Hongera kwa kwenda Hijja, hongera kwa kuvaa nguo za heshima, hongera kwa kujua mwanamke wa kiislam kuishi vipi, hongera kwa kuacha kutumia social media kwa kufanya vitu ambavyo maisha yako ya akhera hatayaleta faida.
Hongera hongera mwanasheria kwa kuamini dunia sio chochote
Quran inasema
“Hakika Allah huwapenda wanaotubu na huwapenda wanaojitakasa.”
(Qur’an 2:222)
Hongera hongera mwanasheria kwa kuamini dunia sio chochote
Quran inasema
“Hakika Allah huwapenda wanaotubu na huwapenda wanaojitakasa.”
(Qur’an 2:222)