optimus prime
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 401
- 287
Wee ukoje? au unamung'nywa?
teh teh teh teh!!!! Nasikia kwenu huo ni utamaduni, kwahiyo wewe na famili@ yako kumung'unywa ni kawaida tu !!!! :msela:
This IPTL
Wee ukoje? au unamung'nywa?
Juzi juzi hapa Donors walitaka kuinyima misaada Uganda kisa wamekataa wanaume kuoana, David cameroon nae alituambia watanzaia kuwa kama tunataka misaada basi tukubali wanaume waoane. Wazimbabwe mpaka leo hawapo in good terms na wafadhiri kisa ardhi yao, kila kona hawa Donors wanajaribu kuimplement matakwa yao kisa misaada, namshangaa mtu mzima anayebeba ajenda ya Donors kukatalia misaada ya kibajeti kama jibu kuwa kunatatizo ndio maana wamekatalia misaada yao. Hawa watu wamechoka kutusaidia, wanakosa tu namna nzuri ya kutunyima hivyo visenti vyao. Na hii nchi haina shida ya misaada ilikosa tu viongozi wenye maono ya mbali kama JK.
Endeleeni tu kulegeza sauti huku mkilalamika mmenyimwa misaada, ipo siku mtaombwa migongo wafadhiri wapande harafu mpewe misaada, sijui mtawapa migongo yenu????
![]()
![]()
Kwa kuwa mnaoana kimya kimya huko mtaani ina maanisha tanzania hakuna mapenzi ya jinsia moja, tofauti yenu na wazungu ni kuwa wao wako wazi ila ninyi ni wanafiki.
kafulila aache kutumika njaa yake itakuja kumtokea puani mwisho wa siku.vinchi vya kiafrika vishenzishenzi kama Tanzania lazima ukute watendaji was serikali kutupa weledi na maadili na kujiingiza kwenye siasa,huyu mpuuzi kashaitwa ikulu na kumegewa mlungula for his silence..!
teh teh teh teh!!!! Nasikia kwenu huo ni utamaduni, kwahiyo wewe na famili@ yako kumung'unywa ni kawaida tu !!!! :msela:
This IPTL
![]()
Last paragraph has the main reason why there is a delay on submitting the report.
Mhariri, kwa nini it is a "damning dossier," umejuaje?
- the Prevention and Combating of Corruption Bureau has finally submitted its damning investigation dossier
However, the PCCB chief did not disclose the contents of his report
Kama alipotoa ahadi ya maisha bora kwa kila Mtanzania, ahadi hiyo iliendana na time frame ya utekelezaji, then nitakubaliana na wewe, hajafanya kitu, lakini ahadi ile ilitolewa bila time frame, hivyo ni kweli kabisa maisha bora kwa kila Mtanzania, yanakuja!, ile miaka 10 ya JK ndio ilikuwa miaka ya maandalizi, mabarabara si unayaona?!, miundombinu si unaiona?!, kilimo kwanza si unaiona, gesi si unaiona etc, sasa CCM inahitaji miaka mingine 10 kutekeleza, hivyo Watanzania tuungane na kuipa CCM chini ya EL, miaka mingine kumi tuu!, ili wayakamilishe haya!.
Hata Nyerere alipotangaza Azimio la Arusha na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, alisema itatuchukua miaka 30 kujenga Ujamaa!, miaka 30 ilipopita, akakiri tulifanya kosa, ila kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!. Katika safari ya kuelekea maisha bora kwa kila Mtanzania, kuna makosa madogo modogo yamefanyika, ikiwemo virushwa vidogo vido vinavyoitwa grand corruption, na ufisadi mdogo mdogo wa tujisenti twa Mtanzania, huduma duni za afya na elimu, na Mzee kuwa bize sana na safari za hapa na pale, kulikopelekea usimamizi duni!, 2015 Vasco, anapumzika na tunaingiza Jembe, EL, Tanzania sio tuu itakuwa na maisha bora kwa kila Mtanzania, bali kiukweli kabisa, mambo nchi nzima yatatoa maziwa na asali!, kama unabisha, ngoja wampitishe EL uone!, na wasipompitisha...patachimbika!.
Hilo deni lote la huto tujisenti, trilioni 31, tukijumlisha na tujisenti twa kura ya maoni na uchaguzi mkuu, tutafika trilioni 50!, tutaliclear ndani ya mwaka mmoja tuu kwa uchumi wa gesi!, ndio maana hata bila sera wala sheria, tuko very bize kugawa vitalu vyote vya gesi ili ikiwezekana kuivuna gesi yote!.
Wasiwasi wa nini?!.
Hili la mapungufu ya akili, nakiri, ndio maana mpaka leo niko jobless nikishinda humu jf!.
Pasco
Hili la mapungufu ya akili, nakiri, ndio maana mpaka leo niko jobless nikishinda humu jf!.
Pasco
No sikukimbia umande, kwa sababu muda wote ule tangu nina miaka 4, nimekuwa nikichunga mbuzi wa babu kwenye umande, kwa vile tunalala ndani na mbuzi, inanibidi kuamka saa 11 alfajiri kufungulia mbuzi kabla watu hawajaamka, huko nje nakuta ni umande tupu!.Pole kwa kuwa jobless ongeza jitihada za kujikomba labda kabla hajamaliza awamu yake atakurushia fupa upambane nalo (Katibu wa CCM wa Wilaya/Mkoa. Kukimbia umande ni kosa kubwa sana maishani.
No sikukimbia umande, kwa sababu muda wote ule tangu nina miaka 4, nimekuwa nikichunga mbuzi wa babu kwenye umande, kwa vile tunalala ndani na mbuzi, inanibidi kuamka saa 11 alfajiri kufungulia mbuzi kabla watu hawajaamka, huko nje nakuta ni umande tupu!.
Pia nimeelimika mpaka daasa la saba la UPE na nilipasi ila nafasi zilikosekana, wakati wote wa shule ya msingi, nilienda shule peku, na asubihi nilinawa miguu kwa umande, hivyo sio kweli nilkimbia umande!.
Hili la kurushiwa fupa CCM, ndilo ninalolisubiri, ndio maana nikaacha kazi ya mesenja pale kwa wale wazungu wa FCO waliokuwa wakilipa £ 4,000 ili kusubiria hilo fupa la CCM!, kwa sasa bado kwenye process ya kujiunga na CCM, kinachonichelewesha ni kusubiri kukabidhiwa kadi na Mwenyekiti IELO!.
Pasco
Toa use@*#nge wako mpumb@vu wewe kwahiyo unataka tukuf!re ilitupate misaada!!!
Tatizo nyie mnafilana kwahiari kimtaamtaa ila wazungu wametia katika sheria ila wote mnatenda dhambi ile ile ila nyie manaofanya kwa siri ni mahakimu wazuri kwa wale wanaofanya waziwazi.