Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 466
- 538
Hongereni wenye kazi nzuri na msiokua na maisha ya shida
Kuna watu mna bahati sana mmezaliwa mnakuta wazazi wenu wapo vizuri kiuchumi mnakuzwa maisha mazuri kila kitu home kipo yaani ni mboga saba
Shule mmesoma nzuri na za maana, hamna kitu mlikosa maishani, hamzijuwi shida tokea mzaliwe hamjapitia misoto wala nini
Mkamaliza na elimu za juu mkapata kazi nzuri za hadhi zenu, wengine mkafika umri wa kubalehe na kukua mkafanyiwa connection na ndugu zenu au jamaa ambao wapo idara nyeti au vigogo wazito.
Kama umepitia maisha ya hivi mshukuru Mungu sana
Kama umepita misoto pia lakini sasahivi una kazi nzuri au maisha mazuri mshukuru sana Mungu
Ni wachache sana wanapata bahati kama zenu, Yes ni wachache mno.
Na sasa dunia ya sasa bila connection hutoboi sisi tusiojulikana wala tusio na connection na hatujulikani popote wacha tujidodoe na digrii zetu.....Inauma sana kupitia haya....
Kuna watu mna bahati sana mmezaliwa mnakuta wazazi wenu wapo vizuri kiuchumi mnakuzwa maisha mazuri kila kitu home kipo yaani ni mboga saba
Shule mmesoma nzuri na za maana, hamna kitu mlikosa maishani, hamzijuwi shida tokea mzaliwe hamjapitia misoto wala nini
Mkamaliza na elimu za juu mkapata kazi nzuri za hadhi zenu, wengine mkafika umri wa kubalehe na kukua mkafanyiwa connection na ndugu zenu au jamaa ambao wapo idara nyeti au vigogo wazito.
Kama umepitia maisha ya hivi mshukuru Mungu sana
Kama umepita misoto pia lakini sasahivi una kazi nzuri au maisha mazuri mshukuru sana Mungu
Ni wachache sana wanapata bahati kama zenu, Yes ni wachache mno.
Na sasa dunia ya sasa bila connection hutoboi sisi tusiojulikana wala tusio na connection na hatujulikani popote wacha tujidodoe na digrii zetu.....Inauma sana kupitia haya....