- Thread starter
- #21
Bwana discoverer, nilichosema ni kwamba kuna tatizo la Oxygen kwa wiki kama 3 sasa....Mipango ya kuwa na source yao ya Oxygen inaweza kuwepo ndio lakini, tayari tatizo limetokea na roho zimepotea!!! Kila mahali kuna mipango, au umesahau kwamba tuliambiwa Kigoma itageuzwa kuwa Dubai?? Anyway tusitetee ujinja, tatizo la msingi lipo na linahitaji ufumbuzi wa haraka sana!