Hoseah on ESCROW Scandal: No one would be spared

Hoseah on ESCROW Scandal: No one would be spared

Ndio maana umeambiwa tulia wengi zaidi watafikishwa mahakamani,jamaa wa ardhi na tibaijuka wafikishwe mahakamani haraka sana
 
Dr MziziMkavu wanatuzuga tu hawa wahuni kama walivyofanya kwenye EPA na mabilioni ya Uswiss. EPA wakapindisha sheria kwamba wezi wamerudisha pesa zote kumbe ulikuwa ni uongo mkubwa. Walioambiwa waweke majina na wezi hadharani na kiasi kila mwizi alichorudisha wakashindwa kufanya hivyo. Rada yule mhindi Vethlani wakamuacha atoroke katika mazingira ya kutatanisha kwani alikuwa yuko chini ya ulinzi wa polisi na wahusika wengine akina fisadi Chenge mpaka kesho kutwa wanapeta na pesa zao za wizi. Werema mara ya mwisho alidai wahusika wa mabilioni ya Uswiss wamehojiwa alipoombwa kutoa majina akagoma sasa ndiye huyo hayumo tena Serikalini. Kikwete hajawahi hata siku moka kuzungumzia mabilioni ya Uswiss na huyo gaidi Mwigulu anaikimbia hii issue kama inavyokimbiwa Ebola.

Hivyo tusitegemee chochote cha maana kutoka katika hii Serikali iliyojaa wahuni, wezi na mafisadi. Watatuzugazuga tu na baada ya miezi michache hakutakuwa na lolote la maana dhidi ya wapokea rushwa na mtoa rushwa.


Uchunguzi utamalizika lini wakati zimebakia Miezi Michache kutafanyika Uchaguzi Mkuu? Maneno yako Mheshimiwa ndugu Dr Edward Hoseah yananitia wasiwasi huenda ikawa hao walioiba Pesa za ESCROW wasifungwe ninahisi patafanyika uchakachuaji mkubwa hapo.
 
Last edited by a moderator:
Dr MziziMkavu wanatuzuga tu hawa wahuni kama walivyofanya kwenye EPA na mabilioni ya Uswiss. EPA wakapindisha sheria kwamba wezi wamerudisha pesa zote kumbe ulikuwa ni uongo mkubwa. Walioambiwa waweke majina na wezi hadharani na kiasi kila mwizi alichorudisha wakashindwa kufanya hivyo. Rada yule mhindi Vethlani wakamuacha atoroke katika mazingira ya kutatanisha kwani alikuwa yuko chini ya ulinzi wa polisi na wahusika wengine akina fisadi Chenge mpaka kesho kutwa wanapeta na pesa zao za wizi. Werema mara ya mwisho alidai wahusika wa mabilioni ya Uswiss wamehojiwa alipoombwa kutoa majina akagoma sasa ndiye huyo hayumo tena Serikalini. Kikwete hajawahi hata siku moka kuzungumzia mabilioni ya Uswiss na huyo gaidi Mwigulu anaikimbia hii issue kama inavyokimbiwa Ebola.

Hivyo tusitegemee chochote cha maana kutoka katika hii Serikali iliyojaa wahuni, wezi na mafisadi. Watatuzugazuga tu na baada ya miezi michache hakutakuwa na lolote la maana dhidi ya wapokea rushwa na mtoa rushwa.
Hawa Watakuwa ni Viongozi wasanii tu hakuna kitu hapo kitakachotendeka ni Usanii mtupu huo BAK
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Huyu bwana Dr.Hosea alitoroka JKT enzi hizo.Nashangaa leo ndiye mkuu wa idara muhimu hapa nchini.Usimwamini mtu aliyeshindwa JKT aweze kupambana na mijitu kama WEREMA.
 
Hili litapita tu kama la RICHMOND!
 
hoseah.jpg

“There is no cause for alarm...Just give us time to discharge our duties and you will soon see more people dragged to court immediately after we accomplish our investigations” Dr Edward Hoseah, PCCB Boss
By Katare Mbashiru,The Citizen Reporter

Posted Friday, January 16 2015 at 07:52
In Summary

  • The anti-corruption czar says investigators from his office are working round the clock and all those connected with the scam will be taken to court as soon as possible.
  • The director-general of the Prevention and Combating of Corruption Bureau says more suspects will be brought to court any time

Dar es Salaam. Not a single public servant who pocketed a share of the escrow billions from VIP Engineering and Marketing’s James Rugemalira will be spared, the head of the anti-corruption watchdog told The Citizen yesterday.

If anything, according to the director-general of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), more suspects will be brought to court any time now to face graft charges. Dr Edward Hoseah’s assurance comes barely two days after two senior public servants were charged with corruption in the Tegeta escrow account scam on Wednesday in Dar es Salaam.

They stand accused of corruptly receiving nearly Sh500 million from the traceable to the Tegeta escrow account. These are Mr Rugonzibwa Mujunangoma, the director of legal services at the ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development, and Mr Theophillo Bwakea, a principal engineer at the Rural Energy Agency (REA).

Mr Mujunangoma reportedly received Sh323.4 million from Mr Rugemalira. The money is said to have been a reward for handling IPTL affairs favourably as a liquidator. Mr Bwakea has been charged with receiving Sh161.7 million for allegedly “facilitating” the policy under which the private sector would be allowed to produce and sell electricity to Tanzania Electric Supply Company (Tanesco).

The anti-corruption Czar said investigators from his office are working round the clock and all those connected with the scam will be taken to court as soon as possible. His remarks come against a backdrop of accusations of selective justice in prosecuting those who received money from Mr Rugemalira, but Dr Hoseah dismissed the claims and warned that those who received bribes should prepare to face the law.

PCCB investigators have reportedly interrogated a dozen public servants who received millions of shillings from Mr Rugemalira. They include officials from the state-owned power utility, Tanesco, the Ministry of Energy and Minerals, the Registration Insolvency and Trusteeship Agency (RITA) and State House.


Investigators are also on the trail of more beneficiaries, including those whose cash was wired abroad. A senior government official (name withheld) is said to have received about $3million (Sh5.1 billion), which was wired to his foreign bank account in Johannesburg from one of the IPTL shareholders.


But when asked whether the recently sacked Land and Human settlements Minister, Prof Anna Tibaijuka, was on the list of those likely to appear in court, Dr Hoseah said it was illegal to name or disclose details to do with those under investigation.

Prof Tibaijuka was sacked on December 22 for receiving Sh1.6 billion from Mr Rugemalira.


“There is no cause for alarm,” Dr Hoseah said, adding: “Just give us time to discharge our duty and you will soon see more people dragged to court immediately after we accomplish our investigations.’’


Other high profile officials implicated in the Tegeta escrow scandal are Mr Frederick Werema, who resigned as Attorney General in December, and Energy and Minerals Permanent Secretary Eliakim Maswi, who has since been suspended pending the outcome of further investigations on his role in the scam.

Seven Tanzania Revenue Authority (TRA) top officials have been suspended for failing to collect tax on money withdrawn from the controversial account.

In a move seen as a big blow to the beneficiaries of the VIP billions, TRA has issued a 30-day notice to all those who received money from Mr Rugemalira to pay 30 per cent income tax plus the penalty before the end of this month.


CC: Tized, Mr Rocky, Fixed Point, lyinga, NATA, Chakaza, Elly B, MziziMkavu, afrodenzi, Ablessed, Heaven on Earth, Power to the People, Jasusi, Eiyer, idawa, nguruvi, Mentor, Sikonge kill3 Dingswayo, MANI, tpaul, Bramo, Bulesi Bulldog, Sangarara, MTAZAMO, Erythrocyte, Mag3, Mimibaba, zumbemkuu, Crashwise, amkawewe, Idimi, Ogah, Chakaza, mshana jr, JokaKuu, MWALLA, genekai, PRINCE CROWN, Tuko, Shark, lynxeffect22, samaki2011, MoudyBoka, adolay, Elli, nyabhingi, Janjaweed, S.N.Jilala, MEANDU, Tabby, Candid Scope, Honolulu, August, dyuteromaikota, BONGOLALA, Gefu, Bigirita, Kozo Okamoto, Daudi Mchambuzi


Fisadi MKUU ameishasema kwamba zile fedha zilizoliwa na majizi ya CCM sio za UMMA...sasa Hosea atawashtaki kwa kosa gani? CCM ni shedaaaaaaaaaaaa!
 
Wale wote wa Ikulu waliochukuwa mgao ikiwemo mama Wama wapandishwe kizimbani, fisadi Chenge, Ngeleja na wengineo wote bila ya kuwasahau wale waliopokea mgao kupitia bank ya Stanbic. Ruge naye apandishwe kizimbani kwa kutoa rushwa na pia alipishwe kodi baada ya "kuuza share" zake na kupata bulungutu kubwa.

Utaambiwa baada ya Muhongo kujiuzulu kesi imeisha. Fedha hazitarudi
 
Back
Top Bottom