myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
🤣🤣Kama Dr Mwaka tu...
🤣🤣Kama Dr Mwaka tu...
Ndio hivyo tena. UDr. Huo...Dr Rose Mhando 😃
GUBUAhaa kumbe ni chuo cha BibliaView attachment 3134431
Makeup inaongoza kwa kupiga fix.Anaonekana binti 😃
Duniani kuna vituko aisee
Hata kama nimefoli inilavu naye?
Maswali yako yote majibu yamo ndani ya simu yako, acha ushamba kwani hata ukitumia lugha ya kwenu utapata jibu.🤣.
1. Hicho chuo kipo sehemu gani Marekani?
2. Kukubali kupokea shahada ya heshima [au hata ya kusomea] kutoka vyuo visivyoeleweka, kunaelezea zaidi jinsi wewe ulivyo kuliko hata hiyo diploma mill inayotoa hiyo shahada.
3. Hii GIBU accreditation yake iko wapi?