Na lazima Dr. Mwakyembe alipe fadhila kwa Dr.Mahalu kwa vile ndiye aliyempa scholarship kwenda ujerumani wakati Dr. Mahalu akiwa dean wa faculty ya sheria pale mlimani.
Wana JF tusipoangalia hapa baadhi ya watu watuharibia maana nzima ya kuwepo JF kwa kupost vitu ambavyo havina maana wala kutujenga wana JF,kelele za TAKUKURU ni baadhi ya watumishi kutaka madaraka ambayo uwezo nayo hawana hata wakipewa,mfano huyo mkurugenzi mkuu msaidizi kusambaza ujumbe wa maandishi kwa watu na wana JF kuwa DR hossea kaandika barua kwa RAIS ya kuomba kuacha kazi ni,akiri hiyo kweli?na hata RAIS akimtoa hoseah anauhakika gani atakuwa mkurugenzi mkuu?Rais ni mtu makini asiyekurupuka na anavyombo makini kwa kufanya kazi zake,na huyo lilian mashaka harakati za kutaka kuwa mkurugenzi mkuu hakuanza leo,hata alidiliki kutembea na mkubwa furani paradise hotel ili amsaidie kwa JK kupata nafasi hiyo,hata mumewe mzee mashaka analijua hiyo,na lilimshanya ugonjwa wake kupanda na kulazwa AGHA KHAN HOSPITAL ,wana JF fuatilieni records hospital.,
IKULU inajua harakati za mama huyo kabla na baada ya uteuzi huo,kwanza yuko karibu na mafisadi walio wengi,mimi si mwana takukuru lakini nachojua mimi hata kama kuna tatizo katika uchunguzi wao wa RICHMOND si tatizo la DK HOSEAH peke yake ni TAKUKURU yote,sasa huyo mama mashaka wenu yeye atakuwa wapi?
Ndugu yangu una hakika kuwa hiyo scholarship aliitoa mahalu, au unaongea tu. Mahalu alikuwa na uwezo gani wa kutoa scholaship alipokuwa chuo?
menosugu,
Na wewe ni mgeni pia hapa,nsema hivi jamani someni tulikotoka ndio mje na hizi hadithi zenu.lakini ukisema JF walimdanganya hosea hapo nitakubaliana nanyi lakini kinyume na hapo mimi sipo,zaidi ya mfa maji haishi kutapatapa
Wana JF tusipoangalia hapa baadhi ya watu watuharibia maana nzima ya kuwepo JF kwa kupost vitu ambavyo havina maana wala kutujenga wana JF,kelele za TAKUKURU ni baadhi ya watumishi kutaka madaraka ambayo uwezo nayo hawana hata wakipewa,mfano huyo mkurugenzi mkuu msaidizi kusambaza ujumbe wa maandishi kwa watu na wana JF kuwa DR hossea kaandika barua kwa RAIS ya kuomba kuacha kazi ni,akiri hiyo kweli?na hata RAIS akimtoa hoseah anauhakika gani atakuwa mkurugenzi mkuu?Rais ni mtu makini asiyekurupuka na anavyombo makini kwa kufanya kazi zake,na huyo lilian mashaka harakati za kutaka kuwa mkurugenzi mkuu hakuanza leo,hata alidiliki kutembea na mkubwa furani paradise hotel ili amsaidie kwa JK kupata nafasi hiyo,hata mumewe mzee mashaka analijua hiyo,na lilimshanya ugonjwa wake kupanda na kulazwa AGHA KHAN HOSPITAL ,wana JF fuatilieni records hospital.,
IKULU inajua harakati za mama huyo kabla na baada ya uteuzi huo,kwanza yuko karibu na mafisadi walio wengi,mimi si mwana takukuru lakini nachojua mimi hata kama kuna tatizo katika uchunguzi wao wa RICHMOND si tatizo la DK HOSEAH peke yake ni TAKUKURU yote,sasa huyo mama mashaka wenu yeye atakuwa wapi?
Kwanza anapenda kujionyesha anajua kuliko wenzake,kwa uchunguzi wangu nilipofanya kwa kudodosa baadhi ya rafiki zangu ndani ya PCCB wanadai kuwa anamponda mkurugenzi wa elimu kwa UMMA kuwa hajui hata kuongea kwa kuwa yeye lilian mashaka alikuwa amezoea kuonekana kwenye TV,kama msemaji wa TAKUKURU ,sasa baada ya RAIS kumteua MARY MOSHA,kuwa msemaji nadhani watoto wake mama mashaka huwa wanamuuliza mama mbona siku hizi hatukuoni kwenye TV anakosa jibu.,hivyo kama vipi amwambie JK wabadilishane vyeo,mary mosha na liliani mashaka,suala jingine liliani mashaka anavyosema MKURUGENZI wa uchunguzi si mwanasheria ,kwani kuna ulazima kwa mkurugenzi huyo kuwa mwana sheria?mbona wasaidizi wake ni wanasheria?au kwa kuwa chaguo lao KUHANDA baada ya kukosa nafasi hiyo ndio imekuwa nongwa?MKURUGENZI WA UCHUNGUZI anapitashwa na RAIS baada ya kuwa na vigezo vinavyofaa,hivyo kama hilo nalo babp linamuuma akamwambie JK kuhusu uteuzi wake.
nakushauri mama mashaka(lilian mashaka)acha majungu,kuponda wenzio,acha kubagua watumishi,mda wa makundi na kuteta wengine acha hata MH RAIS JK alishavunja makundi yote ndani ya CCMsasa ni kazi kwa kwenda mbele,ili kujenga taifa hili changa,kila siku kwend IKULU kupeleka majungu hakukusaidii,wataku... na kukuacha solemba kama alivyofanya aliyepita mpaka ikawa mgogoro na mr mashaka,badilika sasa,maana hata huku ikulu kuna wana JF hivyo tutaendelea kupata data zako.
na kama hutabadilika nitatoa ushahidi kwenye FORUM YETU TUKUFU.
Mwisho TAKUKURU fanyeni kazi msiogope kelele za baahdi ya wabunge kwani hamjui kuwa ninyi ni adui na baadhi yao baada ya kuwadaka kwa RUSHWA? sasa mkikosea jambo si ndio mahara pa kulipiza?Huyo mbunge OLE SENDEKA si mlimkosakosa kumkamata kwa RUSHWA wakati wa uchaguzi?KILICHOMSAIDIA NI MBIO,YULE MASAI,sasa atasema neno gani jema kwa TAKUKURU? kikubwa ongezeni mafunzo,mbinu mpya na pia mazoezi ya mbio ili kuwakamata watu wenye mbio wakati wa TREP kama MH OLE SENDEKA.
Tumekuwa tukiandika mara nyingi lakini watu wanatupuuza wakifikiri sisi ni wachonganishi lakini ukweli ni kwamba TAKUKURU inaenda pabaya, morale ya wafanya kazi ipo chini.
.Ndugu Shabani
Ukweli uliousema imebidi nikkunge mkono na pia niongezee kwa undani ukweli ambao leo hii wengi wataubishia na kusema ni uwongo, lakini naomba hii posting idumu kwa muda wa miezi sita tu kama haya ninayoyasema hayatathibitika.
1. Dr. Mwakyembe 2. Dr. Mahalu
Hawa ni marafiki wa damu na ni lazima Mwakyembe afanye kila mbinu Mahalu apone kesi yake ya kuliibia taifa zaidi ya bilioni tatu. Aliyeshika bango la kumfunga Mahalu ni Dr. Hosea na uthibitisho ni pale Dr. Mwakyembe anapotoa recommendation kuwa uongozi wa PCB ubadilishwe. Kwa nini anakuwa so specific wala hasemi wawajibishwe wala kuadhibiwa yeye anasema wazi kuwa wabadilishwe. Na lazima Dr. Mwakyembe alipe fadhila kwa Dr.Mahalu kwa vile ndiye aliyempa scholarship kwenda ujerumani wakati Dr. Mahalu akiwa dean wa faculty ya sheria pale mlimani.
Dr.Mwakyembe amejishimbia shimo na uchu wake kupata sifa kwa kuwa-demonise wengine. Yeye kwa kushindwa kuficha hisia zake za ubinafsi na kushindwa kuelewa kuwa mazingara ya tume ake ni tofauti na ya PCCB ni ajabu sana. Yeye nia yake ni Dr. Hosea aondoke ili Dr. Mahalu angalau atafute mbinu mpya za kuponyoka kwa vile kwa Dr. Hosea ni jela tu!
Kwa kweli ndugu zangu wana JF na watanzania wenzangu! Takukuru ni "ushuzi" fulani ambao unaweza kushamiri na kuwepo katika "banana country" hebu niambieni mtu wa maana aliyeweza kutiwa hatiani na hicho kiji-taasisi! wanajifanya wanachunguza mambo na wamejaa majungu! Rais ana vyombo vyake makini vya kumpa taarifa! ukweli tumeuona hapa juzi wakati tulipomkabidhi fisi bucha! halafu korokoroni wetu akadai kwamba kule buchani nyama imejaa tena na unono wakee!!! Namshauri rais JK kama ameweza kumtema swahiba wake na afanye hivyo kwa mnafiki huyu anayeitwa hosea! La muhimu kabisa ni kuvunjilia mbali kiji-taasisi hiki kisicho na meno wala mwelekeo! Suala la taasisi ya kuzuia rushwa ni kwa ajili ya danganya toto! na kuitia serikali hii gharama zisizo na msingi!
Ndugu Shabani
Ukweli uliousema imebidi nikkunge mkono na pia niongezee kwa undani ukweli ambao leo hii wengi wataubishia na kusema ni uwongo, lakini naomba hii posting idumu kwa muda wa miezi sita tu kama haya ninayoyasema hayatathibitika.
1. Dr. Mwakyembe 2. Dr. Mahalu
Hawa ni marafiki wa damu na ni lazima Mwakyembe afanye kila mbinu Mahalu apone kesi yake ya kuliibia taifa zaidi ya bilioni tatu. Aliyeshika bango la kumfunga Mahalu ni Dr. Hosea na uthibitisho ni pale Dr. Mwakyembe anapotoa recommendation kuwa uongozi wa PCB ubadilishwe. Kwa nini anakuwa so specific wala hasemi wawajibishwe wala kuadhibiwa yeye anasema wazi kuwa wabadilishwe. Na lazima Dr. Mwakyembe alipe fadhila kwa Dr.Mahalu kwa vile ndiye aliyempa scholarship kwenda ujerumani wakati Dr. Mahalu akiwa dean wa faculty ya sheria pale mlimani.
Dr.Mwakyembe amejishimbia shimo na uchu wake kupata sifa kwa kuwa-demonise wengine. Yeye kwa kushindwa kuficha hisia zake za ubinafsi na kushindwa kuelewa kuwa mazingara ya tume ake ni tofauti na ya PCCB ni ajabu sana. Yeye nia yake ni Dr. Hosea aondoke ili Dr. Mahalu angalau atafute mbinu mpya za kuponyoka kwa vile kwa Dr. Hosea ni jela tu!
JF
Nakuunga mkono kwa moja kubwa ulilosema 'UONGO WA BABA HUANGAMIZA FAMILIA, NA UONGO WA MWANASIASA HUANGAMIZA TAIFA'.
Mambo ya TAKUKURU ni usiri na unyeti, na wana MKUU wao ambaye ni Rais.TUMWACHIE RAIS AAMUE!
MRISHO SHABANI
Kashogi,
JF si ya wahuni na watukanaji kiasi hicho, toa hoja. Kwa jinsi tunavyoendelea tutaonekana wote ni wahuni na wavuta bangi kwa sababu ya lugha zinazotumika.
JIHESHIMU ILI UHESHIMIWE, KILA MTU ANASTAHILI HESHIMA!
• Taarifa iliyosomwa kwa vyombo vya habari ni taarifa ya Hoseah na wala siyo ya TAKUKURU. Kwani taarifa ya kweli ya uchunguzi Hosea aliiweka kando ikaandikwa taarifa nyingine ya kuvipa vyombo vya habari na kuwalinda marafiki zake.
Ndugu Shabani
Ukweli uliousema imebidi nikkunge mkono na pia niongezee kwa undani ukweli ambao leo hii wengi wataubishia na kusema ni uwongo, lakini naomba hii posting idumu kwa muda wa miezi sita tu kama haya ninayoyasema hayatathibitika.
1. Dr. Mwakyembe 2. Dr. Mahalu
Hawa ni marafiki wa damu na ni lazima Mwakyembe afanye kila mbinu Mahalu apone kesi yake ya kuliibia taifa zaidi ya bilioni tatu. Aliyeshika bango la kumfunga Mahalu ni Dr. Hosea na uthibitisho ni pale Dr. Mwakyembe anapotoa recommendation kuwa uongozi wa PCB ubadilishwe. Kwa nini anakuwa so specific wala hasemi wawajibishwe wala kuadhibiwa yeye anasema wazi kuwa wabadilishwe. Na lazima Dr. Mwakyembe alipe fadhila kwa Dr.Mahalu kwa vile ndiye aliyempa scholarship kwenda ujerumani wakati Dr. Mahalu akiwa dean wa faculty ya sheria pale mlimani.
Dr.Mwakyembe amejishimbia shimo na uchu wake kupata sifa kwa kuwa-demonise wengine. Yeye kwa kushindwa kuficha hisia zake za ubinafsi na kushindwa kuelewa kuwa mazingara ya tume ake ni tofauti na ya PCCB ni ajabu sana. Yeye nia yake ni Dr. Hosea aondoke ili Dr. Mahalu angalau atafute mbinu mpya za kuponyoka kwa vile kwa Dr. Hosea ni jela tu!
Ndugu Shabani
Ukweli uliousema imebidi nikkunge mkono na pia niongezee kwa undani ukweli ambao leo hii wengi wataubishia na kusema ni uwongo, lakini naomba hii posting idumu kwa muda wa miezi sita tu kama haya ninayoyasema hayatathibitika.
1. Dr. Mwakyembe 2. Dr. Mahalu
Hawa ni marafiki wa damu na ni lazima Mwakyembe afanye kila mbinu Mahalu apone kesi yake ya kuliibia taifa zaidi ya bilioni tatu. Aliyeshika bango la kumfunga Mahalu ni Dr. Hosea na uthibitisho ni pale Dr. Mwakyembe anapotoa recommendation kuwa uongozi wa PCB ubadilishwe. Kwa nini anakuwa so specific wala hasemi wawajibishwe wala kuadhibiwa yeye anasema wazi kuwa wabadilishwe. Na lazima Dr. Mwakyembe alipe fadhila kwa Dr.Mahalu kwa vile ndiye aliyempa scholarship kwenda ujerumani wakati Dr. Mahalu akiwa dean wa faculty ya sheria pale mlimani.
Dr.Mwakyembe amejishimbia shimo na uchu wake kupata sifa kwa kuwa-demonise wengine. Yeye kwa kushindwa kuficha hisia zake za ubinafsi na kushindwa kuelewa kuwa mazingara ya tume ake ni tofauti na ya PCCB ni ajabu sana. Yeye nia yake ni Dr. Hosea aondoke ili Dr. Mahalu angalau atafute mbinu mpya za kuponyoka kwa vile kwa Dr. Hosea ni jela tu!