Hoseah submits escrow account probe dossier

Hoseah submits escrow account probe dossier

Juzi juzi hapa Donors walitaka kuinyima misaada Uganda kisa wamekataa wanaume kuoana, David cameroon nae alituambia watanzaia kuwa kama tunataka misaada basi tukubali wanaume waoane. Wazimbabwe mpaka leo hawapo in good terms na wafadhiri kisa ardhi yao, kila kona hawa Donors wanajaribu kuimplement matakwa yao kisa misaada, namshangaa mtu mzima anayebeba ajenda ya Donors kukatalia misaada ya kibajeti kama jibu kuwa kunatatizo ndio maana wamekatalia misaada yao. Hawa watu wamechoka kutusaidia, wanakosa tu namna nzuri ya kutunyima hivyo visenti vyao. Na hii nchi haina shida ya misaada ilikosa tu viongozi wenye maono ya mbali kama JK.
Endeleeni tu kulegeza sauti huku mkilalamika mmenyimwa misaada, ipo siku mtaombwa migongo wafadhiri wapande harafu mpewe misaada, sijui mtawapa migongo yenu????


attachment.php


attachment.php

Bw mdogo mwindi wa papu amekula minikabang nini? Maana naona unavua gagulo hadharani hapa na kukata viuno kama uko njenje. Dah, aibu namna hiyo kwa mtoto wa kiume kujionesha mbele za kadamnasi kuwa analiwa minikabang na gagulo limelowa...

By the way huyo JK wako mwenye maono anashinda kutembeza bakuli dunia nzima na juzi alikuwa Vietnam kuomba smart phones. Labda maono yake ni kuileta IPTL nchini kwa mara ya kwanza, na ujue akitoka tu JK liumeme lenu la IPTL litadoda mtajiuzia wenyewe maana shinikizo la Tanesco wanunue analoweka JK halitakuwepo
 
Ningekuwa puppet wa nchi za Wafadhili basi nisingeunga mkono maamuzi aliyoyafanya Mwalimu alipopewa masharti makali na WB na IMF ili nchi ipatiwe mkopo ikiwemo kushusha thamani ya shilingi. Huyu DHAIFU unayemfurahia ndiyo huyu huyu aliyetumia rushwa ya mabilioni ili kumchafua SAS pesa za kutoka kwa mafisadi, ndiye huyu huyu aliyeahidi maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya, Kilimo kwanza, BRN lakini hakuna hata kimoja kilochotimia zaidi ya deni la Taifa kuongezeka kwa muda mfupi sana toka 22 Trilioni shilingi na kufikia 31 Trilioni!!!!! Una mapungufu fulani ya akili weye! Si bure uwe unaandika pumba kiasi hiki.

Kiukweli pamoja na madhaifu yake yote hadi kuitwa Mr. Dhaifu, lazima nikiri kwa hili, JK amenifurahisha sana!, ni kiburi, jeuri na mtu wa msimamo wa kulinda his dignity na national pride!. Kama mlidhani JK atawatetemekea hao wafadhili kwa kwenda kujikomba komba kwao na kuwalamba viatu, ili watupe hiyo general budget support!, mmenoa!. No way!, JK sometimes ni mtu wa misimamo isiyo yumba!, tena namshauri kama vipi, sio tuu wakwende zao na hiyo budget support yao, bali tuwatimulie mbali, wakwende makwao, na miradi yote waiache tuwakabidhi Wachina tujue moja kuliko kutunyanyasa na kutudhalilisha kwa umasikini wetu, japo wa kujitakia!, hivyo kuitumia hiyo misaada kama fimbo ya kutuchapia!.

Hili la mimi na njaa, ni kweli, ila uzuri wangu, sio tuu nimezoea kulala njaa, bali Pasco wa jf ni kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!. Hao wafadhili na wakwende zao na hiyo budget support yao, ili na nyinyi mliozoea kulalia shibe, mjifunze kulala njaa kama sisi!, tena ni vuzuri tuirudie tiba yetu ya mitishamba ndio tukaitibie humo mahospitalini!, kwani kabla hawajaja tulikuwaje hadi wakatukuta?, na wakiondoka watatuacha kama walivyotukuta!.

Huu mtindo wa kuwanyenyekea mno wafadhili eti tu kwa sababu ya fedha zao, kunawafanya wengine wetu mnageuka vibaraka wa wazungu!. Na wewe mkuu BAK, usije jikuta uu miongoni mwa hawa "Puppets":Namna ya Kujitambua Kama Uu Miongoni Mwao!.

Pasco
 
Blah blah blah, blah blah blah, blah blah.

We will now see super experts who think they are superior and better than PCCB and CAG in this thread.

Tanzanians love gossip and rumors, simply mere talks.

Kikwete ameanza lini kufanya kazi au kuteua experts, utoh ni std 7 yuko na vocational skill ya accounting wenyewe mnaita CPA T, hoseah hajafanya continuous professional development toka 2007 alipopata certificate ya economics of corruption hivyo ni obsolete for 7 years.
 
Juzi juzi hapa Donors walitaka kuinyima misaada Uganda kisa wamekataa wanaume kuoana, David cameroon nae alituambia watanzaia kuwa kama tunataka misaada basi tukubali wanaume waoane. Wazimbabwe mpaka leo hawapo in good terms na wafadhiri kisa ardhi yao, kila kona hawa Donors wanajaribu kuimplement matakwa yao kisa misaada, namshangaa mtu mzima anayebeba ajenda ya Donors kukatalia misaada ya kibajeti kama jibu kuwa kunatatizo ndio maana wamekatalia misaada yao. Hawa watu wamechoka kutusaidia, wanakosa tu namna nzuri ya kutunyima hivyo visenti vyao. Na hii nchi haina shida ya misaada ilikosa tu viongozi wenye maono ya mbali kama JK.
Endeleeni tu kulegeza sauti huku mkilalamika mmenyimwa misaada, ipo siku mtaombwa migongo wafadhiri wapande harafu mpewe misaada, sijui mtawapa migongo yenu????


attachment.php


attachment.php

Kwa kuwa mnaoana kimya kimya huko mtaani ina maanisha tanzania hakuna mapenzi ya jinsia moja, tofauti yenu na wazungu ni kuwa wao wako wazi ila ninyi ni wanafiki.
 
Last edited by a moderator:
As reports like this keeps emerging every now and then,i ask myself as to whether we,as responsible citizens of this nation are still dreaming of seeing any good from this leadership.

It's rotten to the core.

Maybe the only "positive" move for them to make is branding their misconducts with better names rather than denying them completely.

But again this is just a temporary remedy,as these matters have echoing behaviour,leaving traces for us to find the "genuine" or direct sound producing them.

In either way,they are closely getting to a turning point,where everybody will be forced to accept and tell the truth,even by cheating so openly that people realize the truth from open lies.
 
CCM ni sawa na ukoo wa panya, baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi,kaka mwizi, dada mwizi, babu mwizi, bibi mwizi, mkwe mwizi, mjomba mwizi,shangazi mwizi. By Mh.Nassari.
 
Blah blah blah, blah blah blah, blah blah.

We will now see super experts who think they are superior and better than PCCB and CAG in this thread.

Tanzanians love gossip and rumors, simply mere talks.

Wewe Mburula this cannot be gossip; do you remember when their own kind Anna Makinda commented that if the ESCROW account report was tabled in parliament many ministers would lose their posts? I am sure she was not dreaming but commenting authoritatively after having had access to the document!!!

As usual the powers that be will come out with lame excuses so as to protect their thieving kith and kin as they did try to protect that criminal called Jairo but ultimately they will fail and the truth will set us free!! The development partners are not fools for withholding their financial AID; they are aware of what they want the government to reveal in this ESCROW account scandal, they have all the necessary information which they will use to counter any falsehoods that the magambas will try to peddle.
 
Kikwete ameanza lini kufanya kazi au kuteua experts, utoh ni std 7 yuko na vocational skill ya accounting wenyewe mnaita CPA T, hoseah hajafanya continuous professional development toka 2007 alipopata certificate ya economics of corruption hivyo ni obsolete for 7 years.

Yaleyale, nisome vizuri ewe MBWA WA MANZESE.
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli pamoja na madhaifu yake yote hadi kuitwa Mr. Dhaifu, lazima nikiri kwa hili, JK amenifurahisha sana!, ni kiburi, jeuri na mtu wa msimamo wa kulinda his dignity na national pride!. Kama mlidhani JK atawatetemekea hao wafadhili kwa kwenda kujikomba komba kwao na kuwalamba viatu, ili watupe hiyo general budget support!, mmenoa!. No way!, JK sometimes ni mtu wa misimamo isiyo yumba!, tena namshauri kama vipi, sio tuu wakwende zao na hiyo budget support yao, bali tuwatimulie mbali, wakwende makwao, na miradi yote waiache tuwakabidhi Wachina tujue moja kuliko kutunyanyasa na kutudhalilisha kwa umasikini wetu, japo wa kujitakia!, hivyo kuitumia hiyo misaada kama fimbo ya kutuchapia!.

Hili la mimi na njaa, ni kweli, ila uzuri wangu, sio tuu nimezoea kulala njaa, bali Pasco wa jf ni kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!. Hao wafadhili na wakwende zao na hiyo budget support yao, ili na nyinyi mliozoea kulalia shibe, mjifunze kulala njaa kama sisi!, tena ni vuzuri tuirudie tiba yetu ya mitishamba ndio tukaitibie humo mahospitalini!, kwani kabla hawajaja tulikuwaje hadi wakatukuta?, na wakiondoka watatuacha kama walivyotukuta!.

Huu mtindo wa kuwanyenyekea mno wafadhili eti tu kwa sababu ya fedha zao, kunawafanya wengine wetu mnageuka vibaraka wa wazungu!. Na wewe mkuu BAK, usije jikuta uu miongoni mwa hawa "Puppets":Namna ya Kujitambua Kama Uu Miongoni Mwao!.

Pasco
Pasco E. Lowasa bwana
Haya,mtaalam wangu. unajua kuji-position vyema kweli kweli.
Inabidi nikutafute unipe "maarifa"
Pia kuna kale kamkakati ka JK na kina S.N.Rweye, ka kutafuta moderators wa chaguo letu kuhusu katiba,kanakuhusu wewe pia. Unafaa kuwa "mwenzetu'
 
Last edited by a moderator:
Ningekuwa puppet wa nchi za Wafadhili basi nisingeunga mkono maamuzi aliyoyafanya Mwalimu alipopewa masharti makali na WB na IMF ili nchi ipatiwe mkopo ikiwemo kushusha thamani ya shilingi. Huyu DHAIFU unayemfurahia ndiyo huyu huyu aliyetumia rushwa ya mabilioni ili kumchafua SAS pesa za kutoka kwa mafisadi, ndiye huyu huyu aliyeahidi maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana, ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya, Kilimo kwanza, BRN lakini hakuna hata kimoja kilochotimia zaidi ya deni la Taifa kuongezeka kwa muda mfupi sana toka 22 Trilioni shilingi na kufikia 31 Trilioni!!!!! Una mapungufu fulani ya akili weye! Si bure uwe unaandika pumba kiasi hiki.
Kama alipotoa ahadi ya maisha bora kwa kila Mtanzania, ahadi hiyo iliendana na time frame ya utekelezaji, then nitakubaliana na wewe, hajafanya kitu, lakini ahadi ile ilitolewa bila time frame, hivyo ni kweli kabisa maisha bora kwa kila Mtanzania, yanakuja!, ile miaka 10 ya JK ndio ilikuwa miaka ya maandalizi, mabarabara si unayaona?!, miundombinu si unaiona?!, kilimo kwanza si unaiona, gesi si unaiona etc, sasa CCM inahitaji miaka mingine 10 kutekeleza, hivyo Watanzania tuungane na kuipa CCM chini ya EL, miaka mingine kumi tuu!, ili wayakamilishe haya!.

Hata Nyerere alipotangaza Azimio la Arusha na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, alisema itatuchukua miaka 30 kujenga Ujamaa!, miaka 30 ilipopita, akakiri tulifanya kosa, ila kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!. Katika safari ya kuelekea maisha bora kwa kila Mtanzania, kuna makosa madogo modogo yamefanyika, ikiwemo virushwa vidogo vido vinavyoitwa grand corruption, na ufisadi mdogo mdogo wa tujisenti twa Mtanzania, huduma duni za afya na elimu, na Mzee kuwa bize sana na safari za hapa na pale, kulikopelekea usimamizi duni!, 2015 Vasco, anapumzika na tunaingiza Jembe, EL, Tanzania sio tuu itakuwa na maisha bora kwa kila Mtanzania, bali kiukweli kabisa, mambo nchi nzima yatatoa maziwa na asali!, kama unabisha, ngoja wampitishe EL uone!, na wasipompitisha...patachimbika!.

Hilo deni lote la huto tujisenti, trilioni 31, tukijumlisha na tujisenti twa kura ya maoni na uchaguzi mkuu, tutafika trilioni 50!, tutaliclear ndani ya mwaka mmoja tuu kwa uchumi wa gesi!, ndio maana hata bila sera wala sheria, tuko very bize kugawa vitalu vyote vya gesi ili ikiwezekana kuivuna gesi yote!.

Wasiwasi wa nini?!.

Hili la mapungufu ya akili, nakiri, ndio maana mpaka leo niko jobless nikishinda humu jf!.

Pasco
 
Unaelewa maana ya fedha ya umma? Ile pesa katika Escrow account ilikuwa ikiwekwa na TANESCO. TANESCO siyo shirika la umma? Kama ni shirika la umma kwa nini isiwe pesa ya umma? Hii ni pesa ya umma iliyoenda kwenye kampuni binafsi. Umma una haki ya kujua kama malipo yalikuwa halali.

Hapa kinachochunguzwa zaidi ni uamuzi wa mahakama, na utekelezaji wa maamuzi ya mahakama. Unafahamu hiyo account kwa nini ilifunguliwa, na kwa nini TANESCO haikuilipa moja kwa moja IPTL? Hawa walioibua hili jambo siyo wapumbavu, wahisani waliositisha misaada yao waliokwishaiahidi serikali ya Tz siyo wajinga, na hawawezi kufikia uamuzi huo eti kwa vile tu Kafulila katamka. Wao pia wana vyombo vyao wanavyovitumia ili kukusanya taarifa na kisha kufikia uamuzi.

Na ufahamu pia akina Kafulila hawafanyi kazi IPTL wala BOT. Taarifa hizi zinatolewa na maofisa wa BOT wanaofahamu kwa undani kasoro zinazohusiana na utoaji wa pesa hiyo kutoka kwenye hiyo account. Kama jambo hili lingekuwa ni rahisi kama unavyofikiria, isingewezekana taasisi zote hizi ikiwa pamoja na mataifa wahisani wakajiingiza kiasi hiki katika suala hili.

Tutulie, tusubirie ripoti na tuone maamuzi ya mwisho.

Endeleeni kujitapisha tu!!

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php



Ukweli utabaki kuwa ukweli pamoja na maneno mengi mnayoyapamba vizuri lakini fedha za escrow hazikuwahi kuwa fedha za umma hata siku moja, hamuwezi kudanganya umma tena. Nawaomba IPTl/PAP waendelee kutoa elimu kama walivyofanya kupitia televisheni, zoezi hilo liwe endelevu.
Watanzania wenzetu wameajiriwa na kampuni ya IPTL/PAP nyie mnasema ni kampuni hewa, vichaa nyie!!
 
Muda wao unahesabika for the grace of God .....!!
 
Pasco E. Lowasa bwana
Haya,mtaalam wangu. unajua kuji-position vyema kweli kweli.
Inabidi nikutafute unipe "maarifa"
Pia kuna kale kamkakati ka JK na kina S.N.Rweye, ka kutafuta moderators wa chaguo letu kuhusu katiba,kanakuhusu wewe pia. Unafaa kuwa "mwenzetu'
Mkuu Kaisari, ni kweli jina langu lilipelekwa, kwa ajili ya vetting ya yule "mtu anayekubalika", kwanza nikakutikana mimi sina chama, pili "mimi sio mtu wa kukubalika!", na tatu membership yangu humu jf na comments zangu humu zomeniponza!, na haswa baada ya kupandisha nyuzi kama hizi.

[h=3]CCM Imechokwa!.[/h][h=3]Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi![/h][h=3]Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo .[/h][h=3]Yametimia!, CCM Imechokwa!, Chadema Njia Nyeupe 2015 ...[/h][h=3]Mapungufu ya JK: Constructive Criticisim![/h][h=3]Chonde Chonde Rais Kikwete: Msimamo wa CCM Serikali Mbili ndio Utavunja Muungano.[/h][h=3]Mchakato Huu wa Katiba, ni Umasikini Wetu!,[/h]
Niendelee?!.

Pasco
 
so our CAG is a filibuster,it will come out this February ili wachukue form ya kugombea Urais kwanza bila kuhusishwa kwenye kashfa yoyote.
 
Kama alipotoa ahadi ya maisha bora kwa kila Mtanzania, ahadi hiyo iliendana na time frame ya utekelezaji, then nitakubaliana na wewe, hajafanya kitu, lakini ahadi ile ilitolewa bila time frame, hivyo ni kweli kabisa maisha bora kwa kila Mtanzania, yanakuja!, ile miaka 10 ya JK ndio ilikuwa miaka ya maandalizi, mabarabara si unayaona?!, miundombinu si unaiona?!, kilimo kwanza si unaiona, gesi si unaiona etc, sasa CCM inahitaji miaka mingine 10 kutekeleza, hivyo Watanzania tuungane na kuipa CCM chini ya EL, miaka mingine kumi tuu!, ili wayakamilishe haya!.

Hata Nyerere alipotangaza Azimio la Arusha na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, alisema itatuchukua miaka 30 kujenga Ujamaa!, miaka 30 ilipopita, akakiri tulifanya kosa, ila kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!. Katika safari ya kuelekea maisha bora kwa kila Mtanzania, kuna makosa madogo modogo yamefanyika, ikiwemo virushwa vidogo vido vinavyoitwa grand corruption, na ufisadi mdogo mdogo wa tujisenti twa Mtanzania, huduma duni za afya na elimu, na Mzee kuwa bize sana na safari za hapa na pale, kulikopelekea usimamizi duni!, 2015 Vasco, anapumzika na tunaingiza Jembe, EL, Tanzania sio tuu itakuwa na maisha bora kwa kila Mtanzania, bali kiukweli kabisa, mambo nchi nzima yatatoa maziwa na asali!, kama unabisha, ngoja wampitishe EL uone!, na wasipompitisha...patachimbika!.

Hilo deni lote la huto tujisenti, trilioni 31, tukijumlisha na tujisenti twa kura ya maoni na uchaguzi mkuu, tutafika trilioni 50!, tutaliclear ndani ya mwaka mmoja tuu kwa uchumi wa gesi!, ndio maana hata bila sera wala sheria, tuko very bize kugawa vitalu vyote vya gesi ili ikiwezekana kuivuna gesi yote!.

Wasiwasi wa nini?!.

Hili la mapungufu ya akili, nakiri, ndio maana mpaka leo niko jobless nikishinda humu jf!.

Pasco

Hivi uko serious au unafanya stihizai?
 
Re shuffling ya baraza la mawaziri la JK inanukia waliohusika watatupwa nje na watatuzuga kushitakiwa
 
Pasco E. Lowasa bwana
Haya,mtaalam wangu. unajua kuji-position vyema kweli kweli.
Inabidi nikutafute unipe "maarifa"
Pia kuna kale kamkakati ka JK na kina S.N.Rweye, ka kutafuta moderators wa chaguo letu kuhusu katiba,kanakuhusu wewe pia. Unafaa kuwa "mwenzetu'
Lakini saa ingine anasema ukweli,hawa western hawafai kabisa
 
Last edited by a moderator:
Juzi juzi hapa Donors walitaka kuinyima misaada Uganda kisa wamekataa wanaume kuoana, David cameroon nae alituambia watanzaia kuwa kama tunataka misaada basi tukubali wanaume waoane. Wazimbabwe mpaka leo hawapo in good terms na wafadhiri kisa ardhi yao, kila kona hawa Donors wanajaribu kuimplement matakwa yao kisa misaada, namshangaa mtu mzima anayebeba ajenda ya Donors kukatalia misaada ya kibajeti kama jibu kuwa kunatatizo ndio maana wamekatalia misaada yao. Hawa watu wamechoka kutusaidia, wanakosa tu namna nzuri ya kutunyima hivyo visenti vyao. Na hii nchi haina shida ya misaada ilikosa tu viongozi wenye maono ya mbali kama JK.
Endeleeni tu kulegeza sauti huku mkilalamika mmenyimwa misaada, ipo siku mtaombwa migongo wafadhiri wapande harafu mpewe misaada, sijui mtawapa migongo yenu????


attachment.php


attachment.php

Wee ukoje? au unamung'nywa?
 
Unaelewa maana ya fedha ya umma? Ile pesa katika Escrow account ilikuwa ikiwekwa na TANESCO. TANESCO siyo shirika la umma? Kama ni shirika la umma kwa nini isiwe pesa ya umma? Hii ni pesa ya umma iliyoenda kwenye kampuni binafsi. Umma una haki ya kujua kama malipo yalikuwa halali.

Hapa kinachochunguzwa zaidi ni uamuzi wa mahakama, na utekelezaji wa maamuzi ya mahakama. Unafahamu hiyo account kwa nini ilifunguliwa, na kwa nini TANESCO haikuilipa moja kwa moja IPTL? Hawa walioibua hili jambo siyo wapumbavu, wahisani waliositisha misaada yao waliokwishaiahidi serikali ya Tz siyo wajinga, na hawawezi kufikia uamuzi huo eti kwa vile tu Kafulila katamka. Wao pia wana vyombo vyao wanavyovitumia ili kukusanya taarifa na kisha kufikia uamuzi.

Na ufahamu pia akina Kafulila hawafanyi kazi IPTL wala BOT. Taarifa hizi zinatolewa na maofisa wa BOT wanaofahamu kwa undani kasoro zinazohusiana na utoaji wa pesa hiyo kutoka kwenye hiyo account. Kama jambo hili lingekuwa ni rahisi kama unavyofikiria, isingewezekana taasisi zote hizi ikiwa pamoja na mataifa wahisani wakajiingiza kiasi hiki katika suala hili.

Tutulie, tusubirie ripoti na tuone maamuzi ya mwisho.

Fedha za escrow si pesa za umma, hazijawahi kuwa pesa za umma na hazitokuja kuwa fedha za umma, kosa walillifanya hawa waliofikia uamuzi wa kuweka hizo fedha BOT wangeweka NBC sijui mngesemaje leo????
Unakurupuka uamuzi wa mahakama ulikuwa wazi na wa haki ndio maana aliyefungua shauri hilo ambae ni VIPEM alilidhika na uamuzi wa mahakama na PAP?IPTL hawajakata rufaa. Kama hamjaridhika na uamuzi huo wewe na Kafulila wako nendeni mkakate rufaa nyinyi sasa!!
KIlichopelekea kufunguliwa kwa escrow account ni mgogoro wa kimaslahi kati ya wabia, Ndipo VIPEM wakaiomba TANESCO iache kupeleka malipo ya umeme kwa IPTL sababu VIPEM hawakuwa na imani na MECHMAR kwenye mgao wa fedha hizo natiyari walikuwa na mgogoro mahakani. Tanesco walikubaliana na pendekezo la VIP hivyo ndio ukatafutwa ufumbuzi wapi zitunzwe fedha hizo hadi mgogoro wa wabia utakapo isha. Huu ndio mwanzo wa kufunguliwa kwa escrow account.
Kafulila ni mpumbavu na wewe ni mpumbavu kwa kudhani kuwa mtaendelea kudanganya umma. Donors wakiwaomba migongo muwape maana soon watadai migongo iliwatoe misaada yao, kibaraka wewe.
Na ripoti ikitoka urudi tena humu tuichangie.

This is IPTL.....


attachment.php



attachment.php
 
Back
Top Bottom