wa majambo
Member
- Oct 20, 2012
- 50
- 26
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza chombo cha habari Tv na Radio Imaan kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuelimisha jamii,mfano mzuri ndani ya siku tatu hizi wamekuwa wakikemea vikali kuhusu upotoshaji kwa jamii juu ya hiki wanachoita sikukuu ya wajinga na madhara yanayotokana na upotoshaji huo na jamii inaonekana kuelewa kwa kiasi kikubwa na kubadilika tofauti na zamani ilivyokuwa inachukuliwa uzito na watu kuimplement udanganyifu wa siku kama ya leo.keep it up Tv Imaan na Radio Imaan we are together.