Hongera Simon Tyosela Diwani wa Urugu kwa kuhamia CCM

ACHEBE

JF-Expert Member
Mar 14, 2008
348
76
Shamrashamra za kumpokea aliyekuwa Diwani wa Chadema kata ya Urughu, ndugu Simon Tyosela, katika viwanja Ulemo jimbo la Iramba Magharibi. Kiongozi huyo aliambatana na wanachama wengine wa Chadema ambao walipokelewa na Katibu wa NEC uchumi na fedha ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi Mhe. Mwigulu Nchemba.
 

Attachments

  • attachments_06_06_2011.zip
    751.2 KB · Views: 45
  • Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Mchemba Mwigulu akimpokea rasmi Simon.JPG
    Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Mchemba Mwigulu akimpokea rasmi Simon.JPG
    51.3 KB · Views: 119
  • Simon akishangiliwa na wana CCM.JPG
    Simon akishangiliwa na wana CCM.JPG
    51 KB · Views: 339
  • 03.JPG
    03.JPG
    60.1 KB · Views: 94
Dah kumbe ilikuwa kweli siamini macho yangu.Halafu Diwani mwenyewe naona anafurahi kweli hata unaweza kuusoma moyo wake kuwa anajihisi anayo amani kurudi CCM.Nampongeza sana pamoja na wafuasi wake wote.Picha hizo zimependeza saaaaaaaaaaaaaana.Najua itawauma wanafiki ila ni maamuzi tu binafsi ameamua kuyachukua nasi tunaweza kufuata nyayo zake tukipenda.
 
Dah kumbe ilikuwa kweli siamini macho yangu.Halafu Diwani mwenyewe naona anafurahi kweli hata unaweza kuusoma moyo wake kuwa anajihisi anayo amani kurudi CCM.Nampongeza sana pamoja na wafuasi wake wote.Picha hizo zimependeza saaaaaaaaaaaaaana.Najua itawauma wanafiki ila ni maamuzi tu binafsi ameamua kuyachukua nasi tunaweza kufuata nyayo zake tukipenda.

Angalia upande wa juu kulia hapo wewe usiwe zoba, jamaa kashawishiwa kwa pesa si maamuzi binafsi.

Yani magamba msivokuwa na aibu mmemnunua jamaa na mnadhihirisha ufisadi wenu kwa kuonyesha hadharani bei yake, sh.10,000.00

Kweli jamaa bei yake nyepesi sana, hata UPDP wangeweza kumnunua tu.

 
Kila mwenye mtazamo wa mbali atakuwa anaweka mipango yake sawasawa kurudi CCM,Murrah sasa kiwekwe nini clear na specific kama huamini si nenda Iramba ukaone.Hongera Simon mana hutajutia uamuzi wako.Ng'ara CCM ng'ara ni wakati wa kung'ara zaidi watu wanahaha mpaka wanaanza kugomea sheria wanazodai wanazipigania kumbe ni kutafuta umaarufu wao binafsi,subirini moto uwawakie hapa tunachochea kuni tu.
 
Ok kwahiyo kutakuwa na Uchaguzi mpya wa Udiwani... tuone nani atashinda...

Kwanini kuhamia Chama Cha CCM lazima Uvikwe Khanga na Upewe Shati? Sio Rushwa Hiyo?
 
Nilikwepo hiyo siku, kijana alikuwa nafuraha kurudi kundini baada ya upweke wa miezi nane bila kumwona hata balozi tu wa CHADEMA huko Urughu. Akieleza sababu za kurudi CCM, BW Tyosela alisema amekasirishwa na vitendo vya kutokujiheshimu kwa viongozi wa chama hicho akianzia na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa wabunge wakati Rais wa nchi akilihutubia bunge, pia alisema amekasirishwa na vurugu na maandamano ya kila leo akisisitiza kwa machungu maandamano yaliogharimu maisha ya watu huku slaa akidai ni ya amani, pia alisema amekasirishwa na vitendo vya chadema kutokuheshimu sheria mpaka ya mahakama. Pia bwana Tyosela alisema alifikia uamuzi huo alipokaa vikao zaidi ya vitano vya ndani vya chama hicho mkoani singida ambavyo kati ya hivyo VYOTE HAVIKUWA NA AGENDA YA MAENDELEO ILA VILIKUWA VINAJADILI UHARIBIFU, VURUGU NA KUPINGA MAENDELEO, kitu anachosema kilimuudhi na kuona kuwepo ndani ya chama hicho ni kinyume na malezi aliyopata na kinyume cha malezi ya kizalendo ya watanzania.
 
Angalia upande wa juu kulia hapo wewe usiwe zoba, jamaa kashawishiwa kwa pesa si maamuzi binafsi.

Yani magamba msivokuwa na aibu mmemnunua jamaa na mnadhihirisha ufisadi wenu kwa kuonyesha hadharani bei yake, sh.10,000.00

Kweli jamaa bei yake nyepesi sana, hata UPDP wangeweza kumnunua tu.

Mkuu siyo buku ten hiyo ni buku mbili. the man is so cheap to talk about
 
Hapana cha rushwa wala takrima ni mtu tu alihamasika kwa furaha zake akamtunza kama wafanyavyo wengine wengi kwa kitendo chake cha kishujaa. Mila zetu za kiafrica zinaruhusu mtu kutunzwa kwa maamuzi makubwa na ya busara.
 
Angalia upande wa juu kulia hapo wewe usiwe zoba, jamaa kashawishiwa kwa pesa si maamuzi binafsi.<br />
<br />
Yani magamba msivokuwa na aibu mmemnunua jamaa na mnadhihirisha ufisadi wenu kwa kuonyesha hadharani bei yake, sh.10,000.00<br />
<br />
Kweli jamaa bei yake nyepesi sana, hata UPDP wangeweza kumnunua tu.<br />
<br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/attachment.php?attachmentid=31579&amp;d=1307363880" target="_blank"><img src="https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/attachment.php?attachmentid=31579&amp;amp;d=1307363880" border="0" alt="" /></a>
<br />
<br />wewe hao ni watu wanampongeza kwa kuona mbali.
 
Kafanya vema kuliko kuishi kwa unafiki bora awafuate wazalendo wenzake kina Rostam,Chenge et al.All in all siasa za kununulika mwisho wake ni sasa no more betrayers will enjoy undumilakuwili.
 
Ok kwahiyo kutakuwa na Uchaguzi mpya wa Udiwani... tuone nani atashinda...<br />
<br />
Kwanini kuhamia Chama Cha CCM lazima Uvikwe Khanga na Upewe Shati? Sio Rushwa Hiyo?
<br />
<br />
Hujui hiyo ni yuniform na mabango ya matangazo wewe vipi,hizo si kama bendera ndugu yangu hata hivyo zinamvuto kuvaa unafikiri yangekuwa yale magwanda ya mgambo angevaa tuko kazini tunajua maana ya Marketing ndugu
 
Nilikwepo hiyo siku, kijana alikuwa nafuraha kurudi kundini baada ya upweke wa miezi nane bila kumwona hata balozi tu wa CHADEMA huko Urughu. Akieleza sababu za kurudi CCM, BW Tyosela alisema amekasirishwa na vitendo vya kutokujiheshimu kwa viongozi wa chama hicho akianzia na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa wabunge wakati Rais wa nchi akilihutubia bunge, pia alisema amekasirishwa na vurugu na maandamano ya kila leo akisisitiza kwa machungu maandamano yaliogharimu maisha ya watu huku slaa akidai ni ya amani, pia alisema amekasirishwa na vitendo vya chadema kutokuheshimu sheria mpaka ya mahakama. Pia bwana Tyosela alisema alifikia uamuzi huo alipokaa vikao zaidi ya vitano vya ndani vya chama hicho mkoani singida ambavyo kati ya hivyo VYOTE HAVIKUWA NA AGENDA YA MAENDELEO ILA VILIKUWA VINAJADILI UHARIBIFU, VURUGU NA KUPINGA MAENDELEO, kitu anachosema kilimuudhi na kuona kuwepo ndani ya chama hicho ni kinyume na malezi aliyopata na kinyume cha malezi ya kizalendo ya watanzania.
Akamuulize Shitambala kule Mbeya sasa hiviyuko wapi. Naye alipokelewa kwa mbwembwe hivyohivyo tena na katapila na akina mwandosya siyo hivyo vidagaa. Halafu akaja kuonyeshwa nguvu ya umma wa kati wa maandamano ya chadema. Alivyo yaona ali-shrink akawa mdogo kuliko pilton.
 
Shamrashamra za kumpokea aliyekuwa Diwani wa Chadema kata ya Urughu, ndugu Simon Tyosela, katika viwanja Ulemo jimbo la Iramba Magharibi. Kiongozi huyo aliambatana na wanachama wengine wa Chadema ambao walipokelewa na Katibu wa NEC uchumi na fedha ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi Mhe. Mwigulu Nchemba.

acha kenge wapukutike.

msafara wa mamba huu jamani.
 
Hakika CCM inatisha.Hii inaonyesha kuwa watanzania wameenda wanaifahamu CDM kuwa haiko serious kuwaletea maendeleo kazi malumbano yasiyoisha.Sisi wananchi tunachoka muda mwingine kila siku mala ohhhh! wabunge wametoka wamesusia Rais, utasikia maandamano nchi nzima, utasikia wabunge wa CDM wawekwa nadi huko Mara achilia mbali matusi na dharau zao.Sisi raia wema tungependa kuona baada ya uchaguzi nchi inakuwa shwari na vyama vyote vinashirikiana kujenga nchi yetu,Ingawa nina wasiwasi na baadhi ya vyama kama vinayo dhamira ya dhati ukilinganisha na vitendo vyao vya kuhujumu juhudi za serikali ya CCM na Rais Kikwete kutimiza ahadi zake kwa watanzania.Lakini watanzania tunaona na ndio maana hata Diwani Symon amerudi CCM ili ashiriki ipasavyo kujenga kata yake na taifa kwa ujumla.Maandamano Tanzania ni hujuma za uchumi wa taifa letu.
 
Dah kumbe ilikuwa kweli siamini macho yangu.Halafu Diwani mwenyewe naona anafurahi kweli hata unaweza kuusoma moyo wake kuwa anajihisi anayo amani kurudi CCM.Nampongeza sana pamoja na wafuasi wake wote.Picha hizo zimependeza saaaaaaaaaaaaaana.Najua itawauma wanafiki ila ni maamuzi tu binafsi ameamua kuyachukua nasi tunaweza kufuata nyayo zake tukipenda.
Siraji ....Siraji ,...Siraji....Siraji, hapo atakuwa alikula ngapi?
 
Kuhesabu maandamano ya mbay kama mafanikio ndio ufinyu wa mawazo na ni miongoni mwa mambo yaliyo mfanya atoke kwenye chama cha mapropaganda na maandamano hujafuatilia maelezo yake. Pia inaonekana hujui itifaki unasema kapokelewa na vidagaa, vidagaa? Mh Mwigulu ni mjumbe wa kamati kuu,Shitambala yuko mbeya na hekima tele na maisha saaafi, ulizia, anachokosa ni maandamano tu, amka!
 
He will be forgotten in a month. Before you make these kinds of decision you have to ask yourself, where is Shitambala?, where in Tambwe Hiza?, where is Ngawaiya?, where is ... ?. The worse thing about this kind of decisions is that, you are going to be used like a candle, bringing light and shine to local CCM leaders like Nchemba, while you are diminishing to the ground. Nchemba et al would use the defection to strengthen his position as effective leader from home in the face of their national masters(fisadis) who gave them "Kula". The question for the defector to ask themselves, will perpetrators for the defection would be willing to let you take their posts as their praise you like a drunken King in the next election?, that is a question to be answered when the time arrives, they will fight you with all forces, visible and invisible forces when you want to compete with their welfare posts.

Only Nincompoops will accept and play this type of politricks. CHADEMA is not about individuals, CHADEMA is about people's lost hopes for a long time, to defeat CHADEMA you need to bring back hopes and prosperity to the people. CCM Strategist doesn't get it, they think about headlines which always fades off once the papers are used to roll "Maandazi and Vitumbua" by a street vendors, but the things which always stick is people's minds is the inability to sustain the next meal. POVERTY and CORRUPTION is the MALIGNANCY for CCM's death NOT INDIVIDUALS like TYOSELA!
 
Hapana cha rushwa wala takrima ni mtu tu alihamasika kwa furaha zake akamtunza kama wafanyavyo wengine wengi kwa kitendo chake cha kishujaa. Mila zetu za kiafrica zinaruhusu mtu kutunzwa kwa maamuzi makubwa na ya busara.

Kama walihamasika kiafrika kwanini walimtunza khanga za CCM na siyo nguo za aina zingine? Ina maana walia andaa vitu vya kumtunza ikiwemo hongo ya pesa! Naona magamba bado yameng'ang'ania mwili, rushwa ya takrima bado inaendelea! Aibu kwa CCM!
 
Back
Top Bottom