taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 538
Kwenye mikutano ya kampeni inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 31, kati ya ahadi nyingi anazotoa Kikwete ni kuzipandisha daraja hospitali kadhaa kwenye maeneo ambayo amekuwa akifanya mikutano yake ya kampeni. Ahadi hizo zinajumuisha kufanya baadhi ya hospitali za mikoa kuwa za rufaa na za wilaya kuwa za mikoa
Kinachonitatiza katika ahadi hiyo ni vigezo vinavyotakiwa kutimizwa kabla ya kupandisha daraja hospitali ama zahanati. Naomba wajuzi wa hii fani ama eneo hili wanifahamishe mambo yanayotakiwa kutekelezwa ili kuweza kupandisha hadhi hospitali ama zahanati.
Kinachonitatiza katika ahadi hiyo ni vigezo vinavyotakiwa kutimizwa kabla ya kupandisha daraja hospitali ama zahanati. Naomba wajuzi wa hii fani ama eneo hili wanifahamishe mambo yanayotakiwa kutekelezwa ili kuweza kupandisha hadhi hospitali ama zahanati.