Hoseah submits escrow account probe dossier

Hoseah submits escrow account probe dossier

Wee ukoje? au unamung'nywa?

teh teh teh teh!!!! Nasikia kwenu huo ni utamaduni, kwahiyo wewe na famili@ yako kumung'unywa ni kawaida tu !!!! :msela:

This IPTL


attachment.php
 
Wanaahirisha tu maumivu... By the way, watakuja kuitoa ijadiliwe February. Najua wanakwepa effects kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa lakini pia kuwalinda wahusika wakuu ambao wengine ni candidates wa ugombea kupitia chama chao. Lakini sidhani kama itasaidia

Wana suala la katiba iliyochakachuliwa
Wana uchaguzi serikali za mitaa
Wana uboreshaji wa daftari la wapiga kura
Wana uchaguzi wa ndani wa chama
Then wana uchaguzi mkuu...

Hakyanani hawawezi toboa...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Juzi juzi hapa Donors walitaka kuinyima misaada Uganda kisa wamekataa wanaume kuoana, David cameroon nae alituambia watanzaia kuwa kama tunataka misaada basi tukubali wanaume waoane. Wazimbabwe mpaka leo hawapo in good terms na wafadhiri kisa ardhi yao, kila kona hawa Donors wanajaribu kuimplement matakwa yao kisa misaada, namshangaa mtu mzima anayebeba ajenda ya Donors kukatalia misaada ya kibajeti kama jibu kuwa kunatatizo ndio maana wamekatalia misaada yao. Hawa watu wamechoka kutusaidia, wanakosa tu namna nzuri ya kutunyima hivyo visenti vyao. Na hii nchi haina shida ya misaada ilikosa tu viongozi wenye maono ya mbali kama JK.
Endeleeni tu kulegeza sauti huku mkilalamika mmenyimwa misaada, ipo siku mtaombwa migongo wafadhiri wapande harafu mpewe misaada, sijui mtawapa migongo yenu????


attachment.php


attachment.php

Kwa kuwa mnaoana kimya kimya huko mtaani ina maanisha tanzania hakuna mapenzi ya jinsia moja, tofauti yenu na wazungu ni kuwa wao wako wazi ila ninyi ni wanafiki.

Toa use@*#nge wako mpumb@vu wewe kwahiyo unataka tukuf!re ilitupate misaada!!!
 
vinchi vya kiafrika vishenzishenzi kama Tanzania lazima ukute watendaji was serikali kutupa weledi na maadili na kujiingiza kwenye siasa,huyu mpuuzi kashaitwa ikulu na kumegewa mlungula for his silence..!
kafulila aache kutumika njaa yake itakuja kumtokea puani mwisho wa siku.
 
Last paragraph has the main reason why there is a delay on submitting the report.

Is this the para you are referring to?

  • Mr Makandege and Mr Sethi insist that the acquisition of the 70 per cent IPTL stake was aboveboard.
 
Joseph Makandege said the move was in contempt of court, adding that the matter had already been decided by the High Court of Tanzania.
 

  • the Prevention and Combating of Corruption Bureau has finally submitted its damning investigation dossier

    However, the PCCB chief did not disclose the contents of his report
Mhariri, kwa nini it is a "damning dossier," umejuaje?

How can you say it is a damning dossier if you agree that you don't know what's in it?

Hahahahahhaaaaaa...... Tanzania kuna vituko kwenye magazeti yetu haya jamani!
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hahahahaha wewe kweli hamnazo!!!! ahadi zilizoshindwa kutimizwa katika miaka 9 iliyopita unategemea zitimie katika miezi 11 iliyobaki!!!! Keep on dreaming soon you would be able to arrive at the promise land (good life).

Kama alipotoa ahadi ya maisha bora kwa kila Mtanzania, ahadi hiyo iliendana na time frame ya utekelezaji, then nitakubaliana na wewe, hajafanya kitu, lakini ahadi ile ilitolewa bila time frame, hivyo ni kweli kabisa maisha bora kwa kila Mtanzania, yanakuja!, ile miaka 10 ya JK ndio ilikuwa miaka ya maandalizi, mabarabara si unayaona?!, miundombinu si unaiona?!, kilimo kwanza si unaiona, gesi si unaiona etc, sasa CCM inahitaji miaka mingine 10 kutekeleza, hivyo Watanzania tuungane na kuipa CCM chini ya EL, miaka mingine kumi tuu!, ili wayakamilishe haya!.

Hata Nyerere alipotangaza Azimio la Arusha na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, alisema itatuchukua miaka 30 kujenga Ujamaa!, miaka 30 ilipopita, akakiri tulifanya kosa, ila kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!. Katika safari ya kuelekea maisha bora kwa kila Mtanzania, kuna makosa madogo modogo yamefanyika, ikiwemo virushwa vidogo vido vinavyoitwa grand corruption, na ufisadi mdogo mdogo wa tujisenti twa Mtanzania, huduma duni za afya na elimu, na Mzee kuwa bize sana na safari za hapa na pale, kulikopelekea usimamizi duni!, 2015 Vasco, anapumzika na tunaingiza Jembe, EL, Tanzania sio tuu itakuwa na maisha bora kwa kila Mtanzania, bali kiukweli kabisa, mambo nchi nzima yatatoa maziwa na asali!, kama unabisha, ngoja wampitishe EL uone!, na wasipompitisha...patachimbika!.

Hilo deni lote la huto tujisenti, trilioni 31, tukijumlisha na tujisenti twa kura ya maoni na uchaguzi mkuu, tutafika trilioni 50!, tutaliclear ndani ya mwaka mmoja tuu kwa uchumi wa gesi!, ndio maana hata bila sera wala sheria, tuko very bize kugawa vitalu vyote vya gesi ili ikiwezekana kuivuna gesi yote!.

Wasiwasi wa nini?!.

Hili la mapungufu ya akili, nakiri, ndio maana mpaka leo niko jobless nikishinda humu jf!.

Pasco
 
Pole kwa kuwa jobless ongeza jitihada za kujikomba labda kabla hajamaliza awamu yake atakurushia fupa upambane nalo (Katibu wa CCM wa Wilaya/Mkoa. Kukimbia umande ni kosa kubwa sana maishani.


Hili la mapungufu ya akili, nakiri, ndio maana mpaka leo niko jobless nikishinda humu jf!.

Pasco
 
Hamuwezi kutukatisha tamaa, mnaleta hoja na mikakati yenu ya kuchafua watu na kupandikiza chuki kwa watu na serikali yao, mnabahati mpo Tanzania humu, mnamtukana Mh. rais hamchukuliwi hatua vikaragosi nyinyi.
Hii nchi imesonga mbele mara 1000, hutaki acha au kaandamandane. Mnapayuka tu hovyo 24 *7 mmpo humu hamna kazi ya kufanya zaidi ya upotoshaji mnalipwa ili kupotosha umma na kusambaza udaku.
 
Serikali: IPTL bado wanatudai. Fedha iliyokuwa ikilipwa na TANESCO kwenye account ya ESCROW muda mwingine ilikuwa ikipelekwa pungufu na muda mwingine hatukupeleka kabisa fedha kwenye escrow account.
 
Pole kwa kuwa jobless ongeza jitihada za kujikomba labda kabla hajamaliza awamu yake atakurushia fupa upambane nalo (Katibu wa CCM wa Wilaya/Mkoa. Kukimbia umande ni kosa kubwa sana maishani.
No sikukimbia umande, kwa sababu muda wote ule tangu nina miaka 4, nimekuwa nikichunga mbuzi wa babu kwenye umande, kwa vile tunalala ndani na mbuzi, inanibidi kuamka saa 11 alfajiri kufungulia mbuzi kabla watu hawajaamka, huko nje nakuta ni umande tupu!.

Pia nimeelimika mpaka daasa la saba la UPE na nilipasi ila nafasi zilikosekana, wakati wote wa shule ya msingi, nilienda shule peku, na asubihi nilinawa miguu kwa umande, hivyo sio kweli nilkimbia umande!.

Hili la kurushiwa fupa CCM, ndilo ninalolisubiri, ndio maana nikaacha kazi ya mesenja pale kwa wale wazungu wa FCO waliokuwa wakilipa £ 4,000 ili kusubiria hilo fupa la CCM!, kwa sasa bado kwenye process ya kujiunga na CCM, kinachonichelewesha ni kusubiri kukabidhiwa kadi na Mwenyekiti IELO!.

Pasco
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Umeacha kazi yenye mshahara wa £4,000 ili nawe ukaungane na mafisadi nawe uwe bilionea kwa kupitia pesa za walipa kodi!!! Tamaa ya utajiri wa haraka haraka mbaya angalia tu usiishie pabaya baada ya kutupiwa hilo fupa. Inadaiwa jina lako liko katika short list ya uteuzi utakaofanywa kabla ya kumaliza awamu yake. Endelea na juhudi zako za kupigia debe mediocre performance.

No sikukimbia umande, kwa sababu muda wote ule tangu nina miaka 4, nimekuwa nikichunga mbuzi wa babu kwenye umande, kwa vile tunalala ndani na mbuzi, inanibidi kuamka saa 11 alfajiri kufungulia mbuzi kabla watu hawajaamka, huko nje nakuta ni umande tupu!.

Pia nimeelimika mpaka daasa la saba la UPE na nilipasi ila nafasi zilikosekana, wakati wote wa shule ya msingi, nilienda shule peku, na asubihi nilinawa miguu kwa umande, hivyo sio kweli nilkimbia umande!.

Hili la kurushiwa fupa CCM, ndilo ninalolisubiri, ndio maana nikaacha kazi ya mesenja pale kwa wale wazungu wa FCO waliokuwa wakilipa £ 4,000 ili kusubiria hilo fupa la CCM!, kwa sasa bado kwenye process ya kujiunga na CCM, kinachonichelewesha ni kusubiri kukabidhiwa kadi na Mwenyekiti IELO!.

Pasco
 
Hivi hosseah si ndo aliitetea richimond iloondoka na lowassa?lkn kanyaboya hilo likaiburuza serikali ya kikwete na hadi leo prof wa kichinachina hatizamani uso na huyu mmasai lowassa!haku takukuru yenye ubavu wakusema na kutoa madudu ya serikali ya kikwete...maskini tanzania.
 
Toa use@*#nge wako mpumb@vu wewe kwahiyo unataka tukuf!re ilitupate misaada!!!

Tatizo nyie mnafilana kwahiari kimtaamtaa ila wazungu wametia katika sheria ila wote mnatenda dhambi ile ile ila nyie manaofanya kwa siri ni mahakimu wazuri kwa wale wanaofanya waziwazi.
 
Tatizo nyie mnafilana kwahiari kimtaamtaa ila wazungu wametia katika sheria ila wote mnatenda dhambi ile ile ila nyie manaofanya kwa siri ni mahakimu wazuri kwa wale wanaofanya waziwazi.

Tatizo lenu moja nyie mashog@ wa kibongo mik*_undu michafu, watumiaji wa hizo bak zenu tupo kweli!! Tutawatumia kuombea misaada kwa wazungu mwakani, anzeni kuisafisha vizuri kuanzia sasa. Tena kama wewe MBWA WA MANZESE andaa vizuri Bak hiyo, piga deki vizuri maana mwakani mabepari watagoma kutoa misaada mpaka tuwape kichwa kimoja na mimi nadhani wewe utafaa sana kuokoa jahazi.
 
Back
Top Bottom