Nilikuwa mwananyamala hospital Leo hii nimekutana na makamanda wa CDM, wameenda pale kufanya shughuli za kijamii pamoja na kutoa misaada mbalimbali ya sabuni, juice nk kwa wagonjwa
Walianza na shughuli za kutoa misaada, mpaka naondoka eneo la hospital walikuwa wanaendelea na usafi ndani ya maeneo ya hospital
Napenda kuwapongeza mno na kuzidi kuwatia moyo hata kwa hili pia...misaada waliyotoa hawakubagua kabila, jinsia, rangi, itikadi wala imani ya MTU
VIVA CHADEMA!!! VIVA COMRADES...!!!
mke wa chacha wangwe. mwangosi chadema wamewatelekeza bila msaada wowote
Hekima na busara tele. Ahsante sana Mkuu.
Wewe mbona ni mjinga sana
Mbona unatoka njee ya madaa nyau wewe
Hapa siyo sehemu husikaNimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.
Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.
Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.
Anzisha mada yako kuhusu hilo, hii ni ya kuwapongeza kuhusu kazi ya leo mwananyamala hospital
Alichaguliwa kwa kishindo kuwa mwenyekiti wa wajane wa ACT-Tanzania!mke wa chacha wangwe. mwangosi chadema wamewatelekeza bila msaada wowote
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.
Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.
Alichaguliwa kwa kishindo kuwa mwenyekiti wa wajane wa ACT-Tanzania!
Ulitaka CHADEMA wamlithi?hiyo ni baada ya kutelekezwa na Chadema
Ni heri na kukutana na mnyama mkali kuliko kukutana na mpumbavu katika upumbavu wake
Ulitaka CHADEMA wamlithi?
ww ndo huna hoja wahi kwenda kupika mumeo anakaribia kurudiacha matusi mkuu. Kama umeishiwa hoja acha ma Great Thinker tuchangie hoja za maana kwa mustakabali wa nchi yetu
acha matusi mkuu. Kama umeishiwa hoja acha ma Great Thinker tuchangie hoja za maana kwa mustakabali wa nchi yetu
ww ndo huna hoja wahi kwenda kupika mumeo anakaribia kurudi
Nilitaka Chadema wamsaidie.. Au mlimtelekeza kwa sababu hatoki kaskazini?