Hongera sana mtangazaji wa RFA, Mtani Wambura kwa kuongelea ukabila na udini

Maarko

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
1,189
602
Leo Tar 30/05/2022 mtangazaji nguli wa Radio free Africa MTANI WAMBURA kwenye kipindi chake Cha alfajiri, amezungumzia kitendo Cha watanzania kujijengea taratibu ya Ukabila na Udini:

Ni ukweli usiyopingika Tanzania ya Leo siyo Ile aliyoicha Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere,Sasa hivi Ukabila Ni mkubwa Sana Sana hapa Nchini.

Taifa letu tumekua wamoja siyo kwa kuzaliwa tu Bali waasisi wa Nchi hii walifanya kazi kubwa Sana Sana kuondoa UKABILA na kujenga umoja wa KITAIFA..

HONGERA SANA MTANGAZAJI MTANI WAMBURA .
 
Nakumbuka zamani miaka ya 90 shuleni wanafunzi wote (wasichana) walikuwa wanavaa Uniform sawa na maisha yalikuwa yanaenda vizuri tu. Baadae tukashangaa ikaamuliwa watoto wa kike wa Kiislamu kuvaa Hijabu.

Hapo ndio harufu ya udimu ilipoanza kuonekana kwenye taasisi za elimu. Leo kuna shule za kidini, vyuo vya kati hadi vikuu wanasoma watu wa dini fulani tu. Tunaligawa Taifa kwa ujinga wetu.
 
Nakumbuka zamani miaka ya 90 shuleni wanafunzi wote(wasichana)walikuwa wanavaa Uniform sawa na maisha yalikuwa yanaenda vizuri tu. Baadae tukashangaa ikaamuliwa watoto wa kike wa Kiislamu kuvaa Hijabu.

Hapo ndo harufu ya udimu ilipoanza kuonekana kwenye taasisi za elimu. Leo kuna shule za kidini , vyuo vya kati hadi vikuu wanasoma watu wa dini fulani tu.Tunaligawa Taifa kwa ujinga wetu.
Sasa mtu kufuata imani yake ni vibaya?

Kma ww imani yko inakukataza usivae hijabu basi waache waislamu wavae

We umeona wapi Ukifa Nchi yootee itakuja kukuzika kisa ulikua Mzalendo badala yke Watu wa dini yko ndio watakaokuzika

Wagalatia embu punguzeni chuki za kijinga na Uislamu
 
Sasa mtu kufuata imani yake ni vibaya?
Kma ww imani yko inakukataza usivae hijabu basi waache waislamu wavae
We umeona wapi Ukifa Nchi yootee itakuja kukuzika kisa ulikua Mzalendo badala yke Watu wa dini yko ndio watakaokuzika

Wagalatia embu punguzeni chuki za kijinga na Uislamu
Tangu nilipothibitisha kwa macho yangu kwamba idadi kubwa na kila siku inaongezeka kwenye ulaji kitimoto nimewadharau sana.
Unakuta huku wanapiga makanzu na hijabu lakini haohao wanawaagiza bodaboda wawaletee kwa siri!
 
Nakumbuka zamani miaka ya 90 shuleni wanafunzi wote(wasichana)walikuwa wanavaa Uniform sawa na maisha yalikuwa yanaenda vizuri tu. Baadae tukashangaa ikaamuliwa watoto wa kike wa Kiislamu kuvaa Hijabu.

Hapo ndo harufu ya udimu ilipoanza kuonekana kwenye taasisi za elimu. Leo kuna shule za kidini , vyuo vya kati hadi vikuu wanasoma watu wa dini fulani tu.Tunaligawa Taifa kwa ujinga wetu.
Udini ni waislam kuvaa tofauti na wenzao tu, kwa wakristo hujaona?
 
Sasa mtu kufuata imani yake ni vibaya?
Kma ww imani yko inakukataza usivae hijabu basi waache waislamu wavae
We umeona wapi Ukifa Nchi yootee itakuja kukuzika kisa ulikua Mzalendo badala yke Watu wa dini yko ndio watakaokuzika

Wagalatia embu punguzeni chuki za kijinga na Uislamu
Huna point zaidi ya kupaniki.

Serikali haina dini, hatuhitaji hijabu za kazi gani kwa wanafunzi.

Ni ujinga tu..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kejeli na dharau dhidi ya wamasai na sakata la Ngorongoro ilinipa picha kamili ya tulipofika...
 
Nakumbuka zamani miaka ya 90 shuleni wanafunzi wote (wasichana) walikuwa wanavaa Uniform sawa na maisha yalikuwa yanaenda vizuri tu. Baadae tukashangaa ikaamuliwa watoto wa kike wa Kiislamu kuvaa Hijabu.

Hapo ndo harufu ya udimu ilipoanza kuonekana kwenye taasisi za elimu. Leo kuna shule za kidini , vyuo vya kati hadi vikuu wanasoma watu wa dini fulani tu.Tunaligawa Taifa kwa ujinga wetu.
Imajen masai nao wapeleke madai yao Balaza la Elimu kutaka wanao wavae Lubega kwasababu ni Tamaduni zao za Asili.
Alieruhusu jambo la Mabinti wa kiislam kuvaa Hijabu sina Jina sahihi la kumuita.
 
Nakumbuka zamani miaka ya 90 shuleni wanafunzi wote (wasichana) walikuwa wanavaa Uniform sawa na maisha yalikuwa yanaenda vizuri tu. Baadae tukashangaa ikaamuliwa watoto wa kike wa Kiislamu kuvaa Hijabu.

Hapo ndo harufu ya udimu ilipoanza kuonekana kwenye taasisi za elimu. Leo kuna shule za kidini , vyuo vya kati hadi vikuu wanasoma watu wa dini fulani tu.Tunaligawa Taifa kwa ujinga wetu.
Miaka hiyo hiyo ya 90, kuanzia 92 hadi 95 kulizuka wimbi la viongozi wa dini kuja mashuleni kugawa biblia (agano jipya) zile ndogo hivi za blu kwa wanafunzi bila kujali shule hizo ni za umma, tena zina wanafunzi wa dini tofauti au la. Je ule nao haukuwa udini?
 
Udini ni waislam kuvaa tofauti na wenzao tu, kwa wakristo hujaona?
Nafikiri akisoma post yangu ya #11 ataelewa kuwa hao anaoona hawana udini ndio walioleta udini mkubwa Tanzania.
 
Nakumbuka zamani miaka ya 90 shuleni wanafunzi wote (wasichana) walikuwa wanavaa Uniform sawa na maisha yalikuwa yanaenda vizuri tu. Baadae tukashangaa ikaamuliwa watoto wa kike wa Kiislamu kuvaa Hijabu.

Hapo ndo harufu ya udimu ilipoanza kuonekana kwenye taasisi za elimu. Leo kuna shule za kidini , vyuo vya kati hadi vikuu wanasoma watu wa dini fulani tu.Tunaligawa Taifa kwa ujinga wetu.
Matumizi mabaya ya kufkiri haya. Akili unazo mkuu ila unazitumia vibaya Kwa ufikriaji wa namna hii. Usawa sio lazima wote tuvae nguo zinazofanna au tunyoe viduku nchi nzima. Utofauti wetu kidini, kikabila na uchumi uko pale, hatuwez kuuondoa kamwe. Kinachozungumziwa hapa ni kuzuia uwezakano wa hizi tofauti kutumika kama silaha ya kuinua kikundi kimoja juu ya wengine. Sikubaliani na hoja yako ya mavazi Kwa waislam na wakristo kuwa tatizo
 
Sukuna gang hii leo ndio wanafahamu kuhusu ukabila na udini.

Hakika yule aliyetangulia angetupeleka pabaya sana
 
Huna point zaidi ya kupaniki.

Serikali haina dini, hatuhitaji hijabu za kazi gani kwa wanafunzi.

Ni ujinga tu..

#MaendeleoHayanaChama
We jamaa ujue ni mjinga kupitiliza ww
bora ata nisikujibu lolote
 
Tangu nilipothibitisha kwa macho yangu kwamba idadi kubwa na kila siku inaongezeka kwenye ulaji kitimoto nimewadharau sana.
Unakuta huku wanapiga makanzu na hijabu lakini haohao wanawaagiza bodaboda wawaletee kwa siri!
Sisi tunafuata Uislamu unavosema sio Muislam katenda dhambi unausema Uislamu

Uislamu ni njia nyeupe sana kwa binadamu yoyote yule
 
Back
Top Bottom