Hongera Tv Imaan na Radio Imaan

Hongera Tv Imaan na Radio Imaan

Mh!! Elimu bila mipaka!! Mimi ninachojua kila kitu kina mipaka!! Mungu mwenyewe ameweka mipaka, au ulimuona hana akili kukuwekea mipaka??? Kitabu chenu wenyewe kimeweka mipaka katika kila jambo au hakijaweka?? 'Freedom Without Limitation Is Nothing'. Usikariri Propaganda!!!!

vyovyote ulivyoelewa,kuna tatizo kwani?
 
Jaribu kuweka kauli yeyote kufuata kauli zilizo kutangulia,kuna majukwaa ya kauli zenu hapa nikujiheshim
 
Niwathaminishe sababu nimewapenda you know! natafuta mtoto wa kiislam nataka nioe you know!

Asilimia kubwa ya waliovaa hivyo unakuta tayari wameshaolewa, japo ni sunna kuvaa hiyo kwa mwanamke, lkn fuata taratibu kama kweli unania ya kuoa na sio kuleta mzaha hapa, waone masheikh watakusaidia, lkn pia lazima uwe mwislamu. Kama si mwislamu badili dini uwe mwislamu.
 
Asilimia kubwa ya waliovaa hivyo unakuta tayari wameshaolewa, japo ni sunna kuvaa hiyo kwa mwanamke, lkn fuata taratibu kama kweli unania ya kuoa na sio kuleta mzaha hapa, waone masheikh watakusaidia, lkn pia lazima uwe mwislamu. Kama si mwislamu badili dini uwe mwislamu.

Kubadili dini isn't a big deal me nnachotaka niwapate wale wawili tena nikiwa muislam ndo vizuri nawaoa wote.

Sasa tatizo nilikua nataka niwaone kwanza sura zao, ntawaonaje nipe utaratibu sheikh wangu!
 
Busy kabisa mnaongelea fool's day as if hakuna mada nyingine more pressing za kuzungumzia?
 
Alhamdullillah, waislamu tumepata chetu cha kusikiliza ambacho hakikeri kusikiliza na kutazama
 
Safi sana...vipi wameajili na watangazaji wa kike....?maana sijawai sikia saut ya mdada wala mmama

Naamini si msikilizaji wa radio na tv imaan, sikiliza na angalia kipindi cha afya, kinatangazwa na akia dada. Endelea kufuatia utaona hilo ninalolisema.
 
Safi sana...vipi wameajili na watangazaji wa kike....?maana sijawai sikia saut ya mdada wala mmama

Kipo kipindi cha akina mama na kinaendeshwa na akina mama!
Mojawapo ya mambo yanayo ongelewa ni ujasiria mali na malezi. Kila jmapili mida ya saa nne. Mbuzi mzee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom