Hongera William Malecela AKA Le mutuz kwa kupita Wazazi-CCM

Status
Not open for further replies.

chama

JF-Expert Member
Aug 6, 2010
8,001
2,418
Wanabodi;
Kijana mwenzetu Le mutuz amepita kwenye uchaguzi wa jumuiya ya wazazi CCM; nachukua fursa hii kumpa pongezi za dhati kwa kupita kwake; siasa si lelema pamoja na kwamba hakupita kwenye baadhi ya chaguzi alizogombea lakini hakukata tamaa amepigana mpaka ametimiza azma yake kisiasa; hii changamoto kubwa kwa baadhi ya wanaJF wenzetu wenye nia ya kugombea nafasi za kisiasa kupitia vyama vyao; kwenye nia ipo njia; kukata tamaa mwiko! Le mutuz tunataka kusikia mdundo wazazi CCM kazi kwako!

Chama
Gongo la mboto DSM

CC Mwita Maranya
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi;
Kijana mwenzetu Le mutuz amepita kwenye uchaguzi wa jumuiya ya wazazi CCM; nachukua fursa hii kumpa pongezi za dhati kwa kupita kwake; siasa si lelema pamoja na kwamba hakupita kwenye baadhi ya chaguzi alizogombea lakini hakukata tamaa amepigana mpaka ametimiza azma yake kisiasa; hii changamoto kubwa kwa baadhi ya wanaJF wenzetu wenye nia ya kugombea nafasi za kisiasa kupitia vyama vyao; kwenye nia ipo njia; kukata tamaa mwiko! Le mutuz tunataka kusikia mdundo wazazi CCM kazi kwako!

Chama
Gongo la mboto DSM

CC Mwita Maranya

Mkuu.
Kilichonifurahisha leo umegundua kuwa kuna vyama vingine! Huo ndio ukomavu sasa kaka! Siku zote umekuwa unakuja na kejeli kuwa kuna vikundi na ngo. Nadhani kwa kuwa bado ni asubuhi umeandika ukiwa unafikiria kwa kutumia kichwa! Ngoja kijua kianze kuchomoza uanze kusikia njaa! Utaanza kukana maneno yako maana tumbo ndio litakuwa linaanza rasmi kazi yake ya kufikiria kwa ajili ya mlo wa mchana.

Mpe hongera zake kijana mzee Le Mutuz papaa vidosho.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi;
Kijana mwenzetu Le mutuz amepita kwenye uchaguzi wa jumuiya ya wazazi CCM; nachukua fursa hii kumpa pongezi za dhati kwa kupita kwake; siasa si lelema pamoja na kwamba hakupita kwenye baadhi ya chaguzi alizogombea lakini hakukata tamaa amepigana mpaka ametimiza azma yake kisiasa; hii changamoto kubwa kwa baadhi ya wanaJF wenzetu wenye nia ya kugombea nafasi za kisiasa kupitia vyama vyao; kwenye nia ipo njia; kukata tamaa mwiko! Le mutuz tunataka kusikia mdundo wazazi CCM kazi kwako!

Chama
Gongo la mboto DSM

CC Mwita Maranya

Kama huyo Le Mutuzi ni KIJANA anatafuta nini kwenye jumuiya ya WAZAZI?
 
Amepita au kapitishwa na jina? Maana sasa CCM ni mali ya watoto wa vigogo karibu kila idara. Mimi simpongezi bali namsikitikia mtu mzima vile kuishi kote nje anarejea nyumbani kwenda kuramba matapishi.
 
Mkuu.
Kilichonifurahisha leo umegundua kuwa kuna vyama vingine! Huo ndio ukomavu sasa kaka! Siku zote umekuwa unakuja na kejeli kuwa kuna vikundi na ngo. Nadhani kwa kuwa bado ni asubuhi umeandika ukiwa unafikiria kwa kutumia kichwa! Ngoja kijua kianze kuchomoza uanze kusikia njaa! Utaanza kukana maneno yako maana tumbo ndio litakuwa linaanza rasmi kazi yake ya kufikiria kwa ajili ya mlo wa mchana.

Mpe hongera zake kijana mzee Le Mutuz papaa vidosho.

Mkuu
Mbona umeanza mapema kashfa? Mimi ndio namaliza kuangalia game Kansas Chiefs na San Diego Chagers hata chai sijaifikiria.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu
Mbona umeanza mapema kashfa? Mimi ndio namaliza kuangalia game Kansas Chiefs na San Diego Chagers hata chai sijaifikiria.

Chama
Gongo la mboto DSM

ha haa ha!! Mkuu chama, jamaa anadhani watu wote tupo Bumbuli.

Le Mutuz kapambana sana kwenye chaguzi hizi na hatimaye kashinda.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom