Hongereni CHADEMA

Hapo ndipo ulipologewa! unaimbishwa nyimbo za kipumbavu na wewe kama zuzu unaimba kwa sauti kubwaaaa!!!! halafu unajitangaza kwamba na wewe ni Great Thinker! Si kushangai sana kwani hiyo ndio ajira mliyopewa na vicheche wasiofikiria!

mimi ni mzalendo., sijaajiriwa na mtu yoyote
 

2015 ileee waambie hapo bado labda watubebe mabegani kabisa
 

MKUU TULISHASEMA TANGU kitambo HAPAHAPA KWAMBA CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU , NADHANI SASA WATU WAMEELEWA .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…