twende wote
Member
- Mar 29, 2021
- 50
- 84
Hospitali yenu Ni nzuri kwa uwekezaji, Ila ni mbovu kabisa kwa huduma, hasa upande wa bima hasa za NHIF. Mnabambika madeni ya matibabu, mbaya zaidi huduma za wazazi wajawazito, Ni mbovu na wengi wanapoteza maisha ktk uzazi shida iko wapi?? Msipobasilika mtapoteza wateja, yatabaki maghorofa. Kama wapo inaowagusa watachangia hii mada