Hongera Simon Tyosela Diwani wa Urugu kwa kuhamia CCM

Nilikwepo hiyo siku, kijana alikuwa nafuraha kurudi kundini baada ya upweke wa miezi nane bila kumwona hata balozi tu wa CHADEMA huko Urughu. Akieleza sababu za kurudi CCM, BW Tyosela alisema amekasirishwa na vitendo vya kutokujiheshimu kwa viongozi wa chama hicho akianzia na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa wabunge wakati Rais wa nchi akilihutubia bunge, pia alisema amekasirishwa na vurugu na maandamano ya kila leo akisisitiza kwa machungu maandamano yaliogharimu maisha ya watu huku slaa akidai ni ya amani, pia alisema amekasirishwa na vitendo vya chadema kutokuheshimu sheria mpaka ya mahakama. Pia bwana Tyosela alisema alifikia uamuzi huo alipokaa vikao zaidi ya vitano vya ndani vya chama hicho mkoani singida ambavyo kati ya hivyo VYOTE HAVIKUWA NA AGENDA YA MAENDELEO ILA VILIKUWA VINAJADILI UHARIBIFU, VURUGU NA KUPINGA MAENDELEO, kitu anachosema kilimuudhi na kuona kuwepo ndani ya chama hicho ni kinyume na malezi aliyopata na kinyume cha malezi ya kizalendo ya watanzania.

And what else would he say!!!!?unategemea msaliti kuja kwako na kusema ukwel halisi toka rohon kuhusu kuhama kwake?chadema kama vyama vngne vya upinzan havina hongo,marupuruku nk,ujue weng wanaingiaga kwenye siasa akiwa na matarajio ya kuukwepa umaskin na c kwa nia ya dhati kuinua eneo lake,na ndo alivyoona atatoka uongozin bila utajiri bs kaondoka,na ama kwel kodi za wanyonge atazifaid,mana hata mie nkipenda kuingia mzigon ntazila cna,ni nature ya ubinafsi wake,njaa 2pu
 
Hapana cha rushwa wala takrima ni mtu tu alihamasika kwa furaha zake akamtunza kama wafanyavyo wengine wengi kwa kitendo chake cha kishujaa. Mila zetu za kiafrica zinaruhusu mtu kutunzwa kwa maamuzi makubwa na ya busara.

Mi cjui vijana wenzangu kama huwa unawaza ipasavyo b4 hujacoment?!so haya ni maamuz ya busara na kishujaa!watanzania wagonjwa,walemavu,masikin wapo hata hapo ulipo na hujawai kuwapa hata buku mbili au kumi zimsaidie ila kwenye kuhama vyama hamchelewi kucheza na hela mnyonge.!it pains much ka u kijana
 
My Dear CCM, when will you attain maturity in politics?
Adultrated politics of the past won't do your future political fortune but social and economic material delivery to people.
Huu ni ulevi tu, siyo siasa!
 
Nshasema ,narudia tena chadema si mahala pa kukimbilia. Cdm ni kwa wapiganaji,legelege akai kule,ndo maana aliporudi ccm kavalishwa kanga,sikiliza track ya Dogo janja,anasema Watoto wa mama tunawavisha kanga! Jamaa kanunuliwa sh.elfu 10,angalia pichani hapo! Wanaume wakikaa vizuri govt.italia machozi ya damu!
 
Huo ulikuwa mkutano wa chama ndg zangu hivy kuuliza kwa nini kuna nguo za chama ni kama kuuliza kwanini kuku manyoya. Sina uhakika kama hiyo nayo no hoja. Kama mtanzania na amini kila moja ana mwisho wake kuuliza shitambala yuko wapi jibu ni dogo shitambala hayuko Iramba, TYosela amefanya uamuzi wa busara. You call Mwigulu a local leader, YOu are ill informed, Mwigulu is a one of the few pontential arising leader the nation will depend in near feature. As great thinkers we need to avoid biasness
 
Dah kumbe ilikuwa kweli siamini macho yangu.Halafu Diwani mwenyewe naona anafurahi kweli hata unaweza kuusoma moyo wake kuwa anajihisi anayo amani kurudi CCM.Nampongeza sana pamoja na wafuasi wake wote.Picha hizo zimependeza saaaaaaaaaaaaaana.Najua itawauma wanafiki ila ni maamuzi tu binafsi ameamua kuyachukua nasi tunaweza kufuata nyayo zake tukipenda.

anafurahia hela alizopewa na magamba hakuna lingne
 
Nilikwepo hiyo siku, kijana alikuwa nafuraha kurudi kundini baada ya upweke wa miezi nane bila kumwona hata balozi tu wa CHADEMA huko Urughu. Akieleza sababu za kurudi CCM, BW Tyosela alisema amekasirishwa na vitendo vya kutokujiheshimu kwa viongozi wa chama hicho akianzia na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa wabunge wakati Rais wa nchi akilihutubia bunge, pia alisema amekasirishwa na vurugu na maandamano ya kila leo akisisitiza kwa machungu maandamano yaliogharimu maisha ya watu huku slaa akidai ni ya amani, pia alisema amekasirishwa na vitendo vya chadema kutokuheshimu sheria mpaka ya mahakama. Pia bwana Tyosela alisema alifikia uamuzi huo alipokaa vikao zaidi ya vitano vya ndani vya chama hicho mkoani singida ambavyo kati ya hivyo VYOTE HAVIKUWA NA AGENDA YA MAENDELEO ILA VILIKUWA VINAJADILI UHARIBIFU, VURUGU NA KUPINGA MAENDELEO, kitu anachosema kilimuudhi na kuona kuwepo ndani ya chama hicho ni kinyume na malezi aliyopata na kinyume cha malezi ya kizalendo ya watanzania.

UNAFIKI ULIOKITHIRI KAMA SIO NJAA ILIYIZIDI KIWANGO! ina maana kwa upande wa ccm yeye hakasirishwi na ufisadi uliofanywa na viongozi waandamizi mpaka kupelekea kujivua gamba kimagumashi? hana mpya huyo!
 
Nilikwepo hiyo siku, kijana alikuwa nafuraha kurudi kundini baada ya upweke wa miezi nane bila kumwona hata balozi tu wa CHADEMA huko Urughu. Akieleza sababu za kurudi CCM, BW Tyosela alisema amekasirishwa na vitendo vya kutokujiheshimu kwa viongozi wa chama hicho akianzia na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa wabunge wakati Rais wa nchi akilihutubia bunge, pia alisema amekasirishwa na vurugu na maandamano ya kila leo akisisitiza kwa machungu maandamano yaliogharimu maisha ya watu huku slaa akidai ni ya amani, pia alisema amekasirishwa na vitendo vya chadema kutokuheshimu sheria mpaka ya mahakama. Pia bwana Tyosela alisema alifikia uamuzi huo alipokaa vikao zaidi ya vitano vya ndani vya chama hicho mkoani singida ambavyo kati ya hivyo VYOTE HAVIKUWA NA AGENDA YA MAENDELEO ILA VILIKUWA VINAJADILI UHARIBIFU, VURUGU NA KUPINGA MAENDELEO, kitu anachosema kilimuudhi na kuona kuwepo ndani ya chama hicho ni kinyume na malezi aliyopata na kinyume cha malezi ya kizalendo ya watanzania.

Maelezo yake yamenipa jibu la swali hii:-
1. Kwa nini Singida kuna umaskini wa Kutisha kati ya mikoa ya Nchi hii!!!

Shinyanga wameikataa CCM naamini tathmini ijayo Mkoa huo hautakuwa mkiani tena!!
SAMAHANINI WANA SINGINDA MLIPO HUMU ............. LAKINI HUO NDO UKWELI!!
 
Shamrashamra za kumpokea aliyekuwa Diwani wa Chadema kata ya Urughu, ndugu Simon Tyosela, katika viwanja Ulemo jimbo la Iramba Magharibi. Kiongozi huyo aliambatana na wanachama wengine wa Chadema ambao walipokelewa na Katibu wa NEC uchumi na fedha ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi Mhe. Mwigulu Nchemba.

mbona watoto wanamshangaaa??
 
Huyo binti karudi kwa bwanake kashindwa kutulia kwa bwana mpya CDM kachemsha wanaotoka CDM ni wapuuzi makanjanjaa si waaminifu huyo malaya eti karudi kwa bwana kupewa mimba azae maana CDM wamemshtukia kuwa ni kirukanjia hafai kuwa mke wa kuwazalia watoto.Ukitoka CDM wewe ni kirukamkojo!!
 
Hivi yule Frank Magoba aliyekuwaga mbunge wa CUF-Kigamboni aliishia wapi??.....nakumbuka aliwatosa CUF akajunga ccm, akaishia kugalagazwa kwny kura za maoni
 
Angalia upande wa juu kulia hapo wewe usiwe zoba, jamaa kashawishiwa kwa pesa si maamuzi binafsi.

Yani magamba msivokuwa na aibu mmemnunua jamaa na mnadhihirisha ufisadi wenu kwa kuonyesha hadharani bei yake, sh.10,000.00

Kweli jamaa bei yake nyepesi sana, hata UPDP wangeweza kumnunua tu.



Aisee wewe ni mwehu kwelikweli, ina maana hiyo elfu 10000 ndiyo inayomfanya aache mamilioni ya fedha kwa muda ambao angetumikia kama diwani? au wewe ndo wale wanaouza ng'ombe kwa kesi ya kuku?
JF kweli kuna majuha, me naona tungeondoa hiyo kauli mbiu sijui niiteje, ya home of Great thinkers, maana wengi wao kama huyu ni the greatest sinker..., !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!1
 
Aisee wewe ni mwehu kwelikweli, ina maana hiyo elfu 10000 ndiyo inayomfanya aache mamilioni ya fedha kwa muda ambao angetumikia kama diwani? au wewe ndo wale wanaouza ng'ombe kwa kesi ya kuku?
JF kweli kuna majuha, me naona tungeondoa hiyo kauli mbiu sijui niiteje, ya home of Great thinkers, maana wengi wao kama huyu ni the greatest sinker..., !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!1

Na unachoshaur kianzie kwako mana hujui diwan analipwa sh ngapi?ndo mana unasema mamimilion,udiwan ni kama mwalimu,ni wito mheshimiwa,n kipawa unachokua nacho na c maslai,na ukiingia kwa maslai bs ndo utakua kitenesi ka huyo legelege alohama chama kurudi kushiba,so any change begns wth u,so u beta start b4 crushng otherz
 
Mbona mnawasema wa CCM tu mwita mwikwabe waitara mbona alitoka CCM wilaya naye yuko wapi mbona hana hata uwembe wa kunyolea ndevu, mbona hamuulizi dany makanga yuko wapi CCM chama kubwa wapo hata viongozi wenu waandamiz wa chadema wanapewa pesa ya saloon, ninyi hamjui mnatumika kama mapulizo ya birthday.
 
Kijana ameona atatekeleza vipi ahadi akiwa chama ambacho kinaelea kwenye maandamano tu akaona ndotoa, kuna ahadi za kusadikika pia nyingi za chadema zakudanganyishia pipi kwa mtoto kwenye uhalisia hazipo, mtu anayeshabikia chadema huwa sifikirii mara mbili kujua yukoje, kijana makini amejionea kuwa maisha ya uigiza ukichaa kila siku unaweza kuishia kuwa kichaa kwelikweli katimkia zake CCM mpya
 
Nilikwepo hiyo siku, kijana alikuwa nafuraha kurudi kundini baada ya upweke wa miezi nane bila kumwona hata balozi tu wa CHADEMA huko Urughu. Akieleza sababu za kurudi CCM, BW Tyosela alisema amekasirishwa na vitendo vya kutokujiheshimu kwa viongozi wa chama hicho akianzia na kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa wabunge wakati Rais wa nchi akilihutubia bunge, pia alisema amekasirishwa na vurugu na maandamano ya kila leo akisisitiza kwa machungu maandamano yaliogharimu maisha ya watu huku slaa akidai ni ya amani, pia alisema amekasirishwa na vitendo vya chadema kutokuheshimu sheria mpaka ya mahakama. Pia bwana Tyosela alisema alifikia uamuzi huo alipokaa vikao zaidi ya vitano vya ndani vya chama hicho mkoani singida ambavyo kati ya hivyo VYOTE HAVIKUWA NA AGENDA YA MAENDELEO ILA VILIKUWA VINAJADILI UHARIBIFU, VURUGU NA KUPINGA MAENDELEO, kitu anachosema kilimuudhi na kuona kuwepo ndani ya chama hicho ni kinyume na malezi aliyopata na kinyume cha malezi ya kizalendo ya watanzania.

Huyo mbumbumbu wacha aende
 
Unkumbuka kuwa mbumbumbu alichukua form mwenyewe, alifanya kampeni mwenyewe akashinda, na akasababaisha awepo na diwani wa viti maalum moja jimboni? Je mbumbumbu yeye ama sisi ambao hatujawahi kuaminiwa na wananchi hata kwa kupewa ubalozi wa shina kaz yetu domo? mbumbumbu alipata kura 1653, kata yake na slaa kura 24 kata hiyo, kuaminiwa hakuhitaji shule
 
Una bahati mbaya sana kwa kauli ya kuhusu umasikin imeonesha dhahiri, huijui singida, huijui hata historia yake na wala hujui uchumi, singida haikuwa imefunguka kibarabara, haikuwa na shule za kutosha na haikuwa na zao la kudumu la biashara na shida ya maji. Singida ya leo sio hiyo, niambie ninani kaleta majibu ya matatizo hayo hata kama sio kwa asilimia zote? Kudandia kitu usichojua kuna siku utasema nguruwe anakatoto ka punda
 
Una bahati mbaya sana kwa kauli ya kuhusu umasikin imeonesha dhahiri, huijui singida, huijui hata historia yake na wala hujui uchumi, singida haikuwa imefunguka kibarabara, haikuwa na shule za kutosha na haikuwa na zao la kudumu la biashara na shida ya maji. Singida ya leo sio hiyo, niambie ninani kaleta majibu ya matatizo hayo hata kama sio kwa asilimia zote? Kudandia kitu usichojua kuna siku utasema nguruwe anakatoto ka punda

BIG Mtani kwa kutomsahau punda lakini usisahau kucheleawa kufunguka kwa barabara kuliko sababisha muwe maskini kupita sehemu nyingine kumesababishwa na chama cha magamba (CCM)
 
daaaaaaaaaaa!!!!!!!Huyu Diwani anasema eti cdm wanasusia mbunge kwa hiyo hapendi,kazi ipo tunahitaji katapila kung'oa bongo za aina hiyo,demokrasia anaijua kweli?????kwa kufanya vile cdm walivunja sheria ipi????? wewe diwani ni mamluki bora uende huko huko kazi ya kwanza ni kukuchuna magamba uliyonayo
cdm haita athirika chochote kwa kuondoka kwake.
 
Back
Top Bottom