Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
Nitoe pongezi zangu kwa shirika la umeme Tanzania (Tanesco).
Pongezi hizi nazitoa kwa mabadiliko niliyoyaona ndani ya siku chache toka leo. Sifa na pongezi zinatokana na juhudi za kitengo cha mawasiliano ya umma (mahusiano) ambapo hapa JamiiForums "KOLEBA", na hata baada ya kupiga simu kueleza matatizo ya umeme yamepokelewa kwa njia chanya (positive way) na kutatuliwa haraka na kwa ufanisi PASIPO KUTENGENEZEWA MAZINGIRA YA KUTOA RUSHWA ili kufidia huduma tajwa ama kukosa huduma kama hukutoa.
MAONI:
1. Anzisheni ama boresheni mahusiano/mawasiliano kwa njia ya mitandao kwa kuwa na USERNAME yenye jina na nembo ya Tanesco na ikitatua matatizo mbalimbali kwa wakati.
2. Elimu kwa jamii na kusogeza ukaribu kati ya mteja na shirika
3. Yote yaambatane na kulipa bili zetu ili tushirikiane kwa pamoja
Hakika nimeamini "M4C" ni MAGUFULI FOR CHANGE..
Pongezi hizi nazitoa kwa mabadiliko niliyoyaona ndani ya siku chache toka leo. Sifa na pongezi zinatokana na juhudi za kitengo cha mawasiliano ya umma (mahusiano) ambapo hapa JamiiForums "KOLEBA", na hata baada ya kupiga simu kueleza matatizo ya umeme yamepokelewa kwa njia chanya (positive way) na kutatuliwa haraka na kwa ufanisi PASIPO KUTENGENEZEWA MAZINGIRA YA KUTOA RUSHWA ili kufidia huduma tajwa ama kukosa huduma kama hukutoa.
MAONI:
1. Anzisheni ama boresheni mahusiano/mawasiliano kwa njia ya mitandao kwa kuwa na USERNAME yenye jina na nembo ya Tanesco na ikitatua matatizo mbalimbali kwa wakati.
2. Elimu kwa jamii na kusogeza ukaribu kati ya mteja na shirika
3. Yote yaambatane na kulipa bili zetu ili tushirikiane kwa pamoja
Hakika nimeamini "M4C" ni MAGUFULI FOR CHANGE..