Hbr zenu,naomba kujuzwa kuhusu hormone imbalances..nilienda hosptl kupimwa nikaambiwa nna hyo kitu ktk swala zima la uhitaji wa mtoto..kwa anaejua nn kisababishi cha hormone kua hv kuna uhusiano wowote na upevushaji wa mayai?
hapana ckuambiwa ni hormone gan haikubalance,ila nimekua na irregular periods ss hapo cjui itakua hormone gn haikubalanceHormone imbalances ipo na ni kawaida kwa wanawake na wanaume.. pia ni moja kati ya sababu znazopelekea mtu kushndwa kupata mimba.. vp umeambiwa ni im
balance ya hormone gani.?
Asanten,ckuambiwa ni hormone gan hazikubalance bt nimeambiwa nna hormone imbalance na kuna dawa nimeandikiwa ila bdo cjachukua inahitajika laki mbili na 60 ndo najipanga nikachukue nilienda kwa dr.mwaka pale ilala bungoni..cku zangu zimekua irregular sn nilivyoambiwa hv niliogopa sn,bt now at least nimewaelewa najipanga nikachukue dawa..tnxs @ol!
Ungeenda Hospitali nyingine hiyo fedha ya dozi ingepungua kidogo
Hbr zenu,naomba kujuzwa kuhusu hormone imbalances..nilienda hosptl kupimwa nikaambiwa nna hyo kitu ktk swala zima la uhitaji wa mtoto..kwa anaejua nn kisababishi cha hormone kua hv kuna uhusiano wowote na upevushaji wa mayai?
Asante mamii kwa ushaur..nahis kuchanganyikiwa na hili tatizo ila Mungu yupo naamin atanitetea.kama unatumia bima nenda hindu mandal kwa dr Kocher mbibi mamii mi alinitibu,na sasa ni mama kijacho...hata bila bima nafikiri matibabu ni bei nafuu...
Asante kwa ushaurinenda kwa dokta mwaka
nenda kwa dokta mwaka
Asante kwa ushauri
Nashukuru sn,nitafanya hivyo bila kuchelewa.Kasaidia wengi, epuka kwenda kwa mitume na manabii wana mambo mengi ndani yao
9 Signs You Have A Hormonal Imbalance + Easy Ways To Fix ItHabar,wana forum jaman naomba mnisaidie hili tatizo linaishije,nilienda hospital nikaambiwa nna hormone imbalances kwasbb nahitaji sana mtoto..msaada wenu wapendwa.
Habar,wana forum jaman naomba mnisaidie hili tatizo linaishije,nilienda hospital nikaambiwa nna hormone imbalances kwasbb nahitaji sana mtoto..msaada wenu wapendwa.