-Bugando refferal hospital inahudumia mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Mara, Kagera, Geita,Singida, Tabora na Dododoma.
-Tarehe 2/11/2011 wanapanga kuadhimisha miaka 40 ya kuanzishwa kwaake kwa mbwembwe kibao!
Cha ajabu;
-Wiki tatu sasa hospitali haina Hewa ya OXYGEN ambayo ni uhai wa mwanadamu, nimeshuhudia wagonjwa 6 wakifariki(katika ICU ya wakubwa) achilia mbali wodi za kawaida na ICU ya vichanga kwa kukosa OXYGEN.
-Operesheni kubwa hazifanyiki-HAKUNA OXYGEN
-Hakuna chupa za kupimia mkojo na makohozi-hivi ni vipimo rahisi sana ambavyo hata dispensary za mitaani wanafanya, iweje hospitali ya rufaa?
-Hakuna kipimo cha CT scan kwa takriban miezi 8 sasa-mashine tunaambiwa ni mbovu.
Uongozi ulichofanya;
-Wafanyakazi wote watakatwa 2% ya mishahara yao kufanikisha Bugando day-hospitali kutimiza miaka 40, lakini haujafanya chochote kuhakikisha kwamba OXYGEN inapatikana muda wote.
-Vyanzo vya habari vinasema kwamba wanadaiwa milioni 60 na TOL-(Tanzania Oxygen limited) ndo maana hawaletewi tena OXYGEN
Nionavyo mimi;
-Mkurugenzi ameshindwa kutekeleza majukumu yake
-Sina uhakika kama wizara ya afya inajua hili
-Sisi waandishi wa habari, tufanye uchunguzi wa ndani (siri) tupate majina ya waliopoteza maisha kwa uzembe huu pamoja na data zao za kitabibu tusaidiwe na wanasheria kuushtaki uongozi wa Bugando kwa UZEMBE!!
-Wizara ya afya-huwa mnakagua maabara feki mtaani na kuzifunga-Je hamwoni kwamba Bugando inastahili kufungwa kwa UZEMBE HUU MKUBWA??
Nawasilisha.....
Chanzo-mimi mwenyewe nilitembelea Bugando! (niliumia sana)
-Tarehe 2/11/2011 wanapanga kuadhimisha miaka 40 ya kuanzishwa kwaake kwa mbwembwe kibao!
Cha ajabu;
-Wiki tatu sasa hospitali haina Hewa ya OXYGEN ambayo ni uhai wa mwanadamu, nimeshuhudia wagonjwa 6 wakifariki(katika ICU ya wakubwa) achilia mbali wodi za kawaida na ICU ya vichanga kwa kukosa OXYGEN.
-Operesheni kubwa hazifanyiki-HAKUNA OXYGEN
-Hakuna chupa za kupimia mkojo na makohozi-hivi ni vipimo rahisi sana ambavyo hata dispensary za mitaani wanafanya, iweje hospitali ya rufaa?
-Hakuna kipimo cha CT scan kwa takriban miezi 8 sasa-mashine tunaambiwa ni mbovu.
Uongozi ulichofanya;
-Wafanyakazi wote watakatwa 2% ya mishahara yao kufanikisha Bugando day-hospitali kutimiza miaka 40, lakini haujafanya chochote kuhakikisha kwamba OXYGEN inapatikana muda wote.
-Vyanzo vya habari vinasema kwamba wanadaiwa milioni 60 na TOL-(Tanzania Oxygen limited) ndo maana hawaletewi tena OXYGEN
Nionavyo mimi;
-Mkurugenzi ameshindwa kutekeleza majukumu yake
-Sina uhakika kama wizara ya afya inajua hili
-Sisi waandishi wa habari, tufanye uchunguzi wa ndani (siri) tupate majina ya waliopoteza maisha kwa uzembe huu pamoja na data zao za kitabibu tusaidiwe na wanasheria kuushtaki uongozi wa Bugando kwa UZEMBE!!
-Wizara ya afya-huwa mnakagua maabara feki mtaani na kuzifunga-Je hamwoni kwamba Bugando inastahili kufungwa kwa UZEMBE HUU MKUBWA??
Nawasilisha.....
Chanzo-mimi mwenyewe nilitembelea Bugando! (niliumia sana)