Hongereni CHADEMA


Mbona watu wengi wanatoa msaada hawajitangazi kama Chadema? KIAZI WEWE
 
Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.

ukiwa na roho chafu katika umri huo je ukifikia miaka 70 si utakuwa shetani kamili? Wewe huwezi ona thamanya msaada hua maana wewe si muhitaji, waache wahitaji washukuru kwa msaada huo. Ushabiki wa vyama usikufanye uwe na roho ya kishetani hata kwa mambo ambayo hayahitaji ushetani?
 
angekua wa moshi asingetelekezwa
Hapo ndipo ulipologewa! unaimbishwa nyimbo za kipumbavu na wewe kama zuzu unaimba kwa sauti kubwaaaa!!!! halafu unajitangaza kwamba na wewe ni Great Thinker! Si kushangai sana kwani hiyo ndio ajira mliyopewa na vicheche wasiofikiria!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…