abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Ripoti hiyo imesema Hosni Mubarak yuko chini ya uangalizi wa madaktari na kwamba hadi sasa haujachukuliwa uamuzi wa kumhamishia hospitalini.
Mwezi Machi mwaka uliopita dikteta huyo wa zamani wa Misri alilazwa katika Hospitali ya Heidelberg nchini Ujerumani ambako alifanyiwa upasuaji.
Baadhi ya vyombo vya kuaminika vya Misri vinasema hali ya kinafsi na kimwili ya Hosni Mubarak ni mbaya mno na inazidi kunyong'onyea siku baada ya siku.