Na asiwepo. Wali asiwepo mtu wa kuiga tabia na mienendo ya Magufuli. Aondoke nayo kabisaNdani ya CCM sioni yoyote yule wa kuvaa viatu vyake,
Kuna watu hao ndio wananipa wasi wasi tu, japo ni wachache lakini wanafahamu mengi hivyo kuwa ngumu kuwaondosha
Anaeshangilia kifo hajawahi kufiwa. Sio shabiki wake lakini sijafurahi na siwezi kumkashifu asilani, Ila ukweli nitaongea sio WA kuudhi MTU.Muheshimiwa mleta uzi, mzee Magufuli alikuwa ananikera lakini leo nimelengwa na machozi. Yule mzee nitamkumbuka.😢😢😢😢