshe mfumo wa ulipaji kwani hapo kuna dirisha moja la malipo wakati wagonjwa ni wengi halafu anayehudumia ni mtu mmoja.....
 
Suala hapa sio kukariri..... Suala ni kwamba serikali iboreshe mfumo wa ulipaji kwani hapo kuna dirisha moja la malipo wakati wagonjwa ni wengi halafu anayehudumia ni mtu mmoja.....
Mbona hospitali iko mjini kabisa na huduma za CRDB ziko sehemu nyingi tu hapo mjini? Kwani kuna mahali wanalazimishwa kulipia sehemu moja tu?
 
Back
Top Bottom